ccm hoyeeee
ukianzia hata kwenye suala la mavazi, namaliza mwezi wa pili sasa nipo wilayani kilolo sijamwona mwananchi akiwa na skafu ya ccm, kofia, au mzula wa ccm,, vijana ukiwaangalia wako na skafu zimeandikwa m4c,,,, wazee kwa vijana hawataki kabisa kusikia habari za ccm...sasa hali iko hiv japo haujawahi kufafanyika ata mkutano mmoja wa cdm tangu chama kianzishwe, je hizo operation ambazo huku tunazisikia tu kwenye taarif zikifika huku si ndo utakua mwisho wa ccm huu wadau.
ukianzia hata kwenye suala la mavazi, namaliza mwezi wa pili sasa nipo wilayani kilolo sijamwona mwananchi akiwa na skafu ya ccm, kofia, au mzula wa ccm,, vijana ukiwaangalia wako na skafu zimeandikwa M4C,,,, WAZEE KWA VIJANA HAWATAKI KABISA KUSIKIA HABARI ZA CCM...sasa hali iko hiv japo haujawahi kufafanyika ata mkutano mmoja wa cdm tangu chama kianzishwe, JE HIZO OPERATION AMBAZO HUKU TUNAZISIKIA TU KWENYE TAARIF ZIKIFIKA HUKU SI NDO UTAKUA MWISHO WA CCM HUU WADAU.
[h=5]CHAMA CHA MAPINDUZI "Tupo Imara sana na tunasonga mbele,Watapambana kadri ya uwezo wao kufanya nchi isitawalike,CCM TUNASEMA HAWATASHINDA,NCHI ITATAWALIKA,Tumejipanga kuwatumikia Watanzania kwa Amani na Utulivu"[/h]utaifa kwanza wewe ni kichaa kwanza umejibu karibu page nzima wewe mwenyewe huoni ni kama unazuia mjadala ovyo kabisa wewe ni elfu saba ti ndo zimekufanya mtumwa wa ukoo wa panya......msalimie nape.
rudisheni mabilioni yetu mliyonunulia jumba dubaichama chaasogange hoyeeeeeeeee
Ccm ni ZILIPENDWA,nyie wote mnaendeshwa na TUMBO.kidumu chama cha mapinduzi, chama kinachopendwa na watanzania wa rika zote, ccm ni tumaini la watz
huyu kenge nikimuona nasikia kichefu chefu yani ukiangalia ni kama mashine ya kutolea roho za watu wasio na hatia, arusha wameua mpaka watoto wadogo...Mungu ataiacha hii dhambi ipite hivhivi? hapana kila mtu atalipa kwa aliyo fanya, unaweza kudhani uko salama maana mahakama iko chini yako lakini Mungu hayuko chni yako, na wakati umekaribia damu uliyo imwaga itakutokea puani, sipendi kabisda watu wenye tamaa ya uongozi mpaka kumwaga damu, laana na iwe juu yao!
Eti mavazi hivi mibavicha ikoje kweli vazi la chama ndiyo hoja ya kutuletea kwenye jukwaa.ukianzia hata kwenye suala la mavazi, namaliza mwezi wa pili sasa nipo wilayani kilolo sijamwona mwananchi akiwa na skafu ya ccm, kofia, au mzula wa ccm,, vijana ukiwaangalia wako na skafu zimeandikwa M4C,,,, WAZEE KWA VIJANA HAWATAKI KABISA KUSIKIA HABARI ZA CCM...sasa hali iko hiv japo haujawahi kufafanyika ata mkutano mmoja wa cdm tangu chama kianzishwe, JE HIZO OPERATION AMBAZO HUKU TUNAZISIKIA TU KWENYE TAARIF ZIKIFIKA HUKU SI NDO UTAKUA MWISHO WA CCM HUU WADAU.
huyu kenge nikimuona nasikia kichefu chefu yani ukiangalia ni kama mashine ya kutolea roho za watu wasio na hatia, arusha wameua mpaka watoto wadogo...Mungu ataiacha hii dhambi ipite hivhivi? hapana kila mtu atalipa kwa aliyo fanya, unaweza kudhani uko salama maana mahakama iko chini yako lakini Mungu hayuko chni yako, na wakati umekaribia damu uliyo imwaga itakutokea puani, sipendi kabisda watu wenye tamaa ya uongozi mpaka kumwaga damu, laana na iwe juu yao!
Kweli huna akili mkuu siasa siku hizi unafanya shuleni viroba na bangi vimeharibu vijana wengi wa bavicha.Ushahidi mwingine. SIKU HIZI HATA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI HAWAIMBI TENA ZILE NYIMBO ZENYE KUTAJA CHAMA cha magamba na wauza unga,, UKIENDA MASHULENI WANAFUNZI UKIWAAMBIA PEOPLEEES,!!! Angalia response yake!!!!
Eti mavazi hivi mibavicha ikoje kweli vazi la chama ndiyo hoja ya kutuletea kwenye jukwaa.
Mkuu huyo ndiyo kiboko yako kama umechukia sana mmwagie sumu mkuu.huyu kenge nikimuona nasikia kichefu chefu yani ukiangalia ni kama mashine ya kutolea roho za watu wasio na hatia, arusha wameua mpaka watoto wadogo...Mungu ataiacha hii dhambi ipite hivhivi? hapana kila mtu atalipa kwa aliyo fanya, unaweza kudhani uko salama maana mahakama iko chini yako lakini Mungu hayuko chni yako, na wakati umekaribia damu uliyo imwaga itakutokea puani, sipendi kabisda watu wenye tamaa ya uongozi mpaka kumwaga damu, laana na iwe juu yao!
Sijawahi kuwaona wamejaa nikumbushe walivaa lini.jiulize kwa nini zamani walikua wanavaa lakini sikuizi WANAKATAA,, ALAFU YALE MAVAZI NYINYI MAGAMBA PAMOJA NA KUGAWA BUREEE LAKINI BADO WATU HAWACHUKUI ,WANAENDA KUNUNUA MAGWANDA YA CDM hujaelewa tu maana yake mjomba..
kidumu chama cha mapinduzi, chama kinachopendwa na watanzania wa rika zote, ccm ni tumaini la watz
hapana sita mmwagia sumu wala nini, lakini kushiriki kwa namna yoyote kutoa roho ya mtu si sawa, atamuhukumu aliye mleta duniani, mimi ni kusikitika tu na kuomba kwa Mungu, tuwe mashabiki lakini kuto roho ya mtu hapana, wazia kama watoto, ndugu au wazazi wako unakuta wame kufa kwasababu wamekwenda kewnye mkutano wa chama usicho kipenda, hapana tusipoteze ubinadamu wetu kwasababu ya ujinga wa uvyama ambavyo tusitake tutake vitakufa tu!Mkuu huyo ndiyo kiboko yako kama umechukia sana mmwagie sumu mkuu.