Tena nasema yule aziza ni mstaarab sana nampa heko,yule magige angekutana na kichwa kilicho resi hata hilo shada asingewekaKiki ama amejichafulia? Yes marehemu amedhalilika kwakua amekua na tamaa. Na liwe funzo kwa wanaume wote muliobaki. Vipi kwa huyo hawara aliyebaki hai bado? Amejidhalilisha kiasi gani. Hivi unajua yule mke mstaarabu sana? Angekuja kwetu tumfurahishe japo kidogo. Mnatetea ujinga mukiacha watoto wanaumia.
Tumeona kabisa mtoto ndiye aliyemwambia mama yake pale kuhusu shada lile alaliondoe. Imagine kitoto kidogo vile. Ina maana wako aware na huyo kahaba aliyokya akiyafanyia familia yao na hasa mama yao. Mimi ningempa shoo kali. Ngoja nimiliki kwanza bastola. Halag tumia akili mkuu. Unanitia hasira
Wanawake wetu hasa tulio katika ndoa miaka zaidi ya 40 ni majanga kweliHahahahaa. Kama si wosia basi akaunti yake itanona .
Wanawake wanakutesa halafu wanasubiri ufe wafaidi.
Huyo aliyekutunza sheria kama hazimuelewi nitamuelewa mimi
Kwani serkali hairuhusu kutengana?
Haitambui ndoa za mitaala?
Lkn serkali inajua kutengana au ?Kama una Ndoa ya Kanisani,na hujatoa talaka,Serikali haitambui mitala maana kisheria Ndoa ya Kanisani ni Ndoa ya Mke mmoja tu. Toa talaka Mahakamani hapo Serikali ndiyo itatambua Ndoa yako ya pili ambayo ni wazi utaifunga Kiserikali,maana Kanisani hutoruhusiwa.
Nadhani hukuona clip nakuwekea chini, binti alikuwa mnyenyekevu sana! Hakutumia ubabeTena nasema yule aziza ni mstaarab sana nampa heko,yule magige angekutana na kichwa kilicho resi hata hilo shada asingeweka
Pumbavu zake kabisa,eti kisa mbunge!napata picha ndo ningekua mimi mbona show angeifurahia huyo mbunge
Hahahahaa. Kama si wosia basi akaunti yake itanona .
Wanawake wanakutesa halafu wanasubiri ufe wafaidi.
Huyo aliyekutunza sheria kama hazimuelewi nitamuelewa mimi
Kafiwa na hawarayake
Mbona km hili mnalifanya geni?
lawama hizi apewe marehemu kuwa na mke na hawara
Cat mtalaumu bure tu
Miaka 2 hunaye yuko anamtoa strss mumeo kwanini usubilie afe? Kisa mirathiTena nasema yule aziza ni mstaarab sana nampa heko,yule magige angekutana na kichwa kilicho resi hata hilo shada asingeweka
Pumbavu zake kabisa,eti kisa mbunge!napata picha ndo ningekua mimi mbona show angeifurahia huyo mbunge
Watanzania mnapenda udaku sana . Aliyefariki ni rafiki yangu anaitwa kuzula Madoda pamoja na kusoma naye Ilboru namjua toka tukiwa Primary Arusha. Huyu hakuwa mchumba ni mke wake na walikuwa wanakaa pamoja. Aliachana na mke wake wa zamani na kumuoa huyu mbunge na walikuwa wana kaa pamoja Dodoma sasa kufariki utamkatazaje mtu kama huyu kumwaga mpendwa wake! . Kuzula hakuamisha mali maana alikuwa na watoto lakini hakuna sababu ya kufungiwa gate kwa huyu mbunge kwasababu na maamuzi ya Kuzula mwenyewe. Alikuwa mtu mzima hivyo wajue maamuzi ni ya kuzula kumuoa huyu mbunge sasa Watanzania wanapenda drama kama vile alikuwa mchepuko!
Tumwache marehemu apumzike mahali pema peponi
Ndo nasema mimi ningetumia ubabe yan ningemrukia magige hapohapo🤣🤣🤣Nadhani hukuona clip nakuwekea chini, binti alikuwa mnyenyekevu sana! Hakutumia ubabe
Nimevutiwa na huyu kaka ila naogopa kazi yake
Wanaokwenda vita zile hatari huwa wanapata PTSD (Post Traumatic Stress Disorder) akilala mwili unashindwa kutulia (paralyze) kwa hiyo akiota anapigana inakuwa ni purukushani...inabidi uwe mvumilivu kweli...ila kama umependa kweli hakuna linaloshindikana mwisho wa siku anaweza kukaa sawaMjeda mie...www.jamiiforums.com
Una hakika hakua nae?ulikuepo?Miaka 2 hunaye yuko anamtoa strss mumeo kwanini usubilie afe? Kisa mirathi
najisikia aibu sana kuwakilishwa na Mbunge mhuni wakati wapo wenye fikea na nidhamu.Kimsingi anatakiwa kujihuzulu au kuvuliwa ubunge ameleta aibu kubwa sn tena ya kipumbavu
Cheti cha ndoa makaratasi ya kisheria tu hasa katika mirathi si katika kuzika
Wewe ni me au ke?Ndo nasema mimi ningetumia ubabe yan ningemrukia magige hapohapo🤣🤣🤣
Lkn serkali inajua kutengana au ?
Hiyo inahusikaje hapa?Wewe ni me au ke?
Akili zako majanga! Kujihuzulu au kujiuzulu?Kimsingi anatakiwa kujihuzulu au kuvuliwa ubunge ameleta aibu kubwa sn tena ya kipumbavu