Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,115
Nitakuwa wa mwisho kuamini ati Jk kamtosa El. Siamini. Waweza kuta huu ni mkakati wao wote wa kuiondoa ccm, na ili jk asionekane ndio tatizo inabidi jamaa ake aingie magogoni kwa mlango mwingine, na bado ni wamoja bila hivyo kamwe chadema wasingemkubali El inawezekana kuna kitu wamehakikishiwa na unaweza kuta pombe akatoswa kiaina.
Siku zote naamini la JK na EL ni moja. Zingine sarakasi. Nitakua wa mwisho kuamini ujio wake UKAWA/CDM ni kutoka rohoni kwa hasira ya kukatwa. Hao mapacha wana mikakati sana. SANA! Kwa tunaoamini habari za kula njama, KUHAMA ENL CCM kwenda CDM/UKAWA ni NJAMA za kundi fisadi kuendelea kutawala.
Akiba ya maneno: Nasubiri nisikie tamko la viongozi CDM halafu UKAWA na pia yeye mwenyewe ndio nichukue uamuzi.
Kwa sasa: NAMUONEA HURUMA MAGUFULI. ZAIDI, NAONEA HURUMA HARAKATI ZETU WAZALENDO DHIDI YA UFISADI!!