daniel lufumbula
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 107
- 178
Kweli mambo yamehalibika aise
Wakati mwingine jitahidi kuficha upu.mbavu wako, hivi ni kweli kutoka moyoni swala hili uko na amani nalo na unapata faida gani kupotosha? Najua unaelewa fika kwamba fedha za akaunti ya dhamana hazikuwa za kununulia umeme bali ni capacity charges, licha ya kulielewa hili umekuwa ukipotosha kila unapopost.
Basi tuashumu sio pesa za serikali, vipi kuhusu kodi? Vipi kuhusu ukiukwahi mkubwa wa sheria za nchi BOT na taratibu juu ya transactions za pesa hizo? Hata haya nayo unayatetea?
Mimi ni mkristo ambaye Mungu amenijalia kuwa na maarifa ya rohoni. Naomba nifanye maombi haya;
Katika jina la Yesu wa Nazareti nawaamuru mashetani wote waliopewa damu ya watu 11 kwa ajali ya gari kule Tanga kwa kusudi lolote lile, la kisiasa, au namna yoyote, nawaamuru malaika wa vita wa Mungu Jehova wawafunge na wasiweze kuyatimiza makusudi yoyote katika taifa letu.
Nateka nyara anga lote, nchi yote na makusanyiko ya maji katika ulimwengu wa roho ambapo mashetani wamejipanga ili kuliangamiza taifa langu, na ninawafunga wote kwa jina la Yesu wa Nazarethi. Kila wanachokipanga kinyume na mafanikio ya taifa langu ninakitengua katika jina la Yesu.
Mwanadamu yoyote anayewatumainia mashetani hayo ili kuendeleza makusudi yake ya kuliangamiza taifa langu ninamfunga na hataweza kufanikiwa katika kusudi la kuliangamiza taifa langu katika jina la Yesu.
Mashetani wote waliovaa sura za wanadamu ambao kwa muda mrefu wamekaa kati yetu na kulitendea taifa letu uovu wa kutisha naamuru warudi kuzimu walikotoka katika jina la Yesu.
Haya ndio maombi yangu yenye maarifa ya rohoni.
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.
Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM.
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?
Mleta mada unashangaza sana.
kama CCM inaanguka si ndio ufurahi sasa?
Huna haja ya kulia lia, wakati.majibu yote kuhusu escrow yameshawekwa wazi na Prof. Muhongo.
na ni dhahiri kuwa hakuna wizi wowote.
Umekariri hilo jibu? Tunachokilalamikiakimerudia tangu sakata hili limeanza. Kama huna cha kuchangia si ukae kimya?
Wakati mwingine jitahidi kuficha upu.mbavu wako, hivi ni kweli kutoka moyoni swala hili uko na amani nalo na unapata faida gani kupotosha? Najua unaelewa fika kwamba fedha za akaunti ya dhamana hazikuwa za kununulia umeme bali ni capacity charges, licha ya kulielewa hili umekuwa ukipotosha kila unapopost.
Basi tuashumu sio pesa za serikali, vipi kuhusu kodi? Vipi kuhusu ukiukwahi mkubwa wa sheria za nchi BOT na taratibu juu ya transactions za pesa hizo? Hata haya nayo unayatetea?
Wakati mwingine jitahidi kuficha upu.mbavu wako, hivi ni kweli kutoka moyoni swala hili uko na amani nalo na unapata faida gani kupotosha? Najua unaelewa fika kwamba fedha za akaunti ya dhamana hazikuwa za kununulia umeme bali ni capacity charges, licha ya kulielewa hili umekuwa ukipotosha kila unapopost.
Basi tuashumu sio pesa za serikali, vipi kuhusu kodi? Vipi kuhusu ukiukwahi mkubwa wa sheria za nchi BOT na taratibu juu ya transactions za pesa hizo? Hata haya nayo unayatetea?
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.
Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM.
Mnachokilalamikia chote kimedhihirika kuwa ni uongo, Ripoti ya CAG haioneshi wizi wala rushwa. Mnalalamikia pesa za huduma ilitolewa mlikuwa mnataka umeme wa bure?
Hivi kwanini wabunge wenu wa upinzani wanatumia fursa ya kuwa live kwenye TV kuwadanganya Watanzania?
Na wewe umedanganywa ukadanganyika au unatetea uongo? Onesha huo wizi uko wapi?
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.
Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM.
Mnachokilalamikia chote kimedhihirika kuwa ni uongo, Ripoti ya CAG haioneshi wizi wala rushwa. Mnalalamikia pesa za huduma ilitolewa mlikuwa mnataka umeme wa bure?
Hivi kwanini wabunge wenu wa upinzani wanatumia fursa ya kuwa live kwenye TV kuwadanganya Watanzania?
Na wewe umedanganywa ukadanganyika au unatetea uongo? Onesha huo wizi uko wapi?
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi. Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi wameanza vita rasmi dhidi ya watawala. 2015 CCM inakuwa historia.
Kukinusuru chama, Rais Kikwete na uongozi wa CCM inabidi iwatose hawa wezi, vinginevyo CCM imekuwa raski November 2014. Hakuna sehemu hawa viongozi watapita kueleweka au kukubaliki. Watazomewa na kudhalilisha vibaya. Rais asiposikia, basi R.I.P CCM.
Porojo hizo, mlitaka umeme wa bure?