Maendeleo tu
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 347
- 107
Mnasikitsha nyinyi mliotiwa mkenge mkaona escrow ndio pa kutokea, wapi?
Onesheni wizi uko wapi? CAG hakuonesha, PCCB hawakuonesha.
Hoja za Zitto, ambae kwa sasa mnamuona si msaliti, zimesambaratishwa na zimeonekana kuwa zilikuwa ni uongo mtupu.
Kwani tunazungumzia hoja za PAC ambayo asilimia 75 ya wajumbe wake ni CCM au Zitto?