CCM itang'oka kwa aibu kama Mugabe

CCM itang'oka kwa aibu kama Mugabe

ni aibu sana. chama kinahangaika kutumia mabilioni ya walipa kodi kuhonga wapinzani na kuwanunua badala ya kuongeza kwenye bajeti ya bodi ya mikopo ili watoto wetu wasome.
Nyalandu akihamia CDM ni MAPENZI yake mwenyewe lakini Msando akihamia CCM AMEHONGWA.

Ugonjwa wenu unajulikana kama Delusional-Schizophrenia. Kifupi, HAMNAZO.
 
Hawana hoja zenye nguvu wala mvuto, sera zao ni MUFILISI sasa huyu dikteta uchwara kagundua kuchota hazina mamilioni ili kutoa rushwa kwa wachumia tumbo na pia kuwahonga rushwa ya vyeo waungane naye kuendelea kuivuruga nchi yetu. Wenyewe wanadai chama kimeimarika!!!! Hahahahahaha

ni aibu sana. chama kinahangaika kutumia mabilioni ya walipa kodi kuhonga wapinzani na kuwanunua badala ya kuongeza kwenye bajeti ya bodi ya mikopo ili watoto wetu wasome.
 
Hawana hoja zenye nguvu wala mvuto, sera zao ni MUFILISI sasa huyu dikteta uchwara kagundua kuchota hazina mamilioni ili kutoa rushwa kwa wachumia tumbo na pia kuwahonga rushwa ya vyeo waungane naye kuendelea kuivuruga nchi yetu. Wenyewe wanadai chama kimeimarika!!!! Hahahahahaha
Kama wamekuja kwa rushwa njaa ndizo zinazowasumbua.
 
Nyalandu akihamia CDM ni MAPENZI yake mwenyewe lakini Msando akihamia CCM AMEHONGWA.

Ugonjwa wenu unajulikana kama Delusional-Schizophrenia. Kifupi, HAMNAZO.
Mkuu Hawa jamaa wa ufipa akili zao mda mwingine huwa wanazisahau mahali si bure.
Katambi kaongea maneno mazito sana pindi anahama CHADEMA but walivyo mazwazwa kama mwenyekiti wao wanasema njaa ndio zinamsumbua na hakuwa na mchango wowote ndani ya chama.
 
ni aibu sana. chama kinahangaika kutumia mabilioni ya walipa kodi kuhonga wapinzani na kuwanunua badala ya kuongeza kwenye bajeti ya bodi ya mikopo ili watoto wetu wasome.
Kwani nyie lowasa mlimuhonga au aliwahonga??
 
Leo mabavicha yamechanganyikiwa kweli kweli. Hata hayaeleweki yanataka kusema nini, utafikiri yamevuta bangi. Yaani ni kuweweseka tu, hadi inatia raha.
 
Huu ni utabiri wangu na mtakuja kuukumbuka. Ni kweli ulio wazi kwamba Watanzania wengi wameichoka CCM, lakiji wanashindwa kuiondoa madarakani kwa sababu Mwenyekiti wao ambaye ndiye Rais was nchi ndiye mwenye madaraka ha kuunda na kuisimamia Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC).
NEC ndiyo inaamua kumtangaza mshindi yoyote inavyotaka. Matokeo ya urais ndio kabisa hayatakiwi kuhojiwa.
Hivi kama chama kinapendwa na wananchi, mbona kimejitwisha madaraka makubwa kiasi cha kuvuruga demokrasia?
CCM wajue hata Mugabe hakupanga kujiuzulu kipindi hiki, hakujua kama jeshi litamgeuka, alidhani mambo yatakuwa shwari hadi afie ikulu.
Nyerere hakuwa mjinga kuruhusu vyama vingi hata kama wengi hawakuvitaka.
CCM hawataki mabadiliko ya Katika maana wanajua iliyopo inawalinda. Wanadhani wataishi milele madarakani, lakini ipo Sikh wataondoka madarakani kwa aibu kama Mugabe.
Ni wanaccm wenyewe ndiyo wataiangusha CCM yao. Wataiangushaje ? Ni kwa kutokuelewana kwa mitazamo yao kwa maamuzi watakayoyafanya kisera.Ni kati ya wenye mawazo ya kizamani na wenye mawazo mapya.
 
mleta mada elewa yafuatayo:-
1. wazimbabwe hawajakichoka chama tawala ZANU PF lakini wamemchoka mwenyekiti wa mda mrefu Mgabe ambaye ni sawa na mbowe alivyong'ang'ania kitini....hii ni tofauti na CCM ambapo kuna mabadiliko ya kiuongozi kila baada ya miaka 10.

2. Mazingira ya Zimbabwe ni tofauti sana na Tanzania, kilichotokea Harare ni vuguvugu la mda mrefu sana ambapo watu / wanachama wa ZANU PF wanataka mabadiliko ya uongozi na sio kubadili chama.

3. Elewa kuwa ZANU pf itaendelea kuwepo kama chama tawala hata baada ya Mugabe kuachia madaraka tofauti na mnavyolinganisha eti ccm itaanguka kama Mugabe ( CCM ni chama, mugabe ni MTU)

Ni wakati wenu sasa wanachadema wa kufanya maamuzi kama wana ZANU pf ili kumung'oa mwenyekiti wenu aliyekalia kiti kwa mabavu kama alivyokuwa mugabe. this may sound bitter but really.
 
mimi ni mpinzani wa ccm lakini utabili wako naupinga ccm sio mtu ni chama kuna wabunge mawazari nk sasa wote waenguke.......ina wezekana kweli au kiswahili chako hakija nyooka?
 
Huu ni utabiri wangu na mtakuja kuukumbuka. Ni kweli ulio wazi kwamba Watanzania wengi wameichoka CCM, lakiji wanashindwa kuiondoa madarakani kwa sababu Mwenyekiti wao ambaye ndiye Rais was nchi ndiye mwenye madaraka ha kuunda na kuisimamia Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC).
NEC ndiyo inaamua kumtangaza mshindi yoyote inavyotaka. Matokeo ya urais ndio kabisa hayatakiwi kuhojiwa.
Hivi kama chama kinapendwa na wananchi, mbona kimejitwisha madaraka makubwa kiasi cha kuvuruga demokrasia?
CCM wajue hata Mugabe hakupanga kujiuzulu kipindi hiki, hakujua kama jeshi litamgeuka, alidhani mambo yatakuwa shwari hadi afie ikulu.
Nyerere hakuwa mjinga kuruhusu vyama vingi hata kama wengi hawakuvitaka.
CCM hawataki mabadiliko ya Katika maana wanajua iliyopo inawalinda. Wanadhani wataishi milele madarakani, lakini ipo Sikh wataondoka madarakani kwa aibu kama Mugabe.

Sasa ndiyo umeandika nini hapa? Pumba tupu.
 
Back
Top Bottom