Baada ya miaka mingi ya kutawala jimbo la ARUSHA kwa baadhi ya wabunge wa chama tawala {ccm}kutoleta muamko wa mafanikio imeonekana sasa inaiga sera za Mbunge Godbless Lema za kuwasomesha watoto waliofaulu secondari kwa kuwalipia ada wale ambao wazazi wao hawajiwezi.Je tetesi hizi ni za kweli?