CCM Kimeandaa propaganda dhidi ya ujio wa Lowassa CHADEMA/UKAWA

CCM Kimeandaa propaganda dhidi ya ujio wa Lowassa CHADEMA/UKAWA

Nchi haiwezi kuongozwa na mkuu wa Mafisadi, bora angekuwa fisadi mdogo.

Alipokuwa ccm mbona amkusema ni fisadi, kingine mbona amkufikisha mahakamani kwanini umuhukumu mtu kabla ajahukumiwa..kwa ccm yenyewe ndyo imejaa mafisadi papa kama mkulu na familia yake, kinana weka mbali na tembo et al..kwanini mumuone LOWASA ndyo fisadi tu ndani ya ccm..mnachekesha kweli nyie magamba, huko ni kuweuka na dalili za kushindwa.. oct asubuhi na mapema mtahama nchi.
 
Alipokuwa ccm mbona amkusema ni fisadi, kingine mbona amkufikisha mahakamani kwanini umuhukumu mtu kabla ajahukumiwa..kwa ccm yenyewe ndyo imejaa mafisadi papa kama mkulu na familia yake, kinana weka mbali na tembo et al..kwanini mumuone LOWASA ndyo fisadi tu ndani ya ccm..mnachekesha kweli nyie magamba, huko ni kuweuka na dalili za kushindwa.. oct asubuhi na mapema mtahama nchi.

Hakika wewe ni simba.
 
Huyu akiwa mkuu na Chenge atakuwa nani?Na yule aliyesaidia ESCROW account naye?

Nitakuwa wa mwisho kuamini ati Jk kamtosa El. Siamini. Waweza kuta huu ni mkakati wao wote wa kuiondoa ccm, na ili jk asionekane ndio tatizo inabidi jamaa ake aingie magogoni kwa mlango mwingine, na bado ni wamoja bila hivyo kamwe chadema wasingemkubali El inawezekana kuna kitu wamehakikishiwa na unaweza kuta pombe akatoswa kiaina.
 
karibu tuendeleze mapambano ,ccm hawatoki mwaka huu,nyota imeng'aa kwa lowassa karibu jembe letu ,fitina zao zimewaponza wanatamani wasingeponzwa na jk katika uteuzi wa majina ya mfukoni
 
Viongozi wa Chadema watueleze kwa nn wamemkubali Lowassa hili hali waliyuaminisha ni fisadi

Tumeshadhibitisha si fisadi ni mtu safi, hakuna ushahidi wowote wa kumuhusisha moja kwa moja na richmond, kwani hujui yote yaliyofanyika richmond kikwete alikuwa anajua na kubariki?
 
Updates....

Chama cha mapinduzi kinajiandaa kumfukuza Lowassa muda wowote toka sasa, kwa hali hii, UKAWA Impe ulinzi mkali na wanasheria wa UKAWA waendelee kuiinoa zaidi.
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini ati Jk kamtosa El. Siamini. Waweza kuta huu ni mkakati wao wote wa kuiondoa ccm, na ili jk asionekane ndio tatizo inabidi jamaa ake aingie magogoni kwa mlango mwingine, na bado ni wamoja bila hivyo kamwe chadema wasingemkubali El inawezekana kuna kitu wamehakikishiwa na unaweza kuta pombe akatoswa kiaina.

JK ni mwenyekiti wa CCM Kama kumsaidia EL ingekuwa ndani ya CCM.Sioni kuingia Ikulu kwa mlango wa nyuma,kama EL akitoka CCM utakuwa uamuzi wake mwenyewe.Lakini ni mapema mno kuelewa hatima ya EL ndani ya Ukawa.Bado CCM inaweza ikatibua deal.
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini ati Jk kamtosa El. Siamini. Waweza kuta huu ni mkakati wao wote wa kuiondoa ccm, na ili jk asionekane ndio tatizo inabidi jamaa ake aingie magogoni kwa mlango mwingine, na bado ni wamoja bila hivyo kamwe chadema wasingemkubali El inawezekana kuna kitu wamehakikishiwa na unaweza kuta pombe akatoswa kiaina.

Hata jk alichukua kadi ya cdm 2005. Hasingepitishwa tu tungeona mengi.
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini ati Jk kamtosa El. Siamini. Waweza kuta huu ni mkakati wao wote wa kuiondoa ccm, na ili jk asionekane ndio tatizo inabidi jamaa ake aingie magogoni kwa mlango mwingine, na bado ni wamoja bila hivyo kamwe chadema wasingemkubali El inawezekana kuna kitu wamehakikishiwa na unaweza kuta pombe akatoswa kiaina.

Picha inaendelea sina la kuongeza....
 
Nchi haiwezi kuongozwa na mkuu wa Mafisadi, bora angekuwa fisadi mdogo.
Kumbuka hata Marekani ilimtumia gaidi Osama Bin Laden kuisambaratisha Urusi. Si mbaya CDM wakimtumia fisadi Lowasa kuusambaratisha mfumo mfu wa CCM. Siasa ni strategy na hii ni fursa nzuri ya kuisambaratisha CCM hata kama ni kwa mbinu chafu!
 
Updates....

Chama cha mapinduzi kinajiandaa kumfukuza Lowassa muda wowote toka sasa, kwa hali hii, UKAWA Impe ulinzi mkali na wanasheria wa UKAWA waendelee kuiinoa zaidi.

Kwa sasa yuko ndani ya ulinzi wa UKAWA hilo lisikupe shida watu walishajipanga kitambo
 
Mr Meandu umeongea kweli wachokoze nyuki waone tutatoa cctv video waliochukua fedha stanbick bank hapo ndio utamjua lowassa vzr. Lazima serikali iwe uchi
 
Kwa Lowassa CCM watakanyagana sana mwaka huu..JK anafuata ushauri wa mkulima wa viazi mangula kukata jina sasa atashangaa sana mwaka huu..CCM inawekwa stoo
 
Huyu akiwa mkuu na Chenge atakuwa nani?Na yule aliyesaidia ESCROW account naye?

Kuna sehemu niliona ulikuwa unapinga ujio wa Lowassa Ukawa, bado bado una huo msimamo?
 
Tumeshadhibitisha si fisadi ni mtu safi, hakuna ushahidi wowote wa kumuhusisha moja kwa moja na richmond, kwani hujui yote yaliyofanyika richmond kikwete alikuwa anajua na kubariki?

Wewe ni nani? na mumethibitisha sio fisadi wewe na nani? na lini mlithibitisha kuwa sio fisadi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom