CCM inachukiwa kiasi hiki?

CCM inachukiwa kiasi hiki?

Kati ya mambo unayoweza kusema hayaelezeki ni la kuchukiwa kwa kiwango cha juu kwa CCM. Watoto, wazee, vijana, wasomi kwa wasiowasomi, maskini na matajiri wote ni Sasa wamekuwa wapinzani. Tukiacha hizi mambo za kutumia nguvu ya dola hiki chama kina nguvu ndogosana.

Pamoja na kufanya vizuri katika nyanja nyingi za maendeleo na ustawi wa jamii lakini Watanzania bado hawana mahaba ya kufa mtu. Ukipita njia mfano kwenda Arusha njiani kuna vijumba vya hovyo hata huwezi fikiri kama kuna binadamu wanaishi humo

Labda kuna la kujifunza kwa watawala




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli binadamu tumegawanyika kifikra na tumetofautiana pakubwa!
Mimi ni muumini wa mtu na si chama.

Anavyotawala Jpm navutiwa naye sana kwa jinsi anavyoleta maendeleo ya nchi kwa haraka ingawa mimi si mwana ccm wala Cdm na sishabikii chama chochote kwa sasa.

Kabla ya uchaguzi 15' nilivutiwa sana na Dr Slaa na nilijiandaa kumpigia kura lakini nikavurugwa!

Ingawa mfumo wetu wa utawala, mgombea hadi atokane na chama, binafsi nilishashindwa kushabikia chama, ninajikita na mgombea tu, nashindwa kuelewa kwanini hawataki kuruhusu mgombea binafsi!

Labda Jpm angelikisafisha ccm inavyotakiwa, ningelikifuata, lkn bado sura ni zilezile zilizokuwa zinaimba ....' tunaimani na.....' zipo na hao ndiyo wanamaslahi waliolivuruga taifa, hivyo bado kuna mizizi iliyooza hajaisafisha, siwezi shabikia.

Ukija Cdm, sina mpango wa kuwekeza akili zangu huko, labda nitemee mate chini nisikufuru, maana mwezi october ni mbali wanaweza wakateua mgombea 'wamaana' ambaye anaweza kunivutia na kunibadili mawazo.

Lakini kama watakuwa hawa hawa wajelajela original, nasema mapema kabisa 'big nooooo'.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli binadamu tumegawanyika kifikra na tumetofautiana pakubwa!
Mimi ni muumini wa mtu na si chama.

Anavyotawala Jpm navutiwa naye sana kwa jinsi anavyoleta maendeleo ya nchi kwa haraka ingawa mimi si mwana ccm wala Cdm na sishabikii chama chochote kwa sasa.

Kabla ya uchaguzi 15' nilivutiwa sana na Dr Slaa na nilijiandaa kumpigia kura lakini nikavurugwa!

Ingawa mfumo wetu wa utawala, mgombea hadi atokane na chama, binafsi nilishashindwa kushabikia chama, ninajikita na mgombea tu, nashindwa kuelewa kwanini hawataki kuruhusu mgombea binafsi!

Labda Jpm angelikisafisha ccm inavyotakiwa, ningelikifuata, lkn bado sura ni zilezile zilizokuwa zinaimba ....' tunaimani na.....' zipo na hao ndiyo wanamaslahi waliolivuruga taifa, hivyo bado kuna mizizi iliyooza hajaisafisha, siwezi shabikia.

Ukija Cdm, sina mpango wa kuwekeza akili zangu huko, labda nitemee mate chini nisikufuru, maana mwezi october ni mbali wanaweza wakateua mgombea 'wamaana' ambaye anaweza kunivutia na kunibadili mawazo.

Lakini kama watakuwa hawa hawa wajelajela original, nasema mapema kabisa 'big nooooo'.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ngumu sana kumshabikia mchezaji ukiwa huna mapenzi na timu yake.
 
Mm kusema ukweli toka nilivyoanza kupata akili na kwenda shule CCM nilianza kuichukia.Nilianza kulinganisha rasilimali tulizo na zo na umaskini wa watu walio nao nikaona hapa hiki chama hakiko tayari kutuletea maendeleo.

Nikajiuliza wanashindwa nini kujifunza kwa zilizoendelea wakaja na mikakati ya kutotoa hapa tulipo? Nikaona hawana mkakati wa kujumuisha watu wao na kupanga namna ya kufika mbali.

Sasa huyu JPM ndoo kabisaa sikumtaka toka awali kwa sababu nilkuwa namfaham ndani na nje.Nilijua yeye hatataka kuwahusisha na kuwanumuisha watanzania katika kupanga vioaumbele vya nchi.Yeye toka naanza kumjua hata kwao kijijini yeye anataka alichopanga ndoo hichocho hata kama hakina faida katika jamii.

Sasa kwa vitu anavyovifanya vya kuwasaidia wanyonge havipoo kabisa ,kama angeshirikiana na watu katka kupanga wote wangemwambia aanze kwenye kilimo ili watu waweze kuchangia pato lao la taifa ,lakini hayo hayawazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli binadamu tumegawanyika kifikra na tumetofautiana pakubwa!
Mimi ni muumini wa mtu na si chama.

Anavyotawala Jpm navutiwa naye sana kwa jinsi anavyoleta maendeleo ya nchi kwa haraka ingawa mimi si mwana ccm wala Cdm na sishabikii chama chochote kwa sasa.

Kabla ya uchaguzi 15' nilivutiwa sana na Dr Slaa na nilijiandaa kumpigia kura lakini nikavurugwa!

Ingawa mfumo wetu wa utawala, mgombea hadi atokane na chama, binafsi nilishashindwa kushabikia chama, ninajikita na mgombea tu, nashindwa kuelewa kwanini hawataki kuruhusu mgombea binafsi!

Labda Jpm angelikisafisha ccm inavyotakiwa, ningelikifuata, lkn bado sura ni zilezile zilizokuwa zinaimba ....' tunaimani na.....' zipo na hao ndiyo wanamaslahi waliolivuruga taifa, hivyo bado kuna mizizi iliyooza hajaisafisha, siwezi shabikia.

Ukija Cdm, sina mpango wa kuwekeza akili zangu huko, labda nitemee mate chini nisikufuru, maana mwezi october ni mbali wanaweza wakateua mgombea 'wamaana' ambaye anaweza kunivutia na kunibadili mawazo.

Lakini kama watakuwa hawa hawa wajelajela original, nasema mapema kabisa 'big nooooo'.



Sent using Jamii Forums mobile app
wajela jela original

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya mambo unayoweza kusema hayaelezeki ni la kuchukiwa kwa kiwango cha juu kwa CCM. Watoto, wazee, vijana, wasomi kwa wasiowasomi, maskini na matajiri wote ni Sasa wamekuwa wapinzani. Tukiacha hizi mambo za kutumia nguvu ya dola hiki chama kina nguvu ndogosana.

Pamoja na kufanya vizuri katika nyanja nyingi za maendeleo na ustawi wa jamii lakini Watanzania bado hawana mahaba ya kufa mtu. Ukipita njia mfano kwenda Arusha njiani kuna vijumba vya hovyo hata huwezi fikiri kama kuna binadamu wanaishi humo

Labda kuna la kujifunza kwa watawala

Nilidhani unazo hoja na mifano kuthibitisha andiko lako kumbe ni uandishi wa kikanjanja?
CCM baada ya 2015, imekuwa na mvuto sana, JPM ameirejeshea uhai, ushahidi ni huu hapa:
1. Kurejea kwa vigogo walioikimbia 2015, mfano Lowasa na Sumaye
2. Kuvuna wabunge na madiwani kutoka CUF na Chadema
3. Uvaaji wa sare za chama hadharani
4. Kuanzishwa kwa mashirikisho ya wanachama katika vyuo vya Elimu na mahala pa kazi
5. Kuwapokea waandamizi wa chadema, Dk Slaa na Dk Mashinji
6. Ushawishi kwa jamii.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MaCCM ni janga la taifa.
Toka Mwl Nyerere aondoke madarakani wamekandamiza nchi hii kwa siasa za try and error, hawana sera halisi ya kutukwamua kama nchi!
Wamekuja kina ndiooo wakishabikia wauwaji eti ni uzalendo!!
Wameiibia nchi hii wala hakuna anayewachulia hatua, kina Yona, Mramba, ESCROW ya kina Tibaijuka ni wabunge.
Wooote hakuna aliye msafi, ni watawala wanakazana kukandamiza ukweli!!
Tunahitaji kina Lissu watuletee katiba nzuri kuipa Tanzania haki uhuru na DEmokrasia.
CCM ni janga la taifa!!
 
CCM hawatupi Nafasi ya kuongozwa na viongozi wanaopendwa na jamii. Wale wanaopendwa majina yao hayarudi. Hata mshenzi akiwa mgombea wa CCM ana uhakika wa kushinda. Hii ni moja ya chuki za wananchi
 
Kweli binadamu tumegawanyika kifikra na tumetofautiana pakubwa!
Mimi ni muumini wa mtu na si chama.

Anavyotawala Jpm navutiwa naye sana kwa jinsi anavyoleta maendeleo ya nchi kwa haraka ingawa mimi si mwana ccm wala Cdm na sishabikii chama chochote kwa sasa.

Kabla ya uchaguzi 15' nilivutiwa sana na Dr Slaa na nilijiandaa kumpigia kura lakini nikavurugwa!

Ingawa mfumo wetu wa utawala, mgombea hadi atokane na chama, binafsi nilishashindwa kushabikia chama, ninajikita na mgombea tu, nashindwa kuelewa kwanini hawataki kuruhusu mgombea binafsi!

Labda Jpm angelikisafisha ccm inavyotakiwa, ningelikifuata, lkn bado sura ni zilezile zilizokuwa zinaimba ....' tunaimani na.....' zipo na hao ndiyo wanamaslahi waliolivuruga taifa, hivyo bado kuna mizizi iliyooza hajaisafisha, siwezi shabikia.

Ukija Cdm, sina mpango wa kuwekeza akili zangu huko, labda nitemee mate chini nisikufuru, maana mwezi october ni mbali wanaweza wakateua mgombea 'wamaana' ambaye anaweza kunivutia na kunibadili mawazo.

Lakini kama watakuwa hawa hawa wajelajela original, nasema mapema kabisa 'big nooooo'.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwa kweli kwa jiwe big no, bora arudi yule wa Msonga kuliko huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli binadamu tumegawanyika kifikra na tumetofautiana pakubwa!
Mimi ni muumini wa mtu na si chama.

Anavyotawala Jpm navutiwa naye sana kwa jinsi anavyoleta maendeleo ya nchi kwa haraka ingawa mimi si mwana ccm wala Cdm na sishabikii chama chochote kwa sasa.

Kabla ya uchaguzi 15' nilivutiwa sana na Dr Slaa na nilijiandaa kumpigia kura lakini nikavurugwa!

Ingawa mfumo wetu wa utawala, mgombea hadi atokane na chama, binafsi nilishashindwa kushabikia chama, ninajikita na mgombea tu, nashindwa kuelewa kwanini hawataki kuruhusu mgombea binafsi!

Labda Jpm angelikisafisha ccm inavyotakiwa, ningelikifuata, lkn bado sura ni zilezile zilizokuwa zinaimba ....' tunaimani na.....' zipo na hao ndiyo wanamaslahi waliolivuruga taifa, hivyo bado kuna mizizi iliyooza hajaisafisha, siwezi shabikia.

Ukija Cdm, sina mpango wa kuwekeza akili zangu huko, labda nitemee mate chini nisikufuru, maana mwezi october ni mbali wanaweza wakateua mgombea 'wamaana' ambaye anaweza kunivutia na kunibadili mawazo.

Lakini kama watakuwa hawa hawa wajelajela original, nasema mapema kabisa 'big nooooo'.



Sent using Jamii Forums mobile app
umejibia hoja vema mkuu ila tunaweza kutofautiana kimawazo ambayo ni haki yetu ila FACTS lazima ziheshiwe ili kulinda ukweli wa majadiliano,umemsia president Magufuli kwa kuleta maendeleo ILA please nipe mradi mmoja alioutekeleza kwenye awamu yake,mradi ambao umeleta mabadiliko kwa common man on the street,sio sisi middle class wenye uwezo kidogo;achilia miradi ambayo iliasisiwa na awamu ya nne na utekelezaji wake ukaanza yeye kaja kuumalizia,ninahitaji mradi uliobuniwa naye,na ukautekeleza na matunda yake yanaonekana,kumbuka kuwa Ubungo sio ubunifu wake and I can put my head on the bock ule ni uchafu Fulani pale,Reli inasuasua na mvua ikinyesha kidogo miundo yake inashindwa kabisa kuhimili ,mradi ile wa umeme KUKAMILIKA kwenye uongozi wake kwangu ni ndoto;kampeni za korosho zote ni za kisiasa mkulima wa korosho hadi leo bado anamaumivu,reli ya dar to moshi inasuasua,mradi wa bomba la mafuta Uganda to tanga naona kama unafifia.
 
umejibia hoja vema mkuu ila tunaweza kutofautiana kimawazo ambayo ni haki yetu ila FACTS lazima ziheshiwe ili kulinda ukweli wa majadiliano,umemsia president Magufuli kwa kuleta maendeleo ILA please nipe mradi mmoja alioutekeleza kwenye awamu yake,mradi ambao umeleta mabadiliko kwa common man on the street,sio sisi middle class wenye uwezo kidogo;achilia miradi ambayo iliasisiwa na awamu ya nne na utekelezaji wake ukaanza yeye kaja kuumalizia,ninahitaji mradi uliobuniwa naye,na ukautekeleza na matunda yake yanaonekana,kumbuka kuwa Ubungo sio ubunifu wake and I can put my head on the bock ule ni uchafu Fulani pale,Reli inasuasua na mvua ikinyesha kidogo miundo yake inashindwa kabisa kuhimili ,mradi ile wa umeme KUKAMILIKA kwenye uongozi wake kwangu ni ndoto;kampeni za korosho zote ni za kisiasa mkulima wa korosho hadi leo bado anamaumivu,reli ya dar to moshi inasuasua,mradi wa bomba la mafuta Uganda to tanga naona kama unafifia.
Ukisema anatekeleza miradi ya Kikwete unakosea hata kama imeasisiwa awamu ya4.
Nipende kusema kuwa bila dhamira ya kweli, utekekezaji unaousema haungelikuwepo na hakuna cha kumfanya.

Emb turud awamu ya4 miradi kababe iliyotekelezwa ikakamilika uitaje kwa majina.

Huyu wa awamu ya5 Tanzania nzima ninaona inefumuliwa inajengwa: Nyerere dam,Standard g railway, Dar huko miradi kibao, Dodoma huko, barabara kuunganisha mikoa, barabara za mjini, mikataba ya madini kufumuliwa, kukaba mafisadi.

Mambo hayo nimeyataja kwa uchache kwasababu sijatuliza kichwa.

Kwa kuwa tawala zote kwa awamu ninazijua, nitaeleza kifupi mapungufu ya kila awamu.
Enzi za awamu ya kwanza, Nyerere alijitahidi kuanzisha mashirika ya Umma, lakin alikuwa hana meno, mafisadi aliwagwaya hadi kumchomekea hayati Moringe adili nao, matokeo yake yanafahamika, baada ya hilo gharika mafisadi walianza kudai fidia nk nk kwasababu kulikuwepo na mwanya wa kusheria, wakaibana serikali kuwalipa fidia.

Awamu ya pili siiongelei maana ilikuwa kama utawala wa mpito.

Awamu ya tatu ndiyo sura za mafisadi zilijidhihirisha kwa kuwa hapakuwa na sheria madhubuti kuwabana, pesa ilibanwa kishenzi, nyongeza za mishahara ilikuwa ni kiduchu mno, oesa mfukoni hakuna ukiangalia s.sleep usishangae kuona nyongeza ya sh.5,000!

Awamu ya4 ni ya makundi na udini kuruhusiwa, misikiti kuanza kujengwa hata maofisini na kwenye visima vya mafuta.

Salamu za madhehebu kwenye kadannasi zikaasisiwa.

Sijasikia salamu za namna hiyo Bungeni, salamaleko, sijui Yesu asifiwe!

Makundi yalipewa baraka halisi za huyu mwenzetu ama kinyume chake.

Tuliokula chumvi kwa kuona tawala zote tangia uhuru nitakuwa mwizi wa fadhila nikimsema tofauti Magufuli.

Kuanzia utawala wa Mwinyi hadi huu, wanatawala kipindi kifupikifupi mno, hivyo impact ya kila utawala unadisplay awamu hiyo hadi awamu nyingine inayofuata siyo ajabu.
Lakini watawala wote tunawapima kwa uthubutu wao wa kuchukua hatua za kuleta maendeleo pamoja na uzuiaji ama utokomezaji wa mianya ya rushwa ambayo waTz walikuwa wametopea na kuwa ni kama utamaduni halisii.

Kwa hiyo mkuu,mimi imani yangu ipo sana kwa utawala wa awamu hii, hasa akiendelea bila kubadilika.

Akibadilika huku mbele ya safari basi nami nitabadili msimamo na mtazamo wangu.
Sishabikii chama chochote kwa sasa.

Mkuu nineandika kama summary, nikitulizana ndiyo ninaweza kukuwekea details za niliyoyaandika. Alamsiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom