TIASSA JF-Expert Member Jun 17, 2014 2,893 3,420 Jan 15, 2017 #241 Mwakasege ni cada wa chadema yawezekanaje aende tena ccm
mkafrend JF-Expert Member May 12, 2014 3,047 1,503 Jan 15, 2017 #242 CCM tuna hazina kubwa - by the way hatupigani kwa ajili ya kulichukuwa jimbo la Arusha mjini Bali maendeleo kwa wana-Arusha.
CCM tuna hazina kubwa - by the way hatupigani kwa ajili ya kulichukuwa jimbo la Arusha mjini Bali maendeleo kwa wana-Arusha.
Msingida JF-Expert Member Dec 1, 2010 9,720 10,800 Jan 15, 2017 #243 Mwl.Mwakasege hawezi kuwakubalia ccm,anajielewa sana mtumishi wa Mungu.ccm ni mashetani,anawajua!Hawezi kuwa kubalia hata kidogo
Mwl.Mwakasege hawezi kuwakubalia ccm,anajielewa sana mtumishi wa Mungu.ccm ni mashetani,anawajua!Hawezi kuwa kubalia hata kidogo
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 16,467 17,306 Jan 15, 2017 #244 Hawezi kukubali itamharibi sana kwenye utumishi wake.........asikubaliii!!!
Azarel JF-Expert Member Aug 25, 2016 26,053 33,907 Jan 15, 2017 #245 HII HABARI NI YA MWAKA 2012 Mwakasege hawezi kuingia kwenye Siasa achilia mbali kuwa mwanaCCM
K K M S JF-Expert Member Dec 18, 2016 524 424 Jan 15, 2017 #246 Hiikitu sidhani kama nikweli namheshimu sana mwalimu huyu