CCM kumtwisha mzigo Lowassa Arumeru Mashariki

CCM kumtwisha mzigo Lowassa Arumeru Mashariki

Kama lowasa akiachiwa meru ,hakika ccm itashinda hili halina ubishi hata kidogo ( iwapo tu sioi sumari atakuwa mgombea ) . Wameru siku zote wanaomba kwa Mungu nawao watoe rais wa hii nchi na karata yao ni kwa lowassa . Wanaamini kama sioi atakuwa mbunge na lowassa rais watapata maendeleo kwa haraka jimboni kwao ,hili halina ubishi hata kidogo . Kwa upande wa chadema wanahitaji kazi ya ziada ili waweze kuwashawishi wameru .

NB . LOWASSA NI MKWE WA SIO SUMARY.
Alishindwa
 
Back
Top Bottom