Sioni mtu wa kumtimua Joka la makengeza,sioni mtu wa kumfukuza Mama fedha za Mboga sioni kwanza atatokea wapi ataanzia wapi na kumalizia wapi ?.
Hahahaaa nimeamua leo niende nao taratibu kabisa, kule kwenye uzi wa Lizaboni kanikimbia, kashindwa kujibu hoja zangu. nakwenda nao kimya kimya maana sababto inakaribia kuanzaAnajidanganya Mwenyewe mwache afurahishe nafsi yake
Nape kila siku analalamika lowasa fisadi lakini walishindwa kumfukuza , watamweza joka la makengeza na mama pesa ya mboga??
Hahahaaa nimeamua leo niende nao taratibu kabisa, kule kwenye uzi wa Lizaboni kanikimbia, kashindwa kujibu hoja zangu. nakwenda nao kimya kimya maana sababto inakaribia kuanza
Nani na lini alimfukuza LowassaMBONA LOWASSA ALIFUKUZWA BWANA. NANI AOGOPWE?
Usitupotoshe,alijiondoa CCM hakuna aliyekuwa na ubavu wa kumfukuza Lowassa.
Kazi ya chama ni kuwafukuza. Hausiani na akina Mramba. Kitakachofanyika ni kuwaengua katika nafasi zao kama walivyomuondoa Lowassa kwamba hafai kuwa kiongozi....itakua jambo jema wakifanya hivyo....na watakapoanza basi waanze na Mkapa aliyejimilikisha mgodi wa kiwira wakati wa utawala wake...pia wasirudi nyuma washughulikie wale wezi wa escrow waliobeba pesa za mkombozi bank....na wale waliobeba pesa stanbic bank kwa sandarusi pia wajulikane na wafukuzwe...hata mawaziri waliotuhumiwa kwa escrow nao washughulikiwe kama ilivyokuwa kwa kina Mramba na Yona...
...ccm wakifanya mambo yao ya kupambana na wezi wa mali za umma wasibaguane......maana wanapofanya hivyo umma unajua kuwa ni fitna tu na magumashi...kwamba wengine wanapigwa wakati wengine wanakumbatiwa...hii ndio shida ya ccm.....
Wasipoangalia watafukuzana wote na kubaki Mzee Pombe na Tupatupa. Hata mzee salama yake wasiguse mafaili ya ile wizara ya makatapila maana za chini ya kapeti zinasema naye alikuwa katika mshiko sio mchovu kabisa.CCM hi ya Tanzania au CCM nyingine? Yaani wamfukuze nanihii? Hahahaa au eti kabisa wamfukuze yule Jamaa? By the way, nani atamfukuza nani? Labda uniambie waamue kuondoka wote! Tunajua tumeamua kukaa kimya
Acha uongo nani alimuondoa Lowasa? Yeye aliondoka mwenyewe ndio maana vikao vilikuwa vinakaa usiku mzima kumjadili wapambane nae vipi!Kazi ya chama ni kuwafukuza. Hausiani na akina Mramba. Kitakachofanyika ni kuwaengua katika nafasi zao kama walivyomuondoa Lowassa kwamba hafai kuwa kiongozi.