Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Wakuu kwa taarifa alizonipa jamaa yangu ambae kwa sasa yupo Njoro huko Kiteto akinunua mazao ananiambia ccm wamelazimika kukimbia baada ya wananchi wa Kata ya Njoro kuwafukuza na mapanga pamoja na silaha nyingine za jadi walipojaribu kufanya kampeni. Jamaa ananiambia vyombo vya ulinzi na usalama wilayani Kiteto vinahaha kunusuru hiyo hali Ni tête Sana. Nitawaletea taarifa kamili baada ya muda mfupi.