bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,734
- 10,345
Chama cha Walafi, wazinzi, wezi, wafitini, walevi, wachawi, wafiraji, waasherati, wabakaji, majambazi, wapora haki za wengine, wanyongaji, waabudu sanamu.
Kwa mauaji ya watu wasio na hatia mliyofanya hamsitahili kumkejeli Mungu kiasi hiki.
Utopolo gani huu umeandika?inaonekana JF machizi mpo wengiSana tu, Na ndio makao ya Mungu wetu
Mung wetu ni wa msamaha wakati woteKwa mauaji ya watu wasio na hatia mliyofanya hamsitahili kumkejeli Mungu kiasi hiki.
Kusanyiko la majangili
Hatari tupuGenge