Huwezi kuyaona Mr Rocky,huenda hauishi TZ na kama unaishi hapa utayaona na utayafahamu hayo niliojaribu kuwashirikisha wana JF.
Ambacho huelewi ni nini,au nawe ni sehemu ya matatizo?kila kukicha serikali yetu sikivu inatutendea mema,houni?
Mkuu yote hayo ni majibu ya siku zote nami najaribu kuanika kile tunachohubiriwa siku zote ila kama hujanielewa soma kwa uangalifu kisha utafakari,sina haja ya kutafuta umaarufu
Its good article, if you want to understand it , read it in negative ways, i hope that is what writer wants to present, if its other way, he should be wrong.
Huwezi kuyaona Mr Rocky,huenda hauishi TZ na kama unaishi hapa utayaona na utayafahamu hayo niliojaribu kuwashirikisha wana JF.
Ambacho huelewi ni nini,au nawe ni sehemu ya matatizo?kila kukicha serikali yetu sikivu inatutendea mema,houni?
Nilikuwa napata shida sana kuelewa kauli za pinda bungeni kuwa serikali ni sikivu.baada ya kubangua bongo sana nimeelewa kumbe maana yake inasikia tu tena kwa umakini mkubwa ila haina uwezo wa kushugulikia.
Wabunge wa chama cha mafisadi kimechangia kwa asilimia kubwa kwenye maamuz yaliyofanywa na serikal kwa kupuuza saut ya uma napendekeza chama changu kizunguke nch nzima kuelezea unafik huu wa CCM au Chama kitafute saini milioni 8 kwa watanzania wote tuweze kumwajibisha mfujaj wa kod zetu za anayetaka kujitafutia umaarufu wa kijinga JK.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.