Najiuliza kwa nini kusiwe na sheria ya wagombea au wapiga debe wanaoisababishia nchi kuingia kwenye ghrama mpya ya uchaguzi mdogo kwa hela za walipa kodi?
Watu kama Makufuli, Rage, Mkama, Huyo sheikh wa msikiti walitakiwa wanyongwe!
Hakikisha habari yako kisha urudi coz Dalali mwenyewe kasema hatakata rufaa. mia
Wanakata rufaa ili kupoteza muda wa kufanyika kwa uchaguzi kwani serikali yao haina hela. Kwauhakika CCM wanajua sana na walishajua muda mrefu kuwa hiyo kesi watashindwa na ndiyo maana hata cheo walichomuahidi Dr. Kafumu kuwa watampa hawakumpa kwasababu hiyo hiyo. Dr. Kafumu hakuacha ukamishina kwenda kukaa viti vya nyuma bungeni alikuwa amehidiwa kiti cha mbele lakini ikawa sio.
Najiuliza kwa nini kusiwe na sheria ya wagombea au wapiga debe wanaoisababishia nchi kuingia kwenye ghrama mpya ya uchaguzi mdogo kwa hela za walipa kodi?
Watu kama Makufuli, Rage, Mkama, Huyo sheikh wa msikiti walitakiwa wanyongwe!
ni nini hicho ndugu kwenye tasnia ya sheria??
What is michuzi by the way?