CCM iwasimamishe/iwavue uanachama wabunge (majipu) wote wala Rushwa

Mr Emmy

JF-Expert Member
Mar 12, 2012
1,219
550
Ili kuendana na kasi ya Rais Dr Magufuli ni vyema chama changu CCM kikawatumbua majipu wabunge wote wanaotuhumiwa kula rushwa katika uteuzi wa kamati kama walivyotumbuliwa vigogo mbalimbali wa serikali waliotuhumiwa kwa Rushwa kama Masamaki, Bade, Mzee TRL, Mama wa DART, Mama wa Vipimo et al.

Kama chama kinachosimamia serikali tunataka wabunge wala rushwa wote washughulikiwe sio tu na Kamati ya maadili ya Bunge pia na kamati ya maadili ya chama na hatua kali zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuwavua uwanachama na kuwafikisha mahakamani haraka iwezekanavyo ili kuondoa double standard kati ya watumishi wa umma na wanasiasa.
 
Mkuu;
Unajiamini vipi?? Huyo mbunge akiisha tumbuliwa unategemea hicho chama kiweze kuupata ushindi tena hapo?? Haitatokea. CCM hakuna aliye safi hata mmoja. Nasema; HATA MMOJA. Sasa hesabu unayo mwenyewe. Upinzani msitegemee kuongoza nchi kihivyo. Haiwezekani ccm ijitumbue
 
Thubutu! Ccm bila rushwa inaweza kuwepo? Ni sawa na kutenganisha ngozi na mwili
chini ya Uncle Magu mla rushwa yeyote ndani ama nje ya CCM LAZIMA APELEKWE MAHAKAMA YA MAFISADI
 
Mkuu;
Unajiamini vipi?? Huyo mbunge akiisha tumbuliwa unategemea hicho chama kiweze kuupata ushindi tena hapo?? Haitatokea. CCM hakuna aliye safi hata mmoja. Nasema; HATA MMOJA. Sasa hesabu unayo mwenyewe. Upinzani msitegemee kuongoza nchi kihivyo. Haiwezekani ccm ijitumbue
Kamwe hatuta endekeza wanachama wala rushwa hasa wabunge kwa maslahi mapana ya taifa letu majipu yote ndani ya ccm na nje ya ccm yatapasuliwa tena bila ganzi. kamwe hatuwezi kukumbatia wabunge wala rushwa kwa kuogopa kurudia uchaguzi
 
Kamwe hatuta endekeza wanachama wala rushwa hasa wabunge kwa maslahi mapana ya taifa letu majipu yote ndani ya ccm na nje ya ccm yatapasuliwa tena bila ganzi. kamwe hatuwezi kukumbatia wabunge wala rushwa kwa kuogopa kurudia uchaguzi
Umeingia Ccm jana? Kuiondoa rushwa Ccm ni sawa kumuosha kitimoto
 
watumbuliwe na nani kama mtumbuaje mwenyewe ndo anateua majipu na baadae kuyasifia eti yanachapa kazi. Lejea uteuzi wa akina Muhongo, Maswi na wabunge waliopigwa chini na wananchi kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa
 
kinach
Ili kuendana na kasi ya Rais Dr Magufuli ni vyema chama changu CCM kikawatumbua majipu wabunge wote wanaotuhumiwa kula rushwa katika uteuzi wa kamati kama walivyotumbuliwa vigogo mbalimbali wa serikali waliotuhumiwa kwa Rushwa kama Masamaki, Bade, Mzee TRL, Mama wa DART, Mama wa Vipimo et al.

Kama chama kinachosimamia serikali tunataka wabunge wala rushwa wote washughulikiwe sio tu na Kamati ya maadili ya Bunge pia na kamati ya maadili ya chama na hatua kali zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuwavua uwanachama na kuwafikisha mahakamani haraka iwezekanavyo ili kuondoa double standard kati ya watumishi wa umma na wanasiasa.
kinachowaunganisha ni rushwa, wakiitoa rushwa chama kinakufa
 
Ili kuendana na kasi ya Rais Dr Magufuli ni vyema chama changu CCM kikawatumbua majipu wabunge wote wanaotuhumiwa kula rushwa katika uteuzi wa kamati kama walivyotumbuliwa vigogo mbalimbali wa serikali waliotuhumiwa kwa Rushwa kama Masamaki, Bade, Mzee TRL, Mama wa DART, Mama wa Vipimo et al.

Kama chama kinachosimamia serikali tunataka wabunge wala rushwa wote washughulikiwe sio tu na Kamati ya maadili ya Bunge pia na kamati ya maadili ya chama na hatua kali zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuwavua uwanachama na kuwafikisha mahakamani haraka iwezekanavyo ili kuondoa double standard kati ya watumishi wa umma na wanasiasa.
Hilo haliwezekani kwa ccm ya Kikwete; fanya subira tingatinga lichukue mikoba; watafurahi!
 
Mimi ni kada wa CCM nasema wazi kabisa hao WABUNGE mafisadi watumbuliwe.Wanachafua chama chetu. Come 2020 nagombea ubunge jimbo la Kibamba. Maadili na Uwajibikaji ndo kanuni msingi ya nia yangu ya kugombea ubunge. Ni mwanafalsafa,mtaalamu wa Elimu maadili(MA Ethics),mwanasheria(LLB, LLM, PhD Law). Nataka nitengeneze historia ya kumng'oa mbunge wa UKAWA.
 
Kuna mbunge wa CCM alidakwa live na Takukuru anaitwa Badwel wa Bahi, CCM badala ya kumfukuza ilimlinda hadi kulazimisha ashinde kesi. Sa sijui huyu mtu anaongelea CCM ipi wakati CCM ni ile ile
 
Kamwe hatuta endekeza wanachama wala rushwa hasa wabunge kwa maslahi mapana ya taifa letu majipu yote ndani ya ccm na nje ya ccm yatapasuliwa tena bila ganzi. kamwe hatuwezi kukumbatia wabunge wala rushwa kwa kuogopa kurudia uchaguzi
mmechelewa.mlishindwa kuwaondoa wakati ule wa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro cha uteuzi wa wagombea ubunge 2015 ambapo rushwa ilitamalaki sana.
 
Uko vizuri,ila utumie muda huu kusomea angalau shahada ya Wizi na ufisadi inayotolewa pale Lumumba ili ikuongezee sifa ya kuchaguliwa kuwa mgombea wa ccm
CCM ya Magufuli inapingana na maoni yako. CCM ya Nyerere inazaliwa upya June 2016. Maadili na Uwajibikaji ndiyo msingi wa CCM ya kweli. Mliyokuwa mnaiona ni CCM ya bandia. Haimo kwenye katiba ya CCM ya kweli.
 
Back
Top Bottom