Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 26,634
- 38,245
Membe karudishwa ataungana na washamba wa chato kuwapelekea moto machadema 2025!
Tunayasubiri kwa hamu..
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Membe karudishwa ataungana na washamba wa chato kuwapelekea moto machadema 2025!
Ccm mpya na ya zamani imeteka mawazo yote ya gaidi ya katiba mpya!Unaumia ukiwa wapi ndugu? we ni ccm mpya au ccm ya zamani?
Kwamba ndio chadema itaishinda ccm?Hapa bado Nyarandu,Sospeter ili kikosi kikamilike
Jiwe huko kuzimu be like ai wishi ai could be izraili mtoa roho.
Hoja ipi sasa?Sasa chadema wakikosa hoja awamu hii basi hakitainuka tena
Mafisadi mmerudi mjini
Kumbe unakubali kwamba Magu alitimua mafisadi? Sasa mnachoshangilia nini?Mafisadi mmerudi mjini
Ukweli ni kwamba Fisadi aliwafukuza mafisadi wenziwe mjini.Kumbe unakubali kwamba Magu alitimua mafisadi? Sasa mnachoshangilia nini?
Hata hivyo hao unaosema wataleta hoja hawana uwezo maana aliondoka nao Slaa wote. Hawa waliobaki ni kundi la wahuni tu
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Jamaa una stress mpaka basi😀😀😀.Ccm mpya na ya zamani imeteka mawazo yote ya gaidi ya katiba mpya!
Ccm mpya na ya zamani, 2025 wataungana kuwapelekea moto machadema kwenye box la kura!
Ccm hii 2025 itakuwa na kazi myepesi sana maana inaungwa mkono toka kila pande., hata wale wa upande wa gaidi wanaunga mkono ccm hii ili kumkomoa marehemu!
Tuwanyoa bila maji hawa timu gaidi
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Nyie machadema ndio mnastress mkuu!Jamaa una stress mpaka basi.
Pole mkuu ndivyo maisha yalivyo
CHADEMA waishangilia CCM
Membe karudishwa ataungana na washamba wa chato kuwapelekea moto machadema 2025!
Tunayasubiri kwa hamu..
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Sawa Dada Pakawa asante kwa ushauriYa Ngoswe Mwachieni Ngoswe......
Huku kufurahia yanayoendelea ndani ya chama cha watesi kunashangaza mno mnooooo
Wapinzani mnajisahau sana
sisiem ni ile ile mbona mihemko mingi hivi
Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime wakipatana chukua kapu ukavune
Simamieni moja huku kushangilia sijui kukebehi yanayotokea upande wa pili huu muda mtaujutia baadae
Endelezeni kupaaza sauti Juu ya #katibampya mengine yaacheni yapite....
Ni ushauri tu...