RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,520
Basi kama ni suala ya kuanza kampeni kabla ya muda, CUF pekee ndo watabaki kwenye uchaguzi, kwa hiyo kama ni haki kutendeka basi tubakishe CUF wapigiwe kura za ndio ay hapana kuunda serikali.
Cha msingi CCM walikimbia kabla ya filimbi wakati hakuna pumzi la kutosha safari hii. Hivyo acha waendelee wanaume kufanya mambo.
Cha msingi CCM walikimbia kabla ya filimbi wakati hakuna pumzi la kutosha safari hii. Hivyo acha waendelee wanaume kufanya mambo.