Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Mkuu usikwepeshe mada anayeligawa Taifa ni Magufuli ambaye pia ni kiongozi mkuu wa MACCM. Tusipindishe ukweli na huu unaosema ni upuuzi wa akina Pole pole muumbaji wake si mwingine bali ni huyo huyo anayeligawa Taifa. Unadhani Pole pole anaweza kufanya lolote ndani ya MACCM ambalo halina baraka za malaika?
Huyo uliyemwandikia ndo kinara wa kuligawa taifa huyo polepole unamwonea bure anapata maagizo kutoka juu.
Hofu yangu msije kuitwa wachochezi kwa kumtaja miunguwatu!!Magufuli ndio mwalimu wa ujinga wote huu unaofanywa na akina Polepole, hivyo ni ngumu sana kuingilia kati kwa mambo anayoyatengeneza mwenyewe
Cairo's