CCM Imejimaliza Rasmi na IPTL-ESCROW

CCM Imejimaliza Rasmi na IPTL-ESCROW

Wakati mwingine jitahidi kuficha upu.mbavu wako, hivi ni kweli kutoka moyoni swala hili uko na amani nalo na unapata faida gani kupotosha? Najua unaelewa fika kwamba fedha za akaunti ya dhamana hazikuwa za kununulia umeme bali ni capacity charges, licha ya kulielewa hili umekuwa ukipotosha kila unapopost.

Basi tuashumu sio pesa za serikali, vipi kuhusu kodi? Vipi kuhusu ukiukwahi mkubwa wa sheria za nchi BOT na taratibu juu ya transactions za pesa hizo? Hata haya nayo unayatetea?

Hivyo ndivyo TOR inavyomwelekeza kufanya kazi ili alipwe. Anafanya kulingana na matakwa ya bosi na siyo kwa kutumia akili. Hili ni tatizo la Watanzania wengi. Kama hawatatumia hisia watatimia njaa zao au matakwa ya mabosi wao.
 
Mimi ni mkristo ambaye Mungu amenijalia kuwa na maarifa ya rohoni. Naomba nifanye maombi haya;

Katika jina la Yesu wa Nazareti nawaamuru mashetani wote waliopewa damu ya watu 11 kwa ajali ya gari kule Tanga kwa kusudi lolote lile, la kisiasa, au namna yoyote, nawaamuru malaika wa vita wa Mungu Jehova wawafunge na wasiweze kuyatimiza makusudi yoyote katika taifa letu.

Nateka nyara anga lote, nchi yote na makusanyiko ya maji katika ulimwengu wa roho ambapo mashetani wamejipanga ili kuliangamiza taifa langu, na ninawafunga wote kwa jina la Yesu wa Nazarethi. Kila wanachokipanga kinyume na mafanikio ya taifa langu ninakitengua katika jina la Yesu.

Mwanadamu yoyote anayewatumainia mashetani hayo ili kuendeleza makusudi yake ya kuliangamiza taifa langu ninamfunga na hataweza kufanikiwa katika kusudi la kuliangamiza taifa langu katika jina la Yesu.

Mashetani wote waliovaa sura za wanadamu ambao kwa muda mrefu wamekaa kati yetu na kulitendea taifa letu uovu wa kutisha naamuru warudi kuzimu walikotoka katika jina la Yesu.

Haya ndio maombi yangu yenye maarifa ya rohoni.

Amen. Asante Bwana Yesu kwa kuwa umejibu na kuzidi. Pokea sifa na utukufu.
 
Mwakan tunawamaliza rasmiii.. Na tukiwaondoa madarakan tunafuta kabisa chama chenyewe usajili wake
 
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.

Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM.

Kakobe alinena.
 
Mleta mada unashangaza sana.

kama CCM inaanguka si ndio ufurahi sasa?

Huna haja ya kulia lia, wakati.majibu yote kuhusu escrow yameshawekwa wazi na Prof. Muhongo.

na ni dhahiri kuwa hakuna wizi wowote.

Sasa afurahi kuanguka chama chake?
 
Umekariri hilo jibu? Tunachokilalamikiakimerudia tangu sakata hili limeanza. Kama huna cha kuchangia si ukae kimya?

Mnachokilalamikia chote kimedhihirika kuwa ni uongo, Ripoti ya CAG haioneshi wizi wala rushwa. Mnalalamikia pesa za huduma ilitolewa mlikuwa mnataka umeme wa bure?

Hivi kwanini wabunge wenu wa upinzani wanatumia fursa ya kuwa live kwenye TV kuwadanganya Watanzania?

Na wewe umedanganywa ukadanganyika au unatetea uongo? Onesha huo wizi uko wapi?
 
Wakati mwingine jitahidi kuficha upu.mbavu wako, hivi ni kweli kutoka moyoni swala hili uko na amani nalo na unapata faida gani kupotosha? Najua unaelewa fika kwamba fedha za akaunti ya dhamana hazikuwa za kununulia umeme bali ni capacity charges, licha ya kulielewa hili umekuwa ukipotosha kila unapopost.

Basi tuashumu sio pesa za serikali, vipi kuhusu kodi? Vipi kuhusu ukiukwahi mkubwa wa sheria za nchi BOT na taratibu juu ya transactions za pesa hizo? Hata haya nayo unayatetea?

RIPOTI ya CAG mmeisoma? amesema waziwazi pesa za escrow ni mali ya Tanesco, zilitakiwa zote bil. 306 zirudi Tanesco na bado Tanesco iendelee kuidai IPTL bil.15. Ni nini hakieleweki hapa isipokuwa kwa wale waliopofushwa na rushwa? mtaikataa ripoti ya Mkaguzi wa hesabu za serikali na kikubali badala yake ile ya mkaguzi wa miamba? watanzania nani kawaloga?

Hivi ni kweli bunge lote lile hakuna hata mmoja mwenye akili? ni wazi sisiem wamefungua mjadala uwe forum ya kuuhadaa umma na ulimwengu kwa manufaa ya kura na kuwasafisha watuhumiwa lakini kwa hili haitawabakisha salama
 
Wakati mwingine jitahidi kuficha upu.mbavu wako, hivi ni kweli kutoka moyoni swala hili uko na amani nalo na unapata faida gani kupotosha? Najua unaelewa fika kwamba fedha za akaunti ya dhamana hazikuwa za kununulia umeme bali ni capacity charges, licha ya kulielewa hili umekuwa ukipotosha kila unapopost.

Basi tuashumu sio pesa za serikali, vipi kuhusu kodi? Vipi kuhusu ukiukwahi mkubwa wa sheria za nchi BOT na taratibu juu ya transactions za pesa hizo? Hata haya nayo unayatetea?

Inaudhi na kukera sana,mtu anajua upuuzi uliofanyika then UNACHEKACHEKA tuuuuuu
 
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.

Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM.

Wacha kusema uongo.

Onesha huo wizi uko wapi? tumeona rripoti ya CAG na TAKuKURU hatujaona hata sehemu moja iliyosema kuna wizi waliougunduwa au rushwa waliyoiona katika uchunguzi wao.

Kwanini mnadanyana humu na mnadanganya umma wa Watanzania nyinyi na wabunge wenu?

Msifikiri kwa uongo ndiyo mtapata madaraka ya hii nchi, Watazania wanawaona na wanawashangaa sana watu wazima kusambaza uongo.

Onesha huo wizi uko wapi kama wewe u mkweli.
 
Mnachokilalamikia chote kimedhihirika kuwa ni uongo, Ripoti ya CAG haioneshi wizi wala rushwa. Mnalalamikia pesa za huduma ilitolewa mlikuwa mnataka umeme wa bure?

Hivi kwanini wabunge wenu wa upinzani wanatumia fursa ya kuwa live kwenye TV kuwadanganya Watanzania?

Na wewe umedanganywa ukadanganyika au unatetea uongo? Onesha huo wizi uko wapi?

Nilikuambia kuwa pro au against report zote zilizotolewa kuhusu sakata hili kunategemea kama wewe katika hili ni beneficiary wa namna gani. Hoja zako zinaku-define kuwa ni kati ya wale walio lamba asali hiyo na kutema hawawezi.
 
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.

Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM.

Anna Makinda kalichimbia CCM kaburi
 
Mnachokilalamikia chote kimedhihirika kuwa ni uongo, Ripoti ya CAG haioneshi wizi wala rushwa. Mnalalamikia pesa za huduma ilitolewa mlikuwa mnataka umeme wa bure?

Hivi kwanini wabunge wenu wa upinzani wanatumia fursa ya kuwa live kwenye TV kuwadanganya Watanzania?

Na wewe umedanganywa ukadanganyika au unatetea uongo? Onesha huo wizi uko wapi?

Umelaaniwa wewe !
 
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.

Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM.

Jamani, situicache CCM ife t, tunataka kuioko iendelee kutuumiza?
 
Nakubaliana na mtoa uzi.watu wamechoka kukumbatia wezi.Rais akoa ccm itakufa mikononi mwako.utakuwa umeweka historia
 
Back
Top Bottom