CCM inamdhalilisha Rais Samia

Ngoja

Mkapa 2000 alishindanishwa na nani?

Kikwete 2010 alishindanishwa na nani?

Shujaa Magufuli 2020 alishindanishwa na nani?!

Niko pale......
Samahani Mkuu mimi niko huku Namtumbo mtandao ni shida kidogo.....,

Naomba unikumbushe awamu ya kwanza aliyogombea Rais Samia Suluhu Hassan ilikuwa mwaka gani na alipita kwa kura ngapi..? Labda naweza pata jambo la kuwafundisha vijana wenzangu leo jioni baada ya shughuli za Shamba.

Samahani lakini kwa kuniona mjinga na nisiye na akili kwa kuuliza kitu kama hiki labda kipindi hicho nilikuwa bado sijapata simu si unajua huku kijijini mpaka msimu uishe ndo unaweka laki mfukoni😁
 
Bila aibu, baadhi ya viongozi wa CCM wanafanya vitendo vya kumdhalilisha Rais Samia.

Tumesikia kelele za baadhi ya viongozi wa CCM kuwa eti mwaka 2025, kwa upande wa CCM, itachapishwa fomu moja tu ya mgombea wa Urais, nayo atapewa Rais Samia.

Mimi nauona huu udhalilishaji dhidi ya Rais. Tafsiri ya kuchapisha fomu moja ni kwamba Rais Samia akishindanishwa, hawezi kushinda. Je, fikra hizo zina ukweli wowote? Kwa nini wamfanyie hivyo Rais Samia?

Ni nani hao ambao wanaamini kuwa Rais Samia akishindanishwa nao, hawezi kuwashinda? Ni hawa hawa wateule wake au kuna wengine?
Yan wanamwona hatoshi, na hizi kelele zinaongozwa kwa kiasi kikubwa na Waziri Mkuu wake. UDHALILISHAJI at the very best!
 
Samahani Mkuu mimi niko huku Namtumbo mtandao ni shida kidogo.....,

Naomba unikumbushe awamu ya kwanza aliyogombea Rais Samia Suluhu Hassan ilikuwa mwaka gani na alipita kwa kura ngapi..? Labda naweza pata jambo la kuwafundisha vijana wenzangu leo jioni baada ya shughuli za Shamba.

Samahani lakini kwa kuniona mjinga na nisiye na akili kwa kuuliza kitu kama hiki labda kipindi hicho nilikuwa bado sijapata simu si unajua huku kijijini mpaka msimu uishe ndo unaweka laki mfukoni😁
Kwa mujibu wa Katiba awamu ya kwanza ya Dr Samia ilianzia 19/03/2021
 
Ngoja

Mkapa 2000 alishindanishwa na nani?

Kikwete 2010 alishindanishwa na nani?

Shujaa Magufuli 2020 alishindanishwa na nani?!

Niko pale......
Hawakushindanishwa na yeyote kwa sababu walijua kuwa wakishindanishwa hawawezi kushinda. Na wala hawakuwa na 4Rs.
 
nchi ina matahira wengi sana, jitu mpaka leo halijui hata utaratibu wa CCM mgombea anapogombea awamu ya pili.

ngoja nikuulize mleta mada, eti una mtoto?

Uliza kitu kinachohusiana na mada. Kwenye demokrasia, msingi wake mkuu ni ushindani, siyo masuala ya utamaduni.
 
JPM alifariki mwaka 2021 ikiwa ni mwaka mmoja baada ya kipindi chake cha pili na cha mwisho, cha miaka mingine mitano kuanza. Japo demokrasia ilibakwa katika ufachuzi wa 2020, lakini ushindi wake ndiyo uliokuwa unaenda kuhitimisha kipindi chake cha utawala wa miaka kumi ya awamu ya tano.

Kwa bahati mbaya kifo chake kilipelekea awamu yake ipokelewe na makamu wake. Huyu alikipokea kijiti ili kukidhi takwa la kikatiba katika kuihitimisha awamu ya tano.

Jambo hili lilikuwa ni kukidhi takwa la kikatiba la "transition of power" kwa kuwa mtawala aliyekuwepo madarakani alikiachia kiti chake cha urais. na Rais mpya ikapaswa akikalie kiti hicho kwa miaka minne iliyobakia. Awamu mpya hutokea kila baada ya miaka kumi ya utawala wa Rais aliyeshirikiv na kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu.
Nani kakudanganya? Awamu ni Rais.... hata wakiachama miaka 2 pekee bado awamu zinabadilika
 
Ngoja

Mkapa 2000 alishindanishwa na nani?

Kikwete 2010 alishindanishwa na nani?

Shujaa Magufuli 2020 alishindanishwa na nani?!

Niko pale......
Huyu anatakiwa ashindanishwe hakuwa Rais awamu ya kwanza.

Ni kichwa tu anaweza kusema Samia na kikwete walikuwa sawa.

Rais wa katiba na Rais wa wananchi ni vitu viwili tofauti.
 
nchi ina matahira wengi sana, jitu mpaka leo halijui hata utaratibu wa CCM mgombea anapogombea awamu ya pili.

ngoja nikuulize mleta mada, eti una mtoto?
Kwa usemavyo wewe kumbe 2025 samia atagombea awamu ya pili na siyo kweli kwamba anamalizia miaka ya shujaa mwendazake kikatiba.
 
JPM alifariki mwaka 2021 ikiwa ni mwaka mmoja baada ya kipindi chake cha pili na cha mwisho, cha miaka mingine mitano kuanza. Japo demokrasia ilibakwa katika ufachuzi wa 2020, lakini ushindi wake ndiyo uliokuwa unaenda kuhitimisha kipindi chake cha utawala wa miaka kumi ya awamu ya tano.

Kwa bahati mbaya kifo chake kilipelekea awamu yake ipokelewe na makamu wake. Huyu alikipokea kijiti ili kukidhi takwa la kikatiba katika kuihitimisha awamu ya tano.

Jambo hili lilikuwa ni kukidhi takwa la kikatiba la "transition of power" kwa kuwa mtawala aliyekuwepo madarakani alikiachia kiti chake cha urais. na Rais mpya ikapaswa akikalie kiti hicho kwa miaka minne iliyobakia. Awamu mpya hutokea kila baada ya miaka kumi ya utawala wa Rais aliyeshirikiv na kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu.
Exactly. Maajabu yaliyopo ni huyu aliyepewa kumalizia awamu ya tano, anapoibadilisha jina na kuiita awamu ya 6 kumbe lengo aseme awamu ya 6 muhula wa kwanza.
 
huyu hajawahi kuwa rais kwa kupigiwa kura na watanzania pia na ccm wenyewe haijawahi tokea. Hivyo inatakiwa wachapishe fomu nyingi ndani ya chama ili kila anayetaka kujipima na achukue fomu wachujane huko alafu waje nje watuimbie nyimbo zao za demokrasia tofauti na hapo ni uhuni wa watu wachache ndani ya chama ndio unataka utawale
 
Ngoja

Mkapa 2000 alishindanishwa na nani?

Kikwete 2010 alishindanishwa na nani?

Shujaa Magufuli 2020 alishindanishwa na nani?!

Niko pale......
Swali kwako na wenzio.
Hivi huko ndani ya CCM hata kuiba kura kama inavyofanyika wanavyo pambanishwa na vyama vingine haiwezekani?

Samia ni Mwenyekiti wa Chama; kwa nini asitumie tu vifaa vyake huko huko ndani ya chama kupata ushindi wa kuiba kura hadi ilazimu kuvumilia aibu hii ya kuchapisha fomu moja?
 
Bila aibu, baadhi ya viongozi wa CCM wanafanya vitendo vya kumdhalilisha Rais Samia.

Tumesikia kelele za baadhi ya viongozi wa CCM kuwa eti mwaka 2025, kwa upande wa CCM, itachapishwa fomu moja tu ya mgombea wa Urais, nayo atapewa Rais Samia.

Mimi nauona huu udhalilishaji dhidi ya Rais. Tafsiri ya kuchapisha fomu moja ni kwamba Rais Samia akishindanishwa, hawezi kushinda. Je, fikra hizo zina ukweli wowote? Kwa nini wamfanyie hivyo Rais Samia?

Ni nani hao ambao wanaamini kuwa Rais Samia akishindanishwa nao, hawezi kuwashinda? Ni hawa hawa wateule wake au kuna wengine?
Habari ndio hiyo......hata Magu asingemshinda Membe.
 
Bila aibu, baadhi ya viongozi wa CCM wanafanya vitendo vya kumdhalilisha Rais Samia.

Tumesikia kelele za baadhi ya viongozi wa CCM kuwa eti mwaka 2025, kwa upande wa CCM, itachapishwa fomu moja tu ya mgombea wa Urais, nayo atapewa Rais Samia.

Mimi nauona huu udhalilishaji dhidi ya Rais. Tafsiri ya kuchapisha fomu moja ni kwamba Rais Samia akishindanishwa, hawezi kushinda. Je, fikra hizo zina ukweli wowote? Kwa nini wamfanyie hivyo Rais Samia?

Ni nani hao ambao wanaamini kuwa Rais Samia akishindanishwa nao, hawezi kuwashinda? Ni hawa hawa wateule wake au kuna wengine?
Unapaswa kuelewa kuwa awamu ya Samia ndo inaisha hivyo hawezi kugombea awamu ya tatu...au mmesahau kuwa makamu wa raisi ni rais
 
huyu hajawahi kuwa rais kwa kupigiwa kura na watanzania pia na ccm wenyewe haijawahi tokea. Hivyo inatakiwa wachapishe fomu nyingi ndani ya chama ili kila anayetaka kujipima na achukue fomu wachujane huko alafu waje nje watuimbie nyimbo zao za demokrasia tofauti na hapo ni uhuni wa watu wachache ndani ya chama ndio unataka utawale
Kwa mujibu wa Katiba muhula wa pili KWAKE utaisha 2030, hivyo sasa hivi Yupo muhula wa kwanza na Kwa Utamaduni wa CCM uliozoeleka Huwa hakuna haja ya kuwapa fomu wengi wakati Yupo tayari aliyeanza kutekeleza Ilani muhula wa kwanza. HUKO CHADEMA, Uchaguzi wa Mwenyekiti unapofanyika anayejaribu kuleta upinzani hutazamwa negatively......Muulize Cecil Mwambe....
 
Back
Top Bottom