Elections 2010 CCM/ Kihiyo Chegeni Kanusheni na hii……………

Fikra za ezan ni kama hio avatar yake, unafikiri vijiji kama vya sasa na sawa na vile vijiji vya ujamaa vya mwalimu, siku hizi watu wanakula newz, kwani solar kibao, hebu nenda kule umasaini ndio utashangaa, utakuta nyumba ya full suite ina solar na dish kubwa nje na bado mtu ana simu kwani anatumia umeme wa sola kuchaji hio simu, acha ujima wewe.Watanzania sio wadanganyika tena kaka, wanakijiji wamejanjaruka kwa sana tu sasa,wanajua kila kitu kinachoendelea duniani, so usiwa under grade kabisa.Matokeo hayo yana ukweli sana, angalia jisni matumizi ya fedha za umma yanayofanywa na hawa viongozi yalivyo juu.Inawezekana kutoa elimu na afy bureeeeeeeeee ni kujipanga tuu.
 
Fikra za ezan ni kama hio avatar yake, unafikiri vijiji kama vya sasa na sawa na vile vijiji vya ujamaa vya mwalimu, siku hizi watu wanakula newz, kwani solar kibao, hebu nenda kule umasaini ndio utashangaa, utakuta nyumba ya full suite ina solar na dish kubwa nje na bado mtu ana simu kwani anatumia umeme wa sola kuchaji hio simu, acha ujima wewe.Watanzania sio wadanganyika tena kaka, wanakijiji wamejanjaruka kwa sana tu sasa,wanajua kila kitu kinachoendelea duniani, so usiwa under grade kabisa.Matokeo hayo yana ukweli sana, angalia jisni matumizi ya fedha za umma yanayofanywa na hawa viongozi yalivyo juu.Inawezekana kutoa elimu na afy bureeeeeeeeee ni kujipanga tuu.
 
Nadhani sasa umefika wakati uliotarajiwa,watu wamepata uwezo wa kupambanua mambo sio enzi zile mtu anaweza kusema chochote tu watu wanfurahi na kumpigia makofi kiwe kibaya au kizuri.Viongozi wetu wanatakiwa kusoma alama za nyakati na kubadilika kama vipi waachie ngazi.Nasema haya kwa mifano , Mh Jakaya alisema kura za wafanyakazi hazihitaji baadae akajuta kimoyomoyo kwanini alisema na akaanza kuongeza mishahara kuwapoza baadhi.Mheshimiwa mmoja naye kasema mdahalo wa wagombea unaweza kukusanya watu hata wa kariakoo ambao kwa fikra zake cjui wakoje,naye yememkuta.na mwingine anasema mgombea fulani hana uwezo wa kupewa ubunge labda apewe ujumbe wa nyumba kumi,anasahau mti lazima uwe na mizizi ndo unakua la sivyo utakufa,msingi wa chama ni viongozi na wjumbe wa nyumba kumi kumi,
Jamani acheni siasa za maji taka tuchague watu makini.
 
Hao CCM wamekwisha safari hii,hata kama watashinda ni kwa wizi kama kawaida, Ee mungu wape hamasa watanzania waiondoe madarakani CCM ni chama cha majambazi.Hotuba ya J.K jana aliwaambia watz kuwa nchi yenye amani ndo nchi inayopata maendeleo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Tz imekuwa na amani 50yrs ago. ni maskini hadi sasa. Uganda ushari miaka kibao na wana accelerate kimaendeleo balaa, Kenya nao sembuse TZ.

Mawakala wa vyama pinzani wakiwa makini, CCM chali. Na hawa mawakala watashughulikiwa tu kwani wakipewa hivyo vi milioni tutajua tu - kwanza kufukuzwa kwenye chama, pili kushughulikiwa ki-usalama wa taifa (kugongwa na gari lenye namba bandia na kukimbia, kuingiliwa na majambazi na kuuawa, watoto wao kupotea, nyumba kuungua na sababu kuwa vifaa fake vya umeme, kukatwa mapanga njiani na kudhaniwa kuwa hao ni vibaka, kuwekewa sumu kwenye vinywaji, kumwagiwa tindikali, kufa ghafla kwenye gesti baada ya kwenda mkoa mwingine kikazi au kibiashara, gari kuweka chumvi na injini ku-knock, kuchomwa sindano ya sumu hospitali, kubakiwa mke/ kubakwa, na mengine mengi).
 
SI KWELI HAYO MATOKEO YAMETOKANA NA WATU WANAO ANGALIA TV TU, SISI KAMA CHAMA TUMEWALENGA ZAIDI WALE WATU WA VIJIJINI AMBAO HAWANA UMEME HATA KAMA WANAO HAWANA TV, HATA KAMA WANAZO WAWE WALE AMBAO TV WANAZITUMIA KUANGALIA TAMSIRIA AU MAIGIZO MBALIMBALI, YAANI WENYE HAMU NA KANGA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI NA POMBE ZA KIENYEJI NA ELFU MBILIMBILI NAAMANISHA WALE WATU WANAOAMINI SIKU CCM IKITOLEWA MADARAKANI KUTATOKEA VITA KAMA RWANDA NA BURUNDI, WASIOPENDA MACHAFUKO NA WANAOPENDA HII AMANI TULIOYO NAYO INADUMU MILELE.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA CHAMA CHETU KITUKUFU.:becky:

Na ile hotuba ya kila mwezi kwenye TV uwa mnawalenga akina nani?
 
Back
Top Bottom