Huenda lengo kuu la CCM kumkabidhi Lowasa Arumeru ni kumfunga Gavana katika urais 2015. Lowassa kama ana akili ni bora hiki kikombe akiepuke kama kweli ni contender wa 2015. Ajue wazi kuwa katika kampeni Richmond na madudu yote yatakuwa fair game. Na ikitokea CCM wakashindwa Arumeru hiyo itakuwa ni kudhihirisha kuwa Lowassa hawezi kushika bendera ya CCM 2015 maana hata mkoa ambao ana ushawishi hawakumsikiliza.
Arumeru si Igunga, Nina hakika kuwa umafia wa Igunga ukitumika Arumeru basi itakuwa ni mwanzo wa mwisho wa CCM.
Arumeru si Igunga, Nina hakika kuwa umafia wa Igunga ukitumika Arumeru basi itakuwa ni mwanzo wa mwisho wa CCM.