madawa makulu
Member
- May 2, 2015
- 48
- 9
CCM ni lazima iondoke kwa lazima,
Unaposema ni lazima cdm ichukue nchi, ni kwa njia ya maandamano. Kama ni kwa kura, ni ndoto za alinacha
CCM ni lazima iondoke kwa lazima,
Kuna kitu ambacho nilianza kukihisi kabla na sasa naanza kuona kinajidhihirisha. Chadema ni wabinafsi sana,kila unapokuta mada ya inayozungumzia utwaaji wa madaraka utasikia chadema inajiandaa kuchukua nchi ilhali chadema wako ndani ya ukawa na ukawa bado hawajakubaliana nani atapeperusha bendera kwa niaba ya wenzao. Na kwa mwendo huu inavyoonesha endapo mgombea urais wa ukawa atatokana na chama kingine tofauti na chadema,HAKIKA UKAWA ITASAMBARATIKA