CCM INAYOKUFA MKOMBOZI WAKE NI MH. lOWASA

CCM INAYOKUFA MKOMBOZI WAKE NI MH. lOWASA

mwambieni low.asa akatubu laana ya baba wa taifa kwa ufisadi mkubwa alio ufanya ndani ya taifa hili tanzania!

Hizo ni fitna za maadui zake lakini nakwambia kwa ccm hakuna kama Laigwanan
 
!
!
team Lowassa for uraisi....kura yangu kwa CCM kama atasimama Lowassa kinyume na hapo CHADEMA hata kikisimama kivuli au jiwe
 
!
!
Lowassa Edward.....popote ulipo naomba ujue unamiliki kura yangu ya uraisi. Usipogombea naipeleka CDM
 
Ukiendekeza njaa utaharibu utu wako

Wakati wenzako tunajadili hoja ya msingi ww unakuja na upuuzi wakati ukweli unaujua ila ni basi tu akili yako ndio imeishia hapo so hakuna la kukusaidia inabidi tu tubebeane mizigo.
 
Ccm wakimchagua lowassa kidogo anaweza akaipa homa CDM,wengine hawa ni mamburula tu.
 
Kama lowassa ccm watamtosa,kura yangu nampa slaa,Membe stampa coz if he winns nchi itangia vitani,kaongea waas wa rwanda
 
Akiwa president hatakuwa waa hiyi ccm yenu na mnajua hilo
 
Hili suala hata wao ccm wanalifahamu, tatizo ni pale ambapo EL atapita nasisi wananchi kumuuliza ukweli kuhusu RICHMOND atakapo usema ukweli watakimbilia wapi? ndo maana mkuu wa kaya anasema kuwa wengine wanataka urais ili walipize visasi, swali la kujiuliza kama hukuwahi kumkosea mtu kwanini alipize kisasi? Kwa upande wangu naona mzee EL anyimwe nafasi ya kugombea urais ccm kwa kashfa ya RICHMOND halafu mzee atue hilo zigo awabebeshe wahusika wenyewe tuwajuwe vizuri mchana kweupe.
 
Lowasa ni Kipenzi cha watanzania wote kama alivyo Zitto.
Umefanya utafiti wowote au umeamua kulopoka tu! kuna poll iliendeshwa hapa jf na Zito alioneka kupata sapoti kidogo sana kama ambavyo Lowasa anaelekea kuwa defeated na Dr. Slaa. Kuongea bila tafiti ni sawa na kujamba
 
mwambieni low.asa akatubu laana ya baba wa taifa kwa ufisadi mkubwa alio ufanya ndani ya taifa hili tanzania!

Na wewe nenda kamwambie huyo baba yako wa taifa atubu dhambi ya kumwondoa sokoine duniani..
 
Lowasa ni Kipenzi cha watanzania wote kama alivyo Zitto.
Kwa maana nyingine,
The stone the builders rejected has become the cornerstone-Mark 12:10

By the way, umetumia kipimo gani kugundua kuwa hawa ndiyo kipenzi cha Watanzania?.

Ama kweli kufikia 2015, tutasikia mengi sana.
 
Utakuwa huna busara kumtengnisha lowassa na CCM, hapa kukatana jina hakupo kwa mtakabali wa chama
 
Mbona Lowasa ndio habar ya mjini! Uzur jamaa hayuko close kivileee na waccm wale wapuuzi.... Najua atafanya mazuri maana ndan ya chama hakuna watu wa kumyumbisha ili afanye kwa maslah kama alivyo jk.
 
Mbona Lowasa ndio habar ya mjini! Uzur jamaa hayuko close kivileee na waccm wale wapuuzi.... Najua atafanya mazuri maana ndan ya chama hakuna watu wa kumyumbisha ili afanye kwa maslah kama alivyo jk.
Sometimes unaakili JK. The weakest presida of all times
 
Back
Top Bottom