we ulipata ngapi Kiswahili kwenye mitihani yako? Au unadhani hatujui kama ulikua unakua wa pili kutoka mwisho? Ama kweli nyani haoni kundule.
What a sick mind?CCM ikifa basi Tanzania inakufa, CCM ndio roho ya hii nchi. Bila CCM kila kitu kinazimika. UN itabidi waje waweke serikali yao ili Tanzania ifufuke tena.
Hivi mazishi maana yake ni nini hasa; Je, ni kupoteza uchaguzi 2015 au Kusamsambaratika baada ya kupoteza uchaguzi 2015? Kama suala ni kupoteza uchaguzi 2015, wengi wetu tumeshakomaa na tupo tayari kwa demokrasia ya kupokezana vijiti; kama ni kusambaratika baada ya kushindwa 2015, wataondoka waliokuwa wachumia tumbo na kuacha wenye nia ya dhati na chama wakijenge upya, kwani kwa sasa ni mchanganyiko wa wenye mapenzi ya dhati moyoni na wale wenye mapenzi ya tumboni; Vinginevyo, Tanzania bila CCM haiwezekani - na hii sio sawa na kusema Tanzania bila CCM ikulu haiwezekani, kwani hilo linawezekana;
Kila dalili zinaonyesha umaarufu wa CCM unazidi kutokomea. Pamoja na mipesa wanayomwaga kununua Tshirt, kufia na Kanga, wananchi tunazidi kuwakimbia. Walitumia jeshi la Police kuwatisha wananchi kuhudhulia mikutano ya Wapinzani, wapi ndio kwanza wamekoleza moto. Sasa wanakata umeme, kuhujumu mukutano, wamesahau generators zipo kusaidia.
Je CCM ikishindwa (ohh sorry)itakaposhindwa 2015, ni mkoa gani tuuchague kubeba kaburi lake?
CCM walivyo na njaa za matumbo yao? Sijui?
Walking while dreaming is very dangerous.ukiwa shabiki wa vyama utaamini kuwa ccm inakufa lakini ukiwa mpembuzi na mchambuzi wa mambo huwezi amini hiyo kitu.
hakuna dalili yoyote kwa CCM kufa.tusidanganyane,ukweli ni kitu muhimu sana katika maisha ya mwanadam
Walking while dreaming is very dangerous.
Mazishi ya CCM Yataliwa makande!... Majonzi makuu ya umaskini mkubwa waliotutwisha.