CCM Inajiandaa kukabidhi nchi kwa CHADEMA-Lwaitama

CCM Inajiandaa kukabidhi nchi kwa CHADEMA-Lwaitama

Asante sana Kyamtundu...
Mimi mwenyewe nilikuwa kilaza kwenye hizi takwimu japo nimekuwa nafuatilia sana.. Asante kwa kunifungua macho, hapa tuko sawa meen.. Bado kata za Arusha zitaongeza idadi ya kura hapo.

Arusha kura za cdm zitakuwa utitili. Baba subiria kishindo.
 
Naweza kuelewa kwanini CCM na serikali yake hawakumwongezea mkataba pale UDSM. Pia naelewa kwa nini CCM wanamtumia Dr. Bana na sio Dr. Lwaitama. Message delivered Dr. Lwaai.
 
hebu hesabu kwa uchache kura hizi hapa wee kilaza:
iseke-singida
ccm 791
cdm 831

nyampulukano-sengerema
ccm1088
cdm 1483

dongobesh-manyara
ccm 974
cdm 1558

bashnet-mbulu
ccm 1130
cdm 2008

iyela-mbeya
ccm 1163
cdm 1918

ifakara-kilombero
ccm 3723
cdm 4353

minepa-ulanga
ccm 1164
cdm 1004

stesheni-nachingwea
ccm 806
cdm 353

ngangange-kilolo
ccm 600
cdm 223

genge-muheza
ccm 347
cdm 326

tingeni-muheza
ccm 363
cdm 244

manchila-serengeti
ccm 672
cdm 623

masanze-kilosa
ccm 833
cdm 623

runzewe mashariki-sengerema
ccm 604
cdm 570

jumla kuu kata 14
ccm 14258
cdm 16117

nani ameshinda kata nyingi na nani ana kura nyingi??



watakupiga tuh,
namimi nasema wakupige tuh kwa sababu sasa sina namna nyingine,,

eeh,,maana sasa nimechoka sasa...
 
Tena mkuu ukizingatia mgombea wa Chadema alikuwa binti mdogo wa chuo mwenye miaka 22

Kiongozi!

Hadi 2015 MAGAMBA watakuwa wame sambaratika kabisa. Nilijisikia kama napaa angani baada ya kuona kale ka-gap kadogo ka kura. Ukizingatia kwamba Resources zote za MAGAMBA Mkoa wa Tanga na mazagazaga mengine ya Wilaya ya Muheza walizihamishia hapo Genge na Tingeni.

Hadi 2015 lazima kitaeleweka Mkuu!

Ndio maana kule Mjengoni MAJUHA wana weweseka hadi viongozi wao wanashindwa kutambua KATIBA ya nchi inasema nini kuhusu uhai wa waTanganyika. Na matokeo yake wana ropoka eti POLICCM wapige watu wasio kitaka Chama Cha MAGAMBA.

Sipati picha siku ikifika atakapo kuwa anajutia hii kauli yake akiwa BEHIND THE BARS.

Jamaa kalewa makofi ya wana- NDIYOOOOO basi kajiropokea. Na hivyo asivyo jua KATIBA ya nchi inasema nini kuhusu haki ya kuishi.
 
Dr Lwaitama amesema kiashirio tosha kwamba CCM sasa imefikia ukingoni ni matokeo ya uchaguzi wa udiwani wa kata 22 uliopita ambapo ingawa CCM ilipata viti 16 na Chadema 6 Lakini kura za Jumla zinaonyesha Chadema imeizidi CCM ambapo CCM imejikusanyia kura 17968 na CHADEMA kura 18431.Vyama vingine ikiwemo CUF vilipata Jumla ya kura chini ya 1000.

Dr Lwaitama amesema kama ingekuwa ni uchaguzi wa Urais basi CHADEMA ingekuwa imeshinda.Pia amesema haya yote yamefanyika huku maelfu ya vijana wafuasi wa Chadema wakiwa bado hawajaandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa hujuma ya CCM na ushirika wa Tume ya Uchaguzi.

Source:MAWIO UK 2

Huyu nae anazeeka vibaya hata ushinde urais kwa popular vote wakati bungeni huna wabunge ndio itakuwa nini sasa?

Ni sawa na uende pemba ukaangalie matokeo ya CUF Vs CCM halafu useme maalim Seif angeshashinda urais.
 
Msisahau kwamba matokeo hayo ya 22-6 ni kwenye stronghold ya CHADEMA teh teh teh.:heh:

Nadhani chadema wanatakiwa kukaa chini na kujipanga upya maana strategy zao za sasa hazifanyi kazi.
 
Sijaelewa hiyo hesabu ya kura. Yaani kura zote hizo halafu wamepata kata 6?
...simple, maana yake chadema waliposhinda wameshinda kwa tofauti kubwa sana na ccm waliposhinda wameshinda kwa tofauti ndogo sana ya kura (uchakachuzi) so ukijumlisha lazima jumla iwekubwa kwa chadema...
 
Msisahau kwamba matokeo hayo ya 22-6 ni kwenye stronghold ya CHADEMA teh teh teh.:heh:

Nadhani chadema wanatakiwa kukaa chini na kujipanga upya maana strategy zao za sasa hazifanyi kazi.

Nimeamini wewe sio mzima.

Nakushauri soma tu comments za wenzako.
 
Msisahau kwamba matokeo hayo ya 22-6 ni kwenye stronghold ya CHADEMA teh teh teh.:heh:

Nadhani chadema wanatakiwa kukaa chini na kujipanga upya maana strategy zao za sasa hazifanyi kazi.

Lakini swali, je kipigo mlikitarajia au mmeshtukizwa nchi inakwenda cdm kama huamini subiri daftari liboreshwe ndiyo mtajamba.unaongea kama vile hesabu ulikwepa kuisoma.data speak itself
 
Sijaelewa hiyo hesabu ya kura. Yaani kura zote hizo halafu wamepata kata 6?

Maeneo ambayo chadema wameshinda, umeshinda kwa asilimia kubwa zaidi, na wameshinda kwenye maeneo yenye wapiga kura wengi zaidi. Upo hapo?
 
Sijaelewa hiyo hesabu ya kura. Yaani kura zote hizo halafu wamepata kata 6?

baadhi ya kata tofauti ilikuwa dogo sana kati ya mshindi na mshindwa, pia baadhi ya kata CHADEMA ilipata kura nyingi sana , mfano ni Ifakara ambapo CHADEMA walipata kura pungufu kidogo ya elfu tano wakati CCM ikishinda Makuyuni kwa kura takribani mia saba.
 
ccm inaweza kuhutubia watu 1000 na inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 70 lkn cdm inaweza kuhutubia watu 5000 lkn inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 3 tuu. Ukubwa wa kamasi sy wingi wa kamasi hata mjae vp ktk mikutano ya cdm lkn.hawana uwezo wa kutatua kero zao..

kwani umaskin wa ndugu zako umeletwa na nan? Jiulize ngugu zako wanapokonywa mashamba wanapewa wagen, wamachinga wanateswa, nauk juu, uchumi kwa mtanzania ni tete, elim mbovu, maji vijijin shida, umeme wa uhakika ndoto, wabunge wanataka posho ziongezwe,polis akikuwekea bangi ukibisha mkong'oto, kilimo hovyo mpaka tuagize vyakula nje mbali na mito na maziwa yaliyopo, vip mikopo, vip haki za kuchagua chama,n.k ni chadema au ccm yenye sera mbovu? Jiulize ni mangapi yanayopendekezwa na cdm na ccm wakiyafata wanapata sifa na kufanikiwa,mfano katiba mpya, kutetea maslah ya wananchi na si kushabikia hoja za serikal kinafik, vp kuhusu kashfa za richmond,mapesa uswis,nani aliibua hayo? Au ccm haina tiss? Jijibu.
 
baadhi ya kata tofauti ilikuwa dogo sana kati ya mshindi na mshindwa, pia baadhi ya kata CHADEMA ilipata kura nyingi sana , mfano ni Ifakara ambapo CHADEMA walipata kura pungufu kidogo ya elfu tano wakati CCM ikishinda Makuyuni kwa kura takribani mia saba.

mamvi aliiba hapo......kuna siku itafika haziibiki tena...
 
upuuzi wa kijinga toka kwa msomi uchwara.. hawa ndio aina ya wahadhiri waliosababisha tanzania kuwa na wasomi weeeengi lakini wasioelimika japo kidogo. kwanza hana mvuto wa aina yoyote, iwe kisiasa, kijamii hata kitaaluma
 
Acha hizo wewe kilaza
Ccm inaweza kuhutubia watu 1000 na inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 70 lkn cdm inaweza kuhutubia watu 5000 lkn inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 3 tuu. Ukubwa wa kamasi sy wingi wa kamasi hata mjae vp ktk mikutano ya cdm lkn.hawana uwezo wa kutatua kero zao..
 
upuuzi wa kijinga toka kwa msomi uchwara.. hawa ndio aina ya wahadhiri waliosababisha tanzania kuwa na wasomi weeeengi lakini wasioelimika japo kidogo. kwanza hana mvuto wa aina yoyote, iwe kisiasa, kijamii hata kitaaluma

Mkuu kwani kosa la Dr Lwaitama ni nini? Ni kusema ukweli?
 
chadema haingii ikulu na ikiingia lazima tuuwe vya kutosha
 
Msisahau kwamba matokeo hayo ya 22-6 ni kwenye stronghold ya CHADEMA teh teh teh.:heh:

Nadhani chadema wanatakiwa kukaa chini na kujipanga upya maana strategy zao za sasa hazifanyi kazi.

Hivi unajua maana ya stronghold...? CHADEMA wamepoteza kiti gani ambacho walikuwa na diwani before?
 
Back
Top Bottom