juliuschristopher
Member
- Dec 15, 2015
- 7
- 0
kuna watu wengine wanaongelea ushabiki humu kweli lowassa nani mwenye mabavu ya kumfukuza jamani????
mkuu fafanua hapo kwenye uchaguzi mwakani 2017 ina maana unatabiri kitu au kuna nini hapo? Fafanua vizuriUchaguzi CCM ni 2017 acha kudanganya watu. Na isitoshe chama ni cha wote waliokubali kwa hiari yao kuwa wanachama, sera ya kufukuza kwa hisia au tuhuma zisizothibitishwa inatoka wapi?
Mafisadi wakutupwa wanafilisi nnchiHahaaaa haya majina yanawasumbua sn
lowasa hana kosa wala si Fisadi kwani Mmiliki wa Richmond ni Kikwete ukitaka kumfukuza lowasa lazima uanze na Jk kwanza.kuna watu wengine wanaongelea ushabiki humu kweli lowassa nani mwenye mabavu ya kumfukuza jamani????
namba mtasomana wenyeweCCM ni ile ile oooh ni ilele x2
Tumejipanga mwaka huu mtaisoma x2
Bila escrow bila Richmond ya JK, bila mabehewa na madili haiwezekaniCCM bila mafisadi inawezekana.
We unasubiri juni kwa sababu ya udaku wenu au kwa kupata taarifa za chama? Mbona vijana wa siku hizi mnapotoka?N
Najua mna machngu ila kumbukeni si kila msemalo lazma litimie maana humu duniani hamuishi wenyewe. mmesema wenyewe ngoja tusubiri maana Juni si mbali kivile
Naona mkuu umesahau kauli ya mtoto wa mkulima a.k.a mkulima wa nyuki kuwa mafisadi wakiendewa ovyo nchi itatikisika!
Majina mengine yanawarusha roho eeh mmeyakomalia kana kama na nyie muwasafi.Safi sana...Rafiki zangu kina Lizaboni wakae chonjo...Tunataka CCM iwafukuze mafisadi wote
Jakay M Kikwenga,Maghufuli,Kinana,Chenge,Muhongo,Tibaijuka,Mkapa,Ridhwani, na wengine wote
Kama huyuCcm ni ndumilakuwili hao
Lowassa alifukuzwa? Wewe ni mwehu kwani haujui nini kilitokea na nini CCM kiliwapata.MBONA LOWASSA ALIFUKUZWA BWANA. NANI AOGOPWE?
hizi mbwembwe nadhani tulishazisikia tena mwaka 2011, au nimekosea? rostam akaondoka mwenyewe tena kwa hiyari yake,lowassa akabaki hadi 2015 akaondoka kwa hiyari yake pia, so kumtimua mtu sijui kama inawezekana kwa vitendo
Fisadi wa kwanza kutimuliwa awe yule aliyekuwa waziri wa ujenzi kwa kulisababishia hasara taifa kwa upotevu wa Tsh. Billion 262, na Rais ameshindwa kufuatilia Wizara ya Ujenzi na miundombinu yeye na TRA na Bandari anaogopa kujitumbua jipu lake.
politics don't work that waySubiri mahakama ya mafisadi ianze kazi, watachujana huko na kazi ya chama itakuwa rahisi.