Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Hilo dude halishaurikagi utapoteza muda kulishauri tunaliachaga na kulipuuza tu limeshapofushwa na ufisadi. Huyu ni miongoni mwa wanasiasa mavi humu ndani wanaopuuza maslahi mapana ya taifa na kung'ang'ana na maslahi ya chama mana fedha za wizi ndizo zilizomlea..Issue sio umeme wa bure, ni vipi uwe wa gharama kubwa namna hiii, watanzania ni maskini sana iweje leo B 321 zigawanywe kienyeji namna hii.
Tujaribu kuwa makini, tusifuate ushabiki