CCM imechanganyikiwa?

Kutokufungwa mla rushwa mpk sasa haimaanishi hawatafungwa bado utawala una miaka miwili tu stay tuned.
 
Mkuu wame pagawa siyo wamechanganyikiwa kuchanganyikiwa wangetakiwa waokote makopo ajira ya jk kuchanganyikiwa ni hali ya mtu kuto kujuwa afanye nini ndio maana wana nunuwa wana siasa ndio kuchanganyikiwa huko ni sawa na wafa mfa maji haachi kutapa tapa !! atajishika ata na jani wakati halina uwezo wa kumsaidia kujiokoa!
 
Rudia kusoma ulichoandika then kanusha kuwa think tank wako siyo Bashite, hata kupanga hoja hujui????
 
Prove beyond reasonable doubt kuwa wananunuliwa toa porojo hapa za kuja na flash disk


Toeni boriti ndio mpambane na Magu otherwise mwafwaa
 
KUMBE WAPINZANI MNANUNULIKA!!!
Kwa hiyo mkiiongoza nchi na mkapewa pesa ya kutosha mtaiuza nchi!!!

Mengine ni aibu kuyasema. Kama mnanunulika ni aibu hivyo ficheni hiyo aibu kwa kutosema.
 
Mnajidhalilisha watu gani mnanunilika kama Karanga? Tukiwapa nchi mtauza nyie siyo bure.
 
Prove beyond reasonable doubt kuwa wananunuliwa toa porojo hapa za kuja na flash disk


Toeni boriti ndio mpambane na Magu otherwise mwafwaa
Naona mmeitwa kujibu hoja... Jibuni kwa weledi basi sio mipasho... Kumbukeni anasoma
 
Angalien Tbc Mjadala Ulioko Rais Aongezewe Miaka Iwe 20 Au 28 , Tuombe Kwa Ajiri Ya Nchi Yetu
 
Tuhuma ni zile zilizothibitishwa na kufikishwa mahakamani pekee hizo za vijiweni sio tuhuma rasmi kifupi mnyeti hana tuhuma official zaidi ya tetesi na fununu ambazo wanasiasa wengi wanazo akiwemo magufuli mwenyewe.

Kwa haya maelezo yako ndio maana nakuambia hakuna vita vya rushwa nchi hii.
 
Kutokufungwa mla rushwa mpk sasa haimaanishi hawatafungwa bado utawala una miaka miwili tu stay tuned.

Hilo hutokaa ulione, ikifika 2020 mwezi marchi watapandishwa watu kizimbani kisha ikifika wakati wa kampeni itumike kama kick kwamba kuna kupambana na rushwa. Lakini wenye mtazamo wa mbali tunajua ni kiini macho.
 
KUMBE WAPINZANI MNANUNULIKA!!!
Kwa hiyo mkiiongoza nchi na mkapewa pesa ya kutosha mtaiuza nchi!!!

Mengine ni aibu kuyasema. Kama mnanunulika ni aibu hivyo ficheni hiyo aibu kwa kutosema.

Huna hoja wewe, nchi iuzwe mara ngapi? Kuna mikataba 16 aliingia JK na wachina muda mfupi kabla ya kutoka madarakani. Unajua mikataba ile ilisema nini?
 
Kwa haya maelezo yako ndio maana nakuambia hakuna vita vya rushwa nchi hii.
Hamna kwa mtazamo wako lkn takwimu zinaonyesha rushwa imepungua na watumishi wengi wa kada za chini wanafungwa kila kukicha lkn kesi nyingi ziko mahakamani katika stages tofauti.
 
Hilo hutokaa ulione, ikifika 2020 mwezi marchi watapandishwa watu kizimbani kisha ikifika wakati wa kampeni itumike kama kick kwamba kuna kupambana na rushwa. Lakini wenye mtazamo wa mbali tunajua ni kiini macho.
Endelea kutabiri kazi inachapwa na wengi wamefungwa.
 
Hamna kwa mtazamo wako lkn takwimu zinaonyesha rushwa imepungua na watumishi wengi wa kada za chini wanafungwa kila kukicha lkn kesi nyingi ziko mahakamani katika stages tofauti.

Hizo takwimu za kuonyesha rushwa zinapungua ziko toka enzi na enzi, na hao watumishi wa kada za chini wamekuwa wakifungwa kwa rushwa mara zote. Angalia taarifa za enzi za JK utaona kupungua kwa rushwa na watu kufungwa. Simply hakuna jipya. Narudia tena huu utetezi wako unaotoa hapa ni kama unachekesha walionuna.
 
Ww sio mzalendo kabisa
 
Unataka iishe kabisa? Inawezekana lkn ni ngumu sana kwa sab mpk sasa hakuna nchi iliyoweza kumaliza rushwa duniani tunapishana viwango tu. Wewe subiri mnyeti akamatwe kwani ndio kipimo chako pekee cha kupambana na rushwa nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…