CCM imechanganyikiwa?

CCM imechanganyikiwa?

Lowasa kafuta agenda uchwara nyingi za Michadema baada ya kuungana na wazalendo
 
kwahiyo Mugisher unataka kunipangia cha kuandika? Mbona heading iko wazi kabisa? Kama una wazo mbadala au unapingana na nilichoandika.. Jenga hoja yenye mashiko sio kuanza kuniambia ningeandika hivi ama vile
Kaka nikatika kukufanya uwe the BEST katika kile (makala) unachofanya ndugu yangu. Si zaidi ya hayo. Inamake sense pia kuwaanagalia hawa wanachama wanohama. Ni wa aina gani..na hawa ndio wako wengi mno. Kumbuka jamii yetu ni ya watu wanafiki sana. Huu mlengo watu wengi hawautaki kuuangalia.
 
mshana jr

Tungepata waonyaji na wakemeaji wa huu uhuni ingependeza haiwezekani mtu mmoja apeleke nchi jinsi anavyotaka Hata Kama kakosea asikosolewe hii sio fair. Ila akumbuke atawadanganya Watu Wote ila sio Siku zote. Ajifunze Kwa Mugabe Ipo Siku udhalimu utafika mwisho. Kila mtu anaogopa yy ni Nani???

Tz haijawa kilaza Namna hii au ni kizazi cha zilipendwa haki yanane I wish I could be meja General.
Mungu tusaidie!!!

Ndoto
 
Mmeshapotea njia.Siku hizi hakuna agenda ya msingi tutakayoisikia kutoka kwenu ni vijembe na, kashfa na malalamiko tu.

Naomba niwekee kipengele cha Ilani yenu kinachosema Mtapigia kelele ununuaji wa wanachama wa kisiasa kutoka CDM kwenda CCM na kutoka CCM kwenda CDM.
 
Mmeshapotea njia.Siku hizi hakuna agenda ya msingi tutakayoisikia kutoka kwenu ni vijembe na, kashfa na malalamiko tu.

Naomba niwekee kipengele cha Ilani yenu kinachosema Mtapigia kelele ununuaji wa wanachama wa kisiasa kutoka CDM kwenda CCM na kutoka CCM kwenda CDM.
Weka hakiba ya maneno maandishi hayafutiki
 
Heshima ya nchi ni tunu zake km Bendera, Wimbo wa Taifa na Rais. Kwa hivyo unapomkosoa Rais fanya hivyo kwa hoja na siyo kebehi na kubeza. Naamini hutopendezwa wanao wakikukosoa hadharani kwa lugha isiyo staha na mara nyingi kwa uwongo.

Chama cha Siasa cha Rais, CCM, hutumia vikao vyake kukosoana sana na kuwachukulia hatua wanachama wanaokiuka misingi na miiko ya uanachama.

Chama cha Siasa cha Rais, CCM, kimekuwa kiikosoa Serikali yake zaidi kuliko upinzani. Rejea alichokifanya Kinana na Nape, kabla ya uchaguzi.

Chama cha Siasa cha Rais, CCM, kilisikiliza kosoa ya vyama vya upinzani na kutengeneza ilani ya uchaguzi 2015 kutekeleza hoja hizo. Serikali iliyoko madarakani kwa 100% inatekeleza hayo.

UPINZANI HAUNA UBAVU WA KULETA AGENDA MPYA KWENYE ILANI YA UCUAGUZI YA CCM, usubili 2025, kama utakuwa bado hai.
Wewe nawe umechanganyikiwa ni wakuonewa huruma hujui sio Kila Raisi ni raisi wengine madikteta na wakiuka sheria sio WA kuchekewa Ni wakupingwa na kila mwananchi
 
Siyo kweli - Jibu hoja hizi:-
(i) Siku Lowassa amehamia kwenu mlipa fedha kiasi gani?
(ii) Siku Masha amehamia kwenu mlimlipa fedha kiasi kipi?
(iii) Siku Nyarandu amehamia kwenu mlimlipa nini?
(iv) Siku Kingunge amehamia kwenu mlimuahidi nini?
(v) Siku Sumaye amehamia kwenu aliahidiwa nini?
(vi) walihamia watu wengi wakitoka ccm - Je, hawa mnawalipa kitu au vitu gani? VILE MSIVYOWALIPA WATU WANAOHAMIA KWENU NDIVYO CCM KISIVYOWALIPA CHOCHOTE WAHAMAJI

Kivutio CCM:
(i) Uwezo wa CCM kusimamia utekelezaji wa miradi yenye tija kwa wananchi,
(ii) Uwezo wa CCM kuchukia na kuchukuwa hatua dhidi ya matukio ya kifisadi,
(iii) uwezo wa CCM kurudisha heshima ya uwajibikaji wa taasisi zake,
(iv) Uwezo wa CCM kuwa na mkakati wa kukuza ajira kupitia viwanda na kilimo,
(v) Uwezo wa CCM kutoa elimu bure (chekechea - sekondari) nknk
IMG-20180118-WA0033.jpg
IMG_20180118_095221_721.jpg
 
Kama ccm imechanganyikiwa, basi ukawa tena hasa chadema ndio watakuwa wamedata kabisaa!!
 
Huu ni zaidi ya utoto na ulemavu wa kukosa tafakuri... Haya yanayoendelea nchini nikiri wazi kuwa pamoja na kwamba kuna matukio ya kutisha ya kuwashambulia wapinzani kwa silaha za moto na silaha nyingine zenye kujeruhi na kusababisha ulemavu....

Lakini hili la kutumia ushawishi wa ahadi za mali pesa vyeo na ulinzi kwenye bishana ili watu warejee ccm ni uhuni na michezo ya kitoto kabisa

Tusijaribu kuwaiga Rwanda.... Ukubwa wa ile nchi ni sawa na mkoa mmoja wa Tanzania... Tusiige zile siasa kuna kuna mvutano wa makabila mawili... Siasa za pale zinahusika sana na ukabila
Tumeshashuhudia yaliyotokea kwenye uchaguzi wa madiwani hivi karibuni, watu wameumizwa sana.. Watu wamejeruhiwa sana, watu wamebambikiwa kesi sana... Hii ni ishara gani kwenye uchaguzi 2020?(kama utakuwepo lakini) tofauti ya hoja ndio tuumizane kiasi hiki? Vyombo vyetu vya usalama na tume ya uchaguzi vimevaa miwani ya mbao

Kama hii haitoshi pamoja na kufanya yale yote kwenye uchaguzi ule sasa ni mwendo wa kununua wapinzani... Naamini kuna kundi kubwa sana ndani ya ccm wanashangazwa na haya lakini hawana pa kusemea.. Hawa wanaonunuliwa wanaenda kutupwa huko... Ni uchoyo na ulafi wa aina yake... Ni sawa na kuwa na makabati ya nguo lakini bado unataka na za jirani....

Hawa wanaonunuliwa hawaendi kuonyesha vipawa vyao huko, wanaenda kuminywa na kufichwa ili mradi tu kukomoa kaliba fulani ya watu...

Hivi kipaumbele ni kuua upinzani? Ingekuwa mashindano yako hivyo kusingekuwa na kushindana basi... Tunapoteza muda mwingi kwenye siasa za kipuuzi kabisa.. Mwisho wa siku morali wa kujenga taifa unashuka kabisa.... ccm halisi wanabaki na kinyongo, ccm makinikia wanakuwa na hofu na kutojiamini.... Mwendo mpya wa kuwindana kusimangana na kuchomeana unaaza.... Ni aina gani hii ya siasa mnafanya?

Mtanunua wangapi? Mtawabana wangapi ili waombe Po na kujiunga nanyi? Kumbukeni kuna kura million 6 +, tena hizi mmezitamka nyie... Uhalisia ni kwamba zipo zaidi ya hapo tena kwa mbali sana....

Tunawakemea kwa sauti ya uzalendo hamjengi bali mnabomoa, hamtengenezi bali mnaharibu.. Hamuunganishi bali mnatenaganisha.... Huu ni uwendawazimu na kukosa tafakuri... Hivi mmesahau kuwa WAKATI SI MILELE?!?!??
Badala ya kuimarisha Hali ya kiuchumi ndiyo Kwanzaa una dorola
 
Lowasa Chadema alishawishiwa kwa kitu gani? Hivi treatment aliopewa Lowasa Chadema ni sawa Sumaye?, Sumaye amekua waziri Mkuu miaka kumi, lakini hata ujumbe wa kamati kuu amjampa, Lowasa amepewa wabunge wa viti maalum, Lakin Sumaye Kimya.. Sijui Sumaye anajisikiaje
 
Huu ni zaidi ya utoto na ulemavu wa kukosa tafakuri... Haya yanayoendelea nchini nikiri wazi kuwa pamoja na kwamba kuna matukio ya kutisha ya kuwashambulia wapinzani kwa silaha za moto na silaha nyingine zenye kujeruhi na kusababisha ulemavu....

Lakini hili la kutumia ushawishi wa ahadi za mali pesa vyeo na ulinzi kwenye bishana ili watu warejee ccm ni uhuni na michezo ya kitoto kabisa

Tusijaribu kuwaiga Rwanda.... Ukubwa wa ile nchi ni sawa na mkoa mmoja wa Tanzania... Tusiige zile siasa kuna kuna mvutano wa makabila mawili... Siasa za pale zinahusika sana na ukabila
Tumeshashuhudia yaliyotokea kwenye uchaguzi wa madiwani hivi karibuni, watu wameumizwa sana.. Watu wamejeruhiwa sana, watu wamebambikiwa kesi sana... Hii ni ishara gani kwenye uchaguzi 2020?(kama utakuwepo lakini) tofauti ya hoja ndio tuumizane kiasi hiki? Vyombo vyetu vya usalama na tume ya uchaguzi vimevaa miwani ya mbao

Kama hii haitoshi pamoja na kufanya yale yote kwenye uchaguzi ule sasa ni mwendo wa kununua wapinzani... Naamini kuna kundi kubwa sana ndani ya ccm wanashangazwa na haya lakini hawana pa kusemea.. Hawa wanaonunuliwa wanaenda kutupwa huko... Ni uchoyo na ulafi wa aina yake... Ni sawa na kuwa na makabati ya nguo lakini bado unataka na za jirani....

Hawa wanaonunuliwa hawaendi kuonyesha vipawa vyao huko, wanaenda kuminywa na kufichwa ili mradi tu kukomoa kaliba fulani ya watu...

Hivi kipaumbele ni kuua upinzani? Ingekuwa mashindano yako hivyo kusingekuwa na kushindana basi... Tunapoteza muda mwingi kwenye siasa za kipuuzi kabisa.. Mwisho wa siku morali wa kujenga taifa unashuka kabisa.... ccm halisi wanabaki na kinyongo, ccm makinikia wanakuwa na hofu na kutojiamini.... Mwendo mpya wa kuwindana kusimangana na kuchomeana unaaza.... Ni aina gani hii ya siasa mnafanya?

Mtanunua wangapi? Mtawabana wangapi ili waombe Po na kujiunga nanyi? Kumbukeni kuna kura million 6 +, tena hizi mmezitamka nyie... Uhalisia ni kwamba zipo zaidi ya hapo tena kwa mbali sana....

Tunawakemea kwa sauti ya uzalendo hamjengi bali mnabomoa, hamtengenezi bali mnaharibu.. Hamuunganishi bali mnatenaganisha.... Huu ni uwendawazimu na kukosa tafakuri... Hivi mmesahau kuwa WAKATI SI MILELE?!?!??
daah!!
 
Kukemea hili lazima tuwe watu wa sala, kufunga na kuomba wokovu wa Mungu kwani haya ni mapambano dhidi ya shetani kwani hata mbinu ni zile za kishetani kabisa kama maandiko yanavyosema.
 
Huu ni zaidi ya utoto na ulemavu wa kukosa tafakuri... Haya yanayoendelea nchini nikiri wazi kuwa pamoja na kwamba kuna matukio ya kutisha ya kuwashambulia wapinzani kwa silaha za moto na silaha nyingine zenye kujeruhi na kusababisha ulemavu....

Lakini hili la kutumia ushawishi wa ahadi za mali pesa vyeo na ulinzi kwenye bishana ili watu warejee ccm ni uhuni na michezo ya kitoto kabisa

Tusijaribu kuwaiga Rwanda.... Ukubwa wa ile nchi ni sawa na mkoa mmoja wa Tanzania... Tusiige zile siasa kuna kuna mvutano wa makabila mawili... Siasa za pale zinahusika sana na ukabila
Tumeshashuhudia yaliyotokea kwenye uchaguzi wa madiwani hivi karibuni, watu wameumizwa sana.. Watu wamejeruhiwa sana, watu wamebambikiwa kesi sana... Hii ni ishara gani kwenye uchaguzi 2020?(kama utakuwepo lakini) tofauti ya hoja ndio tuumizane kiasi hiki? Vyombo vyetu vya usalama na tume ya uchaguzi vimevaa miwani ya mbao

Kama hii haitoshi pamoja na kufanya yale yote kwenye uchaguzi ule sasa ni mwendo wa kununua wapinzani... Naamini kuna kundi kubwa sana ndani ya ccm wanashangazwa na haya lakini hawana pa kusemea.. Hawa wanaonunuliwa wanaenda kutupwa huko... Ni uchoyo na ulafi wa aina yake... Ni sawa na kuwa na makabati ya nguo lakini bado unataka na za jirani....

Hawa wanaonunuliwa hawaendi kuonyesha vipawa vyao huko, wanaenda kuminywa na kufichwa ili mradi tu kukomoa kaliba fulani ya watu...

Hivi kipaumbele ni kuua upinzani? Ingekuwa mashindano yako hivyo kusingekuwa na kushindana basi... Tunapoteza muda mwingi kwenye siasa za kipuuzi kabisa.. Mwisho wa siku morali wa kujenga taifa unashuka kabisa.... ccm halisi wanabaki na kinyongo, ccm makinikia wanakuwa na hofu na kutojiamini.... Mwendo mpya wa kuwindana kusimangana na kuchomeana unaaza.... Ni aina gani hii ya siasa mnafanya?

Mtanunua wangapi? Mtawabana wangapi ili waombe Po na kujiunga nanyi? Kumbukeni kuna kura million 6 +, tena hizi mmezitamka nyie... Uhalisia ni kwamba zipo zaidi ya hapo tena kwa mbali sana....

Tunawakemea kwa sauti ya uzalendo hamjengi bali mnabomoa, hamtengenezi bali mnaharibu.. Hamuunganishi bali mnatenaganisha.... Huu ni uwendawazimu na kukosa tafakuri... Hivi mmesahau kuwa WAKATI SI MILELE?!?!??
Maneno yaleyale,kauli zilezile, watu walewale, 5likes zilezile na ofisi ileile.

Je hapo nani kachanganyikiwa hapo kati ya CCM na chagadema?
 
Huu ni zaidi ya utoto na ulemavu wa kukosa tafakuri... Haya yanayoendelea nchini nikiri wazi kuwa pamoja na kwamba kuna matukio ya kutisha ya kuwashambulia wapinzani kwa silaha za moto na silaha nyingine zenye kujeruhi na kusababisha ulemavu....

Lakini hili la kutumia ushawishi wa ahadi za mali pesa vyeo na ulinzi kwenye bishana ili watu warejee ccm ni uhuni na michezo ya kitoto kabisa

Tusijaribu kuwaiga Rwanda.... Ukubwa wa ile nchi ni sawa na mkoa mmoja wa Tanzania... Tusiige zile siasa kuna kuna mvutano wa makabila mawili... Siasa za pale zinahusika sana na ukabila
Tumeshashuhudia yaliyotokea kwenye uchaguzi wa madiwani hivi karibuni, watu wameumizwa sana.. Watu wamejeruhiwa sana, watu wamebambikiwa kesi sana... Hii ni ishara gani kwenye uchaguzi 2020?(kama utakuwepo lakini) tofauti ya hoja ndio tuumizane kiasi hiki? Vyombo vyetu vya usalama na tume ya uchaguzi vimevaa miwani ya mbao

Kama hii haitoshi pamoja na kufanya yale yote kwenye uchaguzi ule sasa ni mwendo wa kununua wapinzani... Naamini kuna kundi kubwa sana ndani ya ccm wanashangazwa na haya lakini hawana pa kusemea.. Hawa wanaonunuliwa wanaenda kutupwa huko... Ni uchoyo na ulafi wa aina yake... Ni sawa na kuwa na makabati ya nguo lakini bado unataka na za jirani....

Hawa wanaonunuliwa hawaendi kuonyesha vipawa vyao huko, wanaenda kuminywa na kufichwa ili mradi tu kukomoa kaliba fulani ya watu...

Hivi kipaumbele ni kuua upinzani? Ingekuwa mashindano yako hivyo kusingekuwa na kushindana basi... Tunapoteza muda mwingi kwenye siasa za kipuuzi kabisa.. Mwisho wa siku morali wa kujenga taifa unashuka kabisa.... ccm halisi wanabaki na kinyongo, ccm makinikia wanakuwa na hofu na kutojiamini.... Mwendo mpya wa kuwindana kusimangana na kuchomeana unaaza.... Ni aina gani hii ya siasa mnafanya?

Mtanunua wangapi? Mtawabana wangapi ili waombe Po na kujiunga nanyi? Kumbukeni kuna kura million 6 +, tena hizi mmezitamka nyie... Uhalisia ni kwamba zipo zaidi ya hapo tena kwa mbali sana....

Tunawakemea kwa sauti ya uzalendo hamjengi bali mnabomoa, hamtengenezi bali mnaharibu.. Hamuunganishi bali mnatenaganisha.... Huu ni uwendawazimu na kukosa tafakuri... Hivi mmesahau kuwa WAKATI SI MILELE?!?!??
Maneno yaleyale,kauli zilezile, watu walewale, 5likes zilezile na ofisi ileile.

Je hapo nani kachanganyikiwa hapo kati ya CCM na chagadema?
 
Back
Top Bottom