CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha


Unakoelekea wewe sio kwema kabisa, na unavyopenda kusikika wewe...!! sijui saivi utakuja na mpya gani..., kama hujabadili jinsia mwaka huu.. sijui..
 
hivi kumbe kulaå zimeishapigwa na kuhesabiwa na ccm kutangazwa kuwa ni washindi haina maana ya kuanda uchaguzi by jamariki
 
Asalaam Aleikum Juliana Shonza bila shaka umejua Arusha Chama cha Vijijini, Wachumia tumbo na wapumbavu (CCM) Hakikubaliki kabisa............
 
Last edited by a moderator:
Mimi si shabiki wa vyama lakini kuna kafuraha ndani ya mtima wangu!hongereni Arusha kwa kusema na masanduku ya kura!hiki ndicho kinatakiwa kufanyika popote.
 
Tatizo la kupigwa miti na wanasiasa wa vijijini na kudhani unaifahamu siasa ya Arusha!!
 
juliiiiiiiiiiiiiieeeeeeeeeeeeeee nakuitaji julieeeee wangunjoaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaanikupe nami unipe julianaaaaaaaaaaaa tuendeleze maisha bora kwa kila madanguliwaaa oooh juliiyyyyyyyyyy
 

jichunguze mwenyewe na uchukue hatua
 
Arusha imekumbwa na kimbunga cha mageuzi magamba msitie mguu huko mtaendelea kuaibika, Juliana utabili wako umekuwa vise versa! aibu kwako-aibu kwa magamba yoooote!
 
Nahisi makina juliana yako mengi yamejazana jamiiforums sema yanasomanyakati kukurupuka haya na nyie majuliana mliokaa kimya endleeeni hivyo hivyo msikurupuke kama juliana letu hapa j wa lisonza lile
 
kabuli ndo nini?

Huna hoja msingi mr kelvin... suala ni je nani atashinda na kwa strategies zipi... kama yupo alikwenda tofaut na matarajio ya wananchi basi ni halali yake kushindwa.... Sera makini zitekelezeke... ccm tekelezen sera zenu!! Nasubir matokeo ya uchaguz huo
 
​Nimeisoma tena hii nikaishia kucheka tuu.
 

Mwenzangu kwanini ulitumika kiasi hiki? Usikubali kuwa mtumwa wa fikra
 
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.

Karibu Boss, Mheshimiwa saba, Bi Juliana Shonza.

Paskali.
 
Huku ni kujikomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…