CCM kwenda CHADEMA

CCM kwenda CHADEMA

Kamanda jipambanue sasa unataka kuja chadema asilia au chadema mafisadi? ? Na labda nikupe maelezo kidogo
chadema asilia ni chadema iliyojipambanua na hoja nzito za ufisadi nchini. Inakemea ufisadi na mafisadi.
Chadema asilia ndio ilibeba falsafa za Dr Slaa na inasema popote alipo dr slaabasi nasi tupo
Chadema mafisadi ndio wale waliopokea makapi na mafisadi waliotemwa ccm. Watu ambao tumekuwa tukiwatukana na kuwasema miaka zaidi ya sita kuwa wachukuliwe hatua na kufungwa.
Amekwambia ameamua kuhamia CDM baada ya ule umati pale Musoma je katika umati ule kuna unaowaita CDM asili? Na tambua CDM ina CDM halisi na CDM makapi ambayo kiongozi wao ni Slaa na Josephine Mushumbushi
 
ahaaaaaaa dogo yuko nondo leo nimefurahishwa na habari ya itv eti mji wa msoma wasimama kwa masaa kadhaa loh

mheshimiwa raisi ilimgharimu muda wa nusu saa kulifikia jukwaa. Hali hii ilitokana na umati mkubwa uliofurika kumsikiliza
 
Ni lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, kasema mwanangu wa miaka miwili, kisa nimemtania nikijua hajui kinachoendelea kuhusu kwanini vijana wanaonekana wakideki barabara huko musoma?

hahaahaa mimi kijana wangu wa mwaka na nusu kila akiona watu wanashangilia kwny tv anasema" lowassaaaaaaa pipo payaaa"
 
Kamanda jipambanue sasa unataka kuja chadema asilia au chadema mafisadi? ? Na labda nikupe maelezo kidogo
chadema asilia ni chadema iliyojipambanua na hoja nzito za ufisadi nchini. Inakemea ufisadi na mafisadi.
Chadema asilia ndio ilibeba falsafa za Dr Slaa na inasema popote alipo dr slaabasi nasi tupo
Chadema mafisadi ndio wale waliopokea makapi na mafisadi waliotemwa ccm. Watu ambao tumekuwa tukiwatukana na kuwasema miaka zaidi ya sita kuwa wachukuliwe hatua na kufungwa.

ahaha! wewe hata kama huko chadema ila unaonekana bdo una u CCM ndani. toroke uje!
 
Yaani hum jf yamejaa mambumbu hajajitambulisha yeye ni nani nyie mnampongeza tu.yeye kajitambulisha X mnakubali tu.

We ulitaka nijitambulishaje? niseme kabisa kuwa miye ndo niliyekupakata kwenye daradara juzi ulivyokosa siti ama?
 
Ndgu zangu hali niliyo iona Msoma leo sio nzuri naomba nitoe tamko.

Mimi ndugu BwanaX nikiwa na akili zangu timamu na bila kushawishiwa na MTU yeyote Leo nmeamua Rasmi kuama CCM na kuamia CHADEMA kuanzia Leo tare he 11 October 2015 na kamwe sitamshauri MTU yeyote timamu kubaki CCM.

Safi umejitambua mapema kabla hujakumbwa na mfadhaiko ikifika oct 25.
 
Ndgu zangu hali niliyo iona Msoma leo sio nzuri naomba nitoe tamko.

Mimi ndugu BwanaX nikiwa na akili zangu timamu na bila kushawishiwa na MTU yeyote Leo nmeamua Rasmi kuama CCM na kuamia CHADEMA kuanzia Leo tare he 11 October 2015 na kamwe sitamshauri MTU yeyote timamu kubaki CCM.

Hongera mno japo ulichelewa kidogo
 
Endelea kumdhihaki Dr. Slaa tu, itafika wakati utaelewa alichomaanisha....
Hajaungana na Magufuli bali anasema "kati ya wagombea 8, watatu anawajua hamu kiasi na Hao ndio wenye ushawishi na nafasi ya kushinda. Kati ya hao huyu wa ACT, Siwezi kumsema lakini Magufuli na Lowassa kila mmoja ana mapungufu yake ingawa Magufuli anayo nafuu zaidi".

Na angekua bado chadema angemuunga mkonoMa padlock? Au amemuunga mkono baada ya vile vipande vya fedha alizopewa? Wasaliti hawahitajiki kwa sasa moto umewaka tunasonga mbele.
 
hahaahaa mimi kijana wangu wa mwaka na nusu kila akiona watu wanashangilia kwny tv anasema" lowassaaaaaaa pipo payaaa"

Hahahahahaaaa kijana mdogo anajitambua huyo kuliko kijana wa miaka 20 alieko ccm bado hajitambui.
 
Back
Top Bottom