CCM itatawala nchi kwa karne nzima

Wa
Watanzania sio waoga km unavyojiaminisha. Tatizo lipo kwa upinzani hauleweki pia hauaminiki. Huwezi kupigania kitu ambacho hakieleweki. Labda km haupo timamu.
Mwaka 2015 ukawa ilipata kura 52000 Kinondoni uchaguzi wamarudio imepata kura 12000. Hadi hapo unaona kuna haja ya raia kupigana na polisi? Tatizo kuu ni gia ya angani na kuanza kutakasa mafisadi. Raia wamekata tamaa wanaona ni heri zimwi likujualo.
 
Chadema ilipopata fursa ya kukamata dola ikatuletea fisadi na hivyo watu wakaamua kwa dhati na kiakili mno kuwa ni lazima waibakishe CCM.

Kwa mantiki hii CCM lazima itawale milele !

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!

kuna mtu alipiga ten per cent kwenye kivuko kakikimbizia jeshin sisi wa bagamoyo tunapiga mbiz tu kuja mjini ndege wafananao huruka pamoja kama sio fisadi mwambie amchomoe chenge uone
 
Hata wenzetu koote walikua waoga hivihivi
Libya walimuogopa sana Gadafi na jeshi lake kali
Iraq walimuogopa sana Sadam na nguvu zake za kijeshi

Siku ikifika uoga unaisha

Siku moja tumbo ambalo lilizoea kula milo mitatu kwa siku litakapo ambulia kashata moja ya mia kwa siku
Hapo ndo uoga utaisha.

So iko siku matumbo yanayolala njaa yataongea wala si uoga
Muda haujafika.
 
Kwanini unataka kupigana na Polisi?

Polisi wanapiga kura?

Tatizo lako lipo ktk box la kura

Wapo wanaoipigia kura CCM na ni wengi.

Huwezi kushinda uchaguzi kwa kupigana na Polisi.
Well said
Kwa mwoga hakuna kilio
 
 
 
Mkuu, hayo uliyoandika ni moja ya sababu sikatai.
Binafsi naelekeza lawama kwa wasomi na si raia wote kwa ujumla wao.
Ubinafsi wa wasomi wa nchi yetu ni janga.
Wanashindwa kuunda vyama vya upinzani vyenye sera za maana.
Pia wanahuni taaluma zao na kukimbilia siasa kwaajili ya tija za muda mfupi na matumbo yao tu.
Je kwa mantiki yako, waTz wakitaka kukiondoa ccm kwa njia ya sanduku la plastiki, ni chama gani cha upinzani hapa nchini ambacho kinaweza kuwa ni mbadala kwa mfano?
 
Inanitia shaka sana Watanzania tena ninaodhani weledi, wanakuwa na kauli za kuamasisha vurugu! Wananchi wapambane na Polisi, na dola! It isn't wise dude! Mara nyingi tu nyie wasomi hamkutwi, wanakutwa vijina ambao hawajasoma kihivyo, maisha magumu, wana watoto wanne na kuendelea, umaskini unaendelea kutoka marehemu had I kwa watoto! Tuamasishe vijana wakalime vitunguu,wafuge kuku, nguruwe wauze wajiongezee kipato siyo kupambana na Polisi! Huku nyie hamwendi! Tuamasishe vijana wajifunze ufundi nk.
 
N taifa gan lenye ustawi ambalo raia wake wanaidindia serikali???
N taifa gan lenye ustawi ambalo raia wake wanapambana na askar na wanajesh??
THIS IS TANZANIA BROTHER (In hajj manara's voice)
HII N TANZANIA KAKA!!!!
Naona wewe huna exposure lazima ni mkomunist
 
Kwanini unataka kupigana na Polisi?

Polisi wanapiga kura?

Tatizo lako lipo ktk box la kura

Wapo wanaoipigia kura CCM na ni wengi.

Huwezi kushinda uchaguzi kwa kupigana na Polisi.

wizi wa kura je??
Mawakala Feki?
Nk Nk
 
Tupambane na polisi kwa sababu gani kwa mfano?
Tukiitoa ccm madarakani ni chama gani kinaweza kuongoza nchi?
 
Leo angalau umenena point ktk hili, watu wamejengewa hofu na wengi pia hawajui hata haki zao za msingi na hawawezi kuzipigania, na pia kuhusu hili la elimu ni kweli, Angalia shule za misingi na kata zinavyozalisha failures wengi. Hapo unategemea nini kama si mitaji ya watawala?!
 
Mkuu hayo yote chanzo chake ni dhana ya siasa ya ujamaa ambayo ilipandikizwa ndani ya mfumo wa maisha ya Watanganyika...

Moja ya madhara ya siasa ya ujamaa ni kuwa na taifa lenye watu walio na fikra tegemezi...

Ndio maana ndani ya nchi kama Tanzania utapata wananchi wanaotegemea ajira badala ya kujiajiri n.k

Hivyo basi hata katika siasa, Watanganyika wanaamini kuwa Nyerere ni baba wa taifa na urithi mmojawapo aliowaachia ni CCM...
 
Nina Iman bado hakuna Watanzania wenye nia ya kupigana na Dola kwa kuwa hawana sbb ya kufanya ivo.

Ila kuna kikundi cha watu walijivika UTANZANIA kina shawishi sana mapambano baina ya wananchi na dola yao.

Nyani Ngabu as we always says " charity begins at home" hebu tuambie mwenzetu mtaani kwako umewahi pambana na nani na ajenda ilikuwa nini?

Ili tuitumie kutoka nayo ngazi ya familia, mtaa, kata, tarafa wilaya mkoa hadi Taifa.

Jua hivi vitu ni connection kama hakuna basi ujue hakuna tatizo hapo zaidi ya wivu na uchu wa madaraka.
 
Ni kweli kabisa mkuu mbowe tunae muamini sababu ya woga na ujinga alitokomea kusikojulikana akatuacha makamanda!
 
Kura 18000 zote mmeibiwa??????????fanyeni siasa safi acheni ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…