CCM kufa baada ya 2015?

Fitinamwiko

JF-Expert Member
Aug 13, 2012
4,803
1,416
Kila dalili zinaonyesha umaarufu wa CCM unazidi kutokomea. Pamoja na mipesa wanayomwaga kununua Tshirt, kufia na Kanga, wananchi tunazidi kuwakimbia. Walitumia jeshi la Police kuwatisha wananchi kuhudhulia mikutano ya Wapinzani, wapi ndio kwanza wamekoleza moto. Sasa wanakata umeme, kuhujumu mukutano, wamesahau generators zipo kusaidia.
Je CCM ikishindwa (ohh sorry)itakaposhindwa 2015, ni mkoa gani tuuchague kubeba kaburi lake?
 
CCM ina negative perception kila kona ya nchi hii, kwa mila zetu Watz msiba hufanyika kwa mwenyeji na wakati mwingine mazishi yanaweza fanyika kwake, nadhani kama haitazikwa mkoa wa Pwani Bagamoyo, basi kaburi litakuwa dodoma
 
Kwanini ife? Hakuna chama cha upinzani ambacho kimejipanga sawasawa.
Huwezi kuleta mabaadiliko only by criticizing the ones holding power
We are still to see a realistic program from wapinzani that takes into account
our needs, our resources, our allies, our partners, our people na mengine
Kwa sasa sijaona chama kinacho niridhisha. Better the devil we know...
 
CCM ikifa basi Tanzania inakufa, CCM ndio roho ya hii nchi. Bila CCM kila kitu kinazimika. UN itabidi waje waweke serikali yao ili Tanzania ifufuke tena.
 
Magamba mbona ilishakufa siku nyingi..... Tunasubiri mazishi yake tu.
 
Kila dalili zinaonyesha umaarufu wa CCM unazidi kutokomea. Pamoja na mipesa wanayomwaga kununua Tshirt, kufia na Kanga, wananchi tunazidi kuwakimbia. Walitumia jeshi la Police kuwatisha wananchi kuhudhulia mikutano ya Wapinzani, wapi ndio kwanza wamekoleza moto. Sasa wanakata umeme, kuhujumu mukutano, wamesahau generators zipo kusaidia.
Je CCM ikishindwa (ohh sorry)itakaposhindwa 2015, ni mkoa gani tuuchague kubeba kaburi lake?

Kuhudhuria, wewe ni Mtanzania au ndio wale mnajifundisha Kiswahili mkianza shule?
 
Kuhudhuria, wewe ni Mtanzania au ndio wale mnajifundisha Kiswahili mkianza shule?
Hii ilikua ni point kubwa sana kule jukwaa la lugha, ila bahati mbaya hapa ni siasa. Mkuu, goal lako offside!
 
Siku Mwalimu alipotamka, "CCM si mama yangu" ndio siku rasmi CCM ilipokutana na umauti wake sasa tunasubiri mazishi tu ili ipotee kabisa kwenye anga za siasa za Tanzania.

Siku mkipata mbunge kutoka Zanzibar.
 
Siku Mwalimu alipotamka, "CCM si mama yangu" ndio siku rasmi CCM ilipokutana na umauti wake sasa tunasubiri mazishi tu ili ipotee kabisa kwenye anga za siasa za Tanzania.

Imekufa TAA, TANU, AFRO SHIRAZI PARTY, itakuwa CCM? unafikiri nini kitabaki? wewe? Huyo Mwalimu wako mwenyewe yuko wapi?
 
Ndugu Siasa wa Tanzania, anasikitika kutangaza kifo cha bwana CCM, aliyeuawa kwa ufisadi. Mazishi yatafanyika 2015, hukohuko Tanzania. Mipango ya mazishi inafanywa na bwana Chadema. Habari ziwafikie wazalendo wote popote walipo. Ukisikia tangazo hili, mjulishe na mwenzako
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndugu Siasa wa Tanzania, anasikitika kutangaza kifo cha bwana CCM, aliyeuawa kwa ufisadi. Mazishi yatafanyika 2015, hukohuko Tanzania. Mipango ya mazishi inafanywa na bwana Chadema. Habari ziwafikie wazalendo wote popote walipo. Ukisikia tangazo hili, mjulishe na mwenzako

lol! Bujibuji......Ubwabwa utaliwa wapi?
 
Kwanini ife? Hakuna chama cha upinzani ambacho kimejipanga sawasawa.
Huwezi kuleta mabaadiliko only by criticizing the ones holding power
We are still to see a realistic program from wapinzani that takes into account
our needs, our resources, our allies, our partners, our people na mengine
Kwa sasa sijaona chama kinacho niridhisha. Better the devil we know...

we ulitaka wapinzani wajipange vipi? Au mpaka waingie magogoni ndio utaamini CCM imekufa? Think great!
 
Kila dalili zinaonyesha umaarufu wa CCM unazidi kutokomea. Pamoja na mipesa wanayomwaga kununua Tshirt, kufia na Kanga, wananchi tunazidi kuwakimbia. Walitumia jeshi la Police kuwatisha wananchi kuhudhulia mikutano ya Wapinzani, wapi ndio kwanza wamekoleza moto. Sasa wanakata umeme, kuhujumu mukutano, wamesahau generators zipo kusaidia.
Je CCM ikishindwa (ohh sorry)itakaposhindwa 2015, ni mkoa gani tuuchague kubeba kaburi lake?

Hivi mazishi maana yake ni nini hasa; Je, ni kupoteza uchaguzi 2015 au Kusamsambaratika baada ya kupoteza uchaguzi 2015? Kama suala ni kupoteza uchaguzi 2015, wengi wetu tumeshakomaa na tupo tayari kwa demokrasia ya kupokezana vijiti; kama ni kusambaratika baada ya kushindwa 2015, wataondoka waliokuwa wachumia tumbo na kuacha wenye nia ya dhati na chama wakijenge upya, kwani kwa sasa ni mchanganyiko wa wenye mapenzi ya dhati moyoni na wale wenye mapenzi ya tumboni; Vinginevyo, Tanzania bila CCM haiwezekani - na hii sio sawa na kusema Tanzania bila CCM ikulu haiwezekani, kwani hilo linawezekana;
 
CCM ikifa basi Tanzania inakufa, CCM ndio roho ya hii nchi. Bila CCM kila kitu kinazimika. UN itabidi waje waweke serikali yao ili Tanzania ifufuke tena.

Nimegundua hata elimu yako ya msingi ulioipata kwa kubahatisha haijakukomboa. Yani wewe CCM unaiona kama mzazi wako? Kweli mapenzi ya mbwa ni kituko kwa watazamaji.
 
Kuhudhuria, wewe ni Mtanzania au ndio wale mnajifundisha Kiswahili mkianza shule?

we ulipata ngapi Kiswahili kwenye mitihani yako? Au unadhani hatujui kama ulikua unakua wa pili kutoka mwisho? Ama kweli nyani haoni kundule.
 
CCM ikifa basi Tanzania inakufa, CCM ndio roho ya hii nchi. Bila CCM kila kitu kinazimika. UN itabidi waje waweke serikali yao ili Tanzania ifufuke tena.

Una hoja lakini kidogo imechanganyika na ushabiki. Vinginevyo ni kweli kwamba CCM haiwezi kutoweka kwenye ramani ya siasa Tanzania, ina mizizi mirefu sana na kwa kiasi fulani ni sehemu ya utamaduni wa nchi kwa both, wanaoipenda na wanaoichukia; hii ndio maana ya kauli ya nyerere kwamba CCM ikiyumba, nchi itayumba; vinginevyo nchi haiwezi kuanguka kutokana na anguko la CCM, labda juhudi za binafsi zifanyike - aidha wanachama wa CCM wasio na uelewa wa demokrasia ya vyama vingi walete vurugu au wanasiasa wenye uwoga wa kufikishwa mahakamani Chadema ikiingia Ikulu walete vurugu; au wanachama na viongozi wa chama kitakachoshinda uchaguzi waanzishe vurugu (jambo ambalo sioni likitokea) na kutumia nguvu yao mpya ya dola kukifanyia CCM kila aina ya hujuma kipotee kwenye ramani ya siasa;

Kushindwa kwa CCM iwapo itatokea 2015, haitakuwa mwisho wa dunia bali ukomavu wa demokrasia na Chama kitaendelea kujijenga vizuri zaidi kwa chaguzi za baadae; kuna mifano mingi nchi za wenzetu:


  • CCM ya Zambia (UNIP) iliangushwa na Chadema za Zambia (MMD) baada ya kutawala miaka 27; Chadema ya Zambia (MMD) ikaja angushwa na chama kingine kipya kabisa cha satta - Patriotic Front (PF) baada ya kutawala kwa miaka 20;
  • Nchini Ghana, chama Cha NDC kilipoteza madaraka 1992, na kikaja kushinda tena 2008;
  • Nchini Uingereza, chama cha Labour kilikaa benchi kwa miaka 17 (wakati wa Thatcher akiwa Waziri Mkuu) na kuja kushinda uchaguzi chini ya blair mwaka 1997;
  • Nchini Japan, Democratic Party (DP) Japan kilitawala kwa miaka 50 mfululizo hadi juzi juzi kilipokuja angushwa, na kinajipanga vizuri sana na kuna chances kubwa sana kinarudi next elections;

Hata sisi Tanzania pia tunaweza; tusidanganyike na kutumiwa kuingiza nchi katika machafuko;
 
kwanini ife? Hakuna chama cha upinzani ambacho kimejipanga sawasawa.
Huwezi kuleta mabaadiliko only by criticizing the ones holding power
we are still to see a realistic program from wapinzani that takes into account
our needs, our resources, our allies, our partners, our people na mengine
kwa sasa sijaona chama kinacho niridhisha. Better the devil we know...
r.i.p ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom