mwenyenguvu
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 168
- 51
Christopher Mwakasege I know will never give in to this.NEVER..
sure,hawezi kufanya maamuzi machafu,harafu huyu aliyeletA hii topic ana mpango gani au anataka watu wamchafue mpakwa mafuta wa Bwana?
Christopher Mwakasege I know will never give in to this.NEVER..
CCM HATA WAKIMSHUSHU YESU KRISTO AJE AGOMBEE KWA TIKETI YAO, YESU ATASHINDWA VIBAYA SANA, MAKE CCM KUNA WATU WAZURI SANA NA WAZALENDO TATIZO NI CHAMA NA SI WATU, CCM IMEEZEEKA WATU HAWATAKI HATA KUONA BENDERA ZA CCM SO MSIDHANI ISHU NI KUTAFUTA MTU MWEMA,
huyo mchungaji cha mtoto muombeni YESU kabisa aje agombee
hata mumlete reignhard bonke lazima chadema ishinde!
sure,hawezi kufanya maamuzi machafu,harafu huyu aliyeletA hii topic ana mpango gani au anataka watu wamchafue mpakwa mafuta wa Bwana?
Injili na siasa kama mafuta na maji
Mwenyenguvu, Mwakasege hawezi kuchafuliwa iwapo atachukua maamuzi sahihi kwenye hili
Hawezi kujiunga na kutumikia chama cha matusi maana yeye ni mtumishi wa Bwana ambaye kazi yake ni kuokoa roho za watu zinazopotea.Wanachotakiwa ccm wamuombe mwakasege awaombee hiyo roho waliyo nayo ya kung'ang'ani madaraka na kueneza siasa za matusi,uaji na kuiba mali za watanzania waziache na wakubali kwa sasa hawana mvuto tena kwa watanzania
Laana na ikae juu yako na uzao wako wote hadi kizazi chako cha kumi. Maisha yako kuanzia sasa na yawe mafupi sana kama moto wa mshumaa. Mungu wetu kamwe hawezi kufananishwa na mtu yeyote Duniani. Popote upitapo majanga yaambatane nawe. Jina lako lifutwe hapa Duniani. AMINA
CCM HATA WAKIMSHUSHU YESU KRISTO AJE AGOMBEE KWA TIKETI YAO, YESU ATASHINDWA VIBAYA SANA, MAKE CCM KUNA WATU WAZURI SANA NA WAZALENDO TATIZO NI CHAMA NA SI WATU, CCM IMEEZEEKA WATU HAWATAKI HATA KUONA BENDERA ZA CCM SO MSIDHANI ISHU NI KUTAFUTA MTU MWEMA,
huyo mchungaji cha mtoto muombeni YESU kabisa aje agombee