Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #61
Unashughulika na mwenye bandiko sio bandiko?
Unashughulika na mwenye bandiko sio bandiko?
Hivi unaelewa mantiki hasa ya jambo hili au unaongea tu?Hilo ni funzo kwa chadema kwamba watumie pesa za ruzuku kusaidia watu siyo kujilipa perdiem za mikutano. Viva ccm mjikita kwenye matatizo ya watu na chadema wanataka kutafuna hela tu na huo ndo utpfauti kati ya wachaga na ccm ya wanyonge
Wakati nashughulikia bandiko ndo nikang'amua mwenye bandiko, basii nimeachana nalo !Unashughulika na mwenye bandiko sio bandiko?
Mkuu kabla hujaona hilo mimi nilishaliona na kuliwekea paziaSasa ndugu umeshindwa nini kuona kuwa "Rais wetu kipenzi John Pombe Magufuli" ndio mwenyekiti wa CCM taifa, na maamuzi makubwa yanafanywa na vikao ambavyo ana-chair yeye?
Kwanini chama kisitoe msaada huo kupitia mamlaka zake za kiserikali?Ni yatima,ni watu wenyeulemavu, na wanawazazi wenye ulemavu...........
Chama kinachoshughulika na shida za watu.......
Kwa jinsi raia wa upinzani wanavyochangia humu ndomana CCM inashinda kila uchaguzi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima kuwe na utafauti serikali na Chama.....Kwanini chama kisitoe msaada huo kupitia mamlaka zake za kiserikali?