Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Tanzania ina Wabunge zaidi ya 367.
Watu 5,000 wakichukua fomu za Ubunge maana ake CCM itapata Shs. 5,000 x 400 x 100,000 = 20,000,000,0000 ( Billion 20 )
Udiwani : Tuna Halmashauri 187
Assume madiwani 10 kila kata.
Pesa = 10,000 x 10 x 187=18,700,000
Chama kina pesa.
Watu 5,000 wakichukua fomu za Ubunge maana ake CCM itapata Shs. 5,000 x 400 x 100,000 = 20,000,000,0000 ( Billion 20 )
Udiwani : Tuna Halmashauri 187
Assume madiwani 10 kila kata.
Pesa = 10,000 x 10 x 187=18,700,000
Chama kina pesa.