Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mkuu Mzee wa Rula ya Lema inasikilizwa tarehe 20.09.2012....Kama wamekata rufaa watasaidia kupush nayo rufaa ya Lema itoke haraka maana haiwezekani iwahi kabla ya Lema halafu mambo itajulikana mbivu na mbichi, uchaguzi au arejeshewe ubunge wake Lema.
Last edited by a moderator: