Kwa wale mlio Tanzania mnafahamu kuwa kwa miezi miwili sasa,wafanyakazi wa serikali wamekuwa wanakatwa mishahara yao,na fedha zinadaiwa kupelekwa kwenye kampeni.majibu ya serikali ni kuwa kuna tatizo kwenye system ya ulipaji wa mishahara(c'mon!).
Wafanyabiashara wakubwa na wakati wamelazimishwa kuchangia si chini ya 50M kugharamia kampeni za CCM(CCM kanusheni hili).wengi ninaowafahamu wamekiri na ahadi yao ni kurudisha gharama zao baada ya uchaguzi(watazirudishaje?)
Wakuu wa idara zote za serikali wame-amriwa kurudisha OC serikalini,pamoja na mafungu yote ya serikali kwenda kwenye idara za serikali yamezuiwa kwa miezi mi-2 sasa.kwa kifupi idara za resikali ziko ICU kugharamikia uchaguzi.
wakuu wa vitengo serikalini wameamriwa kuchangia 2M kwenda kwenye kampeni za CCM,kama kuna mkuu wa kitengo hapa athibitishe hilo.
Safari/warsha/semina/posho za aina zozote zile zimezuiliwa huko serikalini,wafanyakazi wa serikali ni mashahidi wa hili,wachache sana wanaopata fedha hizo, hadi zithibitishwe na makatibu wakuu wa wizara kwa amri maalum toka Ikulu.(je walikuwa wapi kudhibiti matumizi ya fedha za serikali miaka mi 4 iliyopita?kwa nini wazuie hadi matumizi ya msingi?).
Ni ukweli ulio wazi kabisa kuwa sehemu pekee inayotumia fedha za serikali sasa ni IKULU.hivi uchaguzi si ulitengewa bajeti yake?kwa nini nchi nzima iichangie IKULU/HAZINA kufanikisha uchaguzi?
Je?
nionavyo mimi wafanyakazi kadhaa nilioongea nao,si chini ya kumi,wamekata tamaa ya maendeleo chini ya CCM,wengi wanataka mabadiliko,wako tayari kumpigia slaa kura hata kama hawampendi/hawamkubali ili mradi mabadiliko yatokee(CHADEMA mnalijua hili?)
makada wa chadema,fanyeni hima kusambaza hizi taarifa kuwa wafanyakazi wanakatwa mishahara kufidia gharama za CCM
PIA MUWAULIZE CCM/KIKWETE sababu za kutumuia fedha karibu zote za serikali kugharamia UCHAGUZI tu!kuna sababu gani mpiga kura akanunuliwa kwa fedha nyingi kiasi hicho?
Wafanyabiashara wakubwa na wakati wamelazimishwa kuchangia si chini ya 50M kugharamia kampeni za CCM(CCM kanusheni hili).wengi ninaowafahamu wamekiri na ahadi yao ni kurudisha gharama zao baada ya uchaguzi(watazirudishaje?)
Wakuu wa idara zote za serikali wame-amriwa kurudisha OC serikalini,pamoja na mafungu yote ya serikali kwenda kwenye idara za serikali yamezuiwa kwa miezi mi-2 sasa.kwa kifupi idara za resikali ziko ICU kugharamikia uchaguzi.
wakuu wa vitengo serikalini wameamriwa kuchangia 2M kwenda kwenye kampeni za CCM,kama kuna mkuu wa kitengo hapa athibitishe hilo.
Safari/warsha/semina/posho za aina zozote zile zimezuiliwa huko serikalini,wafanyakazi wa serikali ni mashahidi wa hili,wachache sana wanaopata fedha hizo, hadi zithibitishwe na makatibu wakuu wa wizara kwa amri maalum toka Ikulu.(je walikuwa wapi kudhibiti matumizi ya fedha za serikali miaka mi 4 iliyopita?kwa nini wazuie hadi matumizi ya msingi?).
Ni ukweli ulio wazi kabisa kuwa sehemu pekee inayotumia fedha za serikali sasa ni IKULU.hivi uchaguzi si ulitengewa bajeti yake?kwa nini nchi nzima iichangie IKULU/HAZINA kufanikisha uchaguzi?
Je?
- wafanyakazi wa Tanzania wana sababu gani kuipigia kura serikali isiyowajali kwa kiasi hiki?
- Ndugu na jamaa wanaowategemea wafanyakazi hawa kwa maisha yao ya kila siku wana sababu gani ya kuendelea kuikumbatia CCM?
- CHADEMA,CUF,TLP,kwa nini msitumie mwanya huu mkubwa kabisa kujenga hoja ya matumizi mabovu ya fedha za UMMA kwenye uchaguzi huu yanayofanywa na CCM?
nionavyo mimi wafanyakazi kadhaa nilioongea nao,si chini ya kumi,wamekata tamaa ya maendeleo chini ya CCM,wengi wanataka mabadiliko,wako tayari kumpigia slaa kura hata kama hawampendi/hawamkubali ili mradi mabadiliko yatokee(CHADEMA mnalijua hili?)
makada wa chadema,fanyeni hima kusambaza hizi taarifa kuwa wafanyakazi wanakatwa mishahara kufidia gharama za CCM
PIA MUWAULIZE CCM/KIKWETE sababu za kutumuia fedha karibu zote za serikali kugharamia UCHAGUZI tu!kuna sababu gani mpiga kura akanunuliwa kwa fedha nyingi kiasi hicho?