CCM Inajiandaa kukabidhi nchi kwa CHADEMA-Lwaitama

CCM Inajiandaa kukabidhi nchi kwa CHADEMA-Lwaitama

Ccm inaweza kuhutubia watu 1000 na inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 70 lkn cdm inaweza kuhutubia watu 5000 lkn inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 3 tuu. Ukubwa wa kamasi sy wingi wa kamasi hata mjae vp ktk mikutano ya cdm lkn.hawana uwezo wa kutatua kero zao..

Kwani CDM anakusanya kodi au anaongoza serikali? Nina mashaka na upeo wa uelewa wako kuhusu uendeshaji wa serikali. Ulishampa nchi CDM akashindwa kutatua kero za wananchi? CCM ndio imeunda serikali lakini uwezo wa kutatua shida za wananchi ni chini ya 40%.
 
Kwa mwenye akili sawasawa vyama hivi viwili chochcote hapo kinaweza kuibika mshindi.Na huenda CCM pia imeshinda kwa nguvu za ziada za chini kwa chini si tu kutegemea sanduku la kura.Kuhonga wapiga kura,kununua shahada na mazombezombe mengine.Lakini hesabu hiyo lazima ikushtue mwenye akili.Watu wa takwimu watafafanua.
 
Unajuaje pengine yeye ndiye alichangia huo mchango humu.
Ahsante Mkuu!!

Ccm inaweza kuhutubia watu 1000 na inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 70 lkn cdm inaweza kuhutubia watu 5000 lkn inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 3 tuu. Ukubwa wa kamasi sy wingi wa kamasi hata mjae vp ktk mikutano ya cdm lkn.hawana uwezo wa kutatua kero zao..
Nawewe siku nyingine uwe unaongea point, huoni tofauti kati ya CCM na CDM? This is suppose to be basic knowledge.
 
Hebu hesabu kwa uchache kura hizi hapa wee KILAZA:
ISEKE-SINGIDA
CCM 791
CDM 831

NYAMPULUKANO-SENGEREMA
CCM1088
CDM 1483

DONGOBESH-MANYARA
CCM 974
CDM 1558

BASHNET-MBULU
CCM 1130
CDM 2008

IYELA-MBEYA
CCM 1163
CDM 1918

IFAKARA-KILOMBERO
CCM 3723
CDM 4353

MINEPA-ULANGA
CCM 1164
CDM 1004

STESHENI-NACHINGWEA
CCM 806
CDM 353

NGANGANGE-KILOLO
CCM 600
CDM 223

GENGE-MUHEZA
CCM 347
CDM 326

TINGENI-MUHEZA
CCM 363
CDM 244

MANCHILA-SERENGETI
CCM 672
CDM 623

MASANZE-KILOSA
CCM 833
CDM 623

RUNZEWE MASHARIKI-SENGEREMA
CCM 604
CDM 570

JUMLA KUU KATA 14
CCM 14258
CDM 16117

Nani ameshinda kata nyingi na nani ana kura nyingi??

Asante mkuu, kama huyo mama hajaelewa basi tuendelee kumwombea apumzike mahali popote panapomfaa!!!!
 
Kiongozi!

Muheza napajua sana. Nimefanya kazi za extension kule. Sikuamini nilipo soma kwamba pale Genge na Tingeni Wabondei wamebadilika na kuwachoka MAGAMBA kiasi kile!

Na kumbuka kwamba hapa Daftari la Wapiga kura halija boresha. Kuna kizazi ambacho kwa miaka karibu 5 kimesha fikia na kuvuka miaka 18. Ambacho hiki ndio chenye hasira zisizo zuilika kwa MAGAMBA.

Baada ya huu uchaguzi wa Madiwani, nilipita pale Muheza. Yaani MAGAMBA wanazomewa ile mbaya. Kiasi kwamba siku hizi wamezua mtindo wa kuweka sare zao kwenye mifuko ya RAMBO na kwenda kuvalia kwenye mikutano yao.

2015 nina hakika ni kifo cha MAGAMBA kiongozi. Hata waipake choo CHADEMA itaendelea kuwa mioyoni mwa waTanganyika.

Pinda akiona nyomi ya watu wakiitikia mikutano ya CHADEMA wakati yeye pamoja na kuwa Waziri Mkuu hata kijijini kwako anapokelewa na ndugu zake, anakosa amani kabisa. anajua cha moto watakipata.

Tena mkuu ukizingatia mgombea wa Chadema alikuwa binti mdogo wa chuo mwenye miaka 22
 
.....nikwamba kwenye kata walizo shinda CDM wameshinda kwa kura nyingi sana....na walizoshinda ccm wameshinda kwa margin ndogo sana ya kura(labda uchakachuzi)......tafsiri nyingine Waliposhinda CCM na CDM wanakubalika ....ila waliposhinda CDM ...CCM hawakubaliki.....na pia reflection ni kwamba kama ingekuwa uraisi CDM wangeshinda maana -wamewazidi CCM kwa popular vote...

Kwa mfano kwa kata moja tu ya Iyela Mbeya CCM imezidiwa kwa kura karibia 900
 
Kwani lwaitama naye bado wa kusikiliza mtu ambaye anvaa flana nyekundu ndani ya shati jeupe hata familia yake ishamshinda wote walishasambaratika halafu leo anaongea nini.

Ficha aibu yako mkuu utaheshimika
 
kumbuka watu waliopiga kura ni wale waliokuwa wamejiandikisha kwenye uchaguzi uliopita .sasa hivi kuna watu watakao jiandikisha karibu idadi ya watanzania wote kazi wanao ccm.safari ipo .naomba wapanga virago mapema hii sio mchezo ni sunami.

Asante sana kwa Pointi yako nzuri.
 
Ccm inaweza kuhutubia watu 1000 na inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 70 lkn cdm inaweza kuhutubia watu 5000 lkn inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 3 tuu. Ukubwa wa kamasi sy wingi wa kamasi hata mjae vp ktk mikutano ya cdm lkn.hawana uwezo wa kutatua kero zao..

Wewe kihiyo kweli. Anayetatua kero za wananchi ni chama au serikali?. Au kwa kuwa CCM imeiweka serikali mfukoni mwake ndo unajisifu?. Subiri chama kingine kishike nchi ndo utapata majibu. Kaa kimya kama huwezi kuchangia.
 
Sijaelewa hiyo hesabu ya kura. Yaani kura zote hizo halafu wamepata kata 6?
Hembu utumie akil yako kidogo kuchanganua-umeambiwa idadi ya watu wote waliopiga kura kupigia CDM


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ccm hawawezi siasa za ushindani, kwao ni matumizi ya polis na rushwa! Watanzania, chama cha ukweli ni Chadema, ccm ni manyang'au!
 
Ccm inaweza kuhutubia watu 1000 na inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 70 lkn cdm inaweza kuhutubia watu 5000 lkn inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 3 tuu. Ukubwa wa kamasi sy wingi wa kamasi hata mjae vp ktk mikutano ya cdm lkn.hawana uwezo wa kutatua kero zao..
hapo kwenye bold cjapasoma...au ndo nyie mliochakachuliwa matokeo? bila shaka unalipa fadhila....anyway umesema ccm inatatua matatizo kwa asilimia 70 sasa hizo 30 inamwachia nani wakati yenyewe ipo madarakani tangu tupate uhuru? kwa level ya upeo wako nakwambia ukiona watoto wanajaa kwa jirani hata kama kupo hovyo jua kuna vitu wanafaidi hata kama ni kwa alisimia 1.penye mzoga ndipo tai wanapokusanyika
 
hapo kwenye bold cjapasoma...au ndo nyie mliochakachuliwa matokeo? bila shaka unalipa fadhila....anyway umesema ccm inatatua matatizo kwa asilimia 70 sasa hizo 30 inamwachia nani wakati yenyewe ipo madarakani tangu tupate uhuru? kwa level ya upeo wako nakwambia ukiona watoto wanajaa kwa jirani hata kama kupo hovyo jua kuna vitu wanafaidi hata kama ni kwa alisimia 1.penye mzoga ndipo tai wanapokusanyika

Mkuu huyo hana hoja.
 
Dah! Kweli JF kiboko, kuna maswali na majibu ya kila swali humu. Thank you guys.... Kuna vilaza wachache wanasema eti hii JF ina wapenzi wengi wa CDM, hili mimi nalikataa mazima, nimegundua kuwa wale wanaosema etgi JF ni ya CDM ni wale wanaosutwa wasipenda takwimu sahihi, wanaopenda kuficha ukweli. JF ni mtandao wa kijamii namba moja kwani hakuna usichokipata humu...... Hongereni sana JF team.
 
Hebu hesabu kwa uchache kura hizi hapa wee KILAZA:
ISEKE-SINGIDA
CCM 791
CDM 831

NYAMPULUKANO-SENGEREMA
CCM1088
CDM 1483

DONGOBESH-MANYARA
CCM 974
CDM 1558

BASHNET-MBULU
CCM 1130
CDM 2008

IYELA-MBEYA
CCM 1163
CDM 1918

IFAKARA-KILOMBERO
CCM 3723
CDM 4353

MINEPA-ULANGA
CCM 1164
CDM 1004

STESHENI-NACHINGWEA
CCM 806
CDM 353

NGANGANGE-KILOLO
CCM 600
CDM 223

GENGE-MUHEZA
CCM 347
CDM 326

TINGENI-MUHEZA
CCM 363
CDM 244

MANCHILA-SERENGETI
CCM 672
CDM 623

MASANZE-KILOSA
CCM 833
CDM 623

RUNZEWE MASHARIKI-SENGEREMA
CCM 604
CDM 570

JUMLA KUU KATA 14
CCM 14258
CDM 16117

Nani ameshinda kata nyingi na nani ana kura nyingi??


Asante sana Kyamtundu...
Mimi mwenyewe nilikuwa kilaza kwenye hizi takwimu japo nimekuwa nafuatilia sana.. Asante kwa kunifungua macho, hapa tuko sawa meen.. Bado kata za Arusha zitaongeza idadi ya kura hapo.
 
Mhadhiri mwandamizi mstaafu wa chuo kikuu cha DSM Dr Azaveli Lwaitama amesema vitendo vya kinyama vinavyofanywa sasa na Jeshi la polisi dhidi ya CHADEMA vinaashiria kukaribia kuingia Ikulu kwa chama hicho.

Dr Lwaitama amelaani vitendo vya kinyama vilivyofanywa na polisi vya kupiga watu kikatili,kupiga risasi za moto na kupora mali za raia.

Dr Lwaitama kasema CCM sasa imeshindwa siasa za majukwaani na badala yake wameamua kutumia jeshi la polisi kujihami dhidi ya CHADEMA.

Dr Lwaitama amesema kiashirio tosha kwamba CCM sasa imefikia ukingoni ni matokeo ya uchaguzi wa udiwani wa kata 22 uliopita ambapo ingawa CCM ilipata viti 16 na Chadema 6 Lakini kura za Jumla zinaonyesha Chadema imeizidi CCM ambapo CCM imejikusanyia kura 17968 na CHADEMA kura 18431.Vyama vingine ikiwemo CUF vilipata Jumla ya kura chini ya 1000.

Dr Lwaitama amesema kama ingekuwa ni uchaguzi wa Urais basi CHADEMA ingekuwa imeshinda.Pia amesema haya yote yamefanyika huku maelfu ya vijana wafuasi wa Chadema wakiwa bado hawajaandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa hujuma ya CCM na ushirika wa Tume ya Uchaguzi.

Source:MAWIO UK 2

Ni kweli MKUU. Na unapoona DOLA linaingiza WANAJESHI (JWTZ) mitaani kama kule Mtwara na Arusha badala ya kuwapeleka kulinda mipaka yetu ni DALILI tosha za Dola kusambaratika
 
Asante sana Kyamtundu...
Mimi mwenyewe nilikuwa kilaza kwenye hizi takwimu japo nimekuwa nafuatilia sana.. Asante kwa kunifungua macho, hapa tuko sawa meen.. Bado kata za Arusha zitaongeza idadi ya kura hapo.

Ametufumbua macho wengi.
 
Ccm inaweza kuhutubia watu 1000 na inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 70 lkn cdm inaweza kuhutubia watu 5000 lkn inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 3 tuu. Ukubwa wa kamasi sy wingi wa kamasi hata mjae vp ktk mikutano ya cdm lkn.hawana uwezo wa kutatua kero zao..
Ukapimwe wewe,sio mzima
 
Back
Top Bottom