CCM imebaki kuwa kapu la magenge hatari

CCM imebaki kuwa kapu la magenge hatari

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,527
Reaction score
830,085
Magenge ya vita vya madaraka
Magenge ya kazi chafu
Magenge ya kuteka
Magenge ya kuua
Magenge ya kutakatisha pesa
Magenge ya kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika
Magenge ya upigaji pesa kwenye miradi ya kubuni nknk

Hii sio tena ile ccm ya wakulima na wafanyakazi..
Hii sio tena ile ccm ya ujamaa na kujitegemea
Hii ni ccm mateka wa hayo makundi tajwa hapo juu

Makundi haya hayajaota kaka uyoga bali yana asili ya 2005 kuelekea 2010 .. Pale walipoanza kujitokeza watu waliounda mitandao ya kusimika watu wao ilk baadae waje wawafae kwenye nafasi za juu za uongozi
Vikundi hivyo viliendelea kuimarika kimtandao na baadae kuingia hatua nuhimu ya kujiimarisha kiuchumi kupitia pesa haramu za rushwa, 10% mauzo ya rasilimali nknk

Makundi haya hubadilika kama vinyonga kulingana na upepo wa madaraka ya kisiasa.. Mwaka 2015- 2020... Yalijificha kama kirusi cha ukimwi na kufanikiwa kujipenyeza na kumzunguka aliyeshika kijiti kipindi hicho...

Hapo walimfundisha mbinu za kujiimarisha kiuchumi... Kuwa na mtandao wa kutoa taarifa na kuwa na mtandao wa kuwamaliza wote waliinokena tishio
Baada ya mabadiliko kwa kudra za Mola, makundi hayo yakajivua gamba na kuanza kutenda kwa uwazi bila woga bila hofu bila fadhaa!
Hapa tulipo ccm imefikishwa kwenye kilele cha umafia.. Ni mwendo wa kuwindana na kutegeana... Anayenaswa/sa anagugumia kimya kisha wenzake wanajipanga upya kulipa kisasi
Nimemaliza
8a7d5eec7da5f91fa8c452718d47e5b3.jpg
 
Magenge ya vita vya madaraka
Magenge ya kazi chafu
Magenge ya kuteka
Magenge ya kuua
Magenge ya kutakatisha pesa
Magenge ya kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika
Magenge ya upigaji pesa kwenye miradi ya kubuni nknk

Hii sio tena ile ccm ya wakulima na wafanyakazi..
Hii sio tena ile ccm ya ujamaa na kujitegemea
Hii ni ccm mateka wa hayo makundi tajwa hapo juu

Makundi haya hayajaota kaka uyoga bali yana asili ya 2005 kuelekea 2010 .. Pale walipoanza kujitokeza watu waliounda mitandao ya kusimika watu wao ilk baadae waje wawafae kwenye nafasi za juu za uongozi
Vikundi hivyo viliendelea kuimarika kimtandao na baadae kuingia hatua nuhimu ya kujiimarisha kiuchumi kupitia pesa haramu za rushwa, 10% mauzo ya rasilimali nknk

Makundi haya hubadilika kama vinyonga kulingana na upepo wa madaraka ya kisiasa.. Mwaka 2015- 2020... Yalijificha kama kirusi cha ukimwi na kufanikiwa kujipenyeza na kumzunguka aliyeshika kijiti kipindi hicho...

Hapo walimfundisha mbinu za kujiimarisha kiuchumi... Kuwa na mtandao wa kutoa taarifa na kuwa na mtandao wa kuwamaliza wote waliinokena tishio
Baada ya mabadiliko kwa kudra za Mola, makundi hayo yakajivua gamba na kuanza kutenda kwa uwazi bila woga bila hofu bila fadhaa!
Hapa tulipo ccm imefikishwa kwenye kilele cha umafia.. Ni mwendo wa kuwindana na kutegeana... Anayenaswa/sa anagugumia kimya kisha wenzake wanajipanga upya kulipa kisasi
Nimemaliza
Yaani Mungu mwache aitwe Mungu,Shida ni kifo hakina chaguzi la kundi humpata yoyote!
 
Magenge ya vita vya madaraka
Magenge ya kazi chafu
Magenge ya kuteka
Magenge ya kuua
Magenge ya kutakatisha pesa
Magenge ya kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika
Magenge ya upigaji pesa kwenye miradi ya kubuni nknk

Hii sio tena ile ccm ya wakulima na wafanyakazi..
Hii sio tena ile ccm ya ujamaa na kujitegemea
Hii ni ccm mateka wa hayo makundi tajwa hapo juu

Makundi haya hayajaota kaka uyoga bali yana asili ya 2005 kuelekea 2010 .. Pale walipoanza kujitokeza watu waliounda mitandao ya kusimika watu wao ilk baadae waje wawafae kwenye nafasi za juu za uongozi
Vikundi hivyo viliendelea kuimarika kimtandao na baadae kuingia hatua nuhimu ya kujiimarisha kiuchumi kupitia pesa haramu za rushwa, 10% mauzo ya rasilimali nknk

Makundi haya hubadilika kama vinyonga kulingana na upepo wa madaraka ya kisiasa.. Mwaka 2015- 2020... Yalijificha kama kirusi cha ukimwi na kufanikiwa kujipenyeza na kumzunguka aliyeshika kijiti kipindi hicho...

Hapo walimfundisha mbinu za kujiimarisha kiuchumi... Kuwa na mtandao wa kutoa taarifa na kuwa na mtandao wa kuwamaliza wote waliinokena tishio
Baada ya mabadiliko kwa kudra za Mola, makundi hayo yakajivua gamba na kuanza kutenda kwa uwazi bila woga bila hofu bila fadhaa!
Hapa tulipo ccm imefikishwa kwenye kilele cha umafia.. Ni mwendo wa kuwindana na kutegeana... Anayenaswa/sa anagugumia kimya kisha wenzake wanajipanga upya kulipa kisasi
Nimemaliza
CCM is a cartel of politics......In the context of politics, the term "cartels" typically refers to groups or networks of individuals, often within a political system or government, who collude to manipulate power and resources for their mutual benefit, sometimes at the expense of the public good. This can involve various forms of corruption, like bribery, embezzlement, or rigging elections. johnthebaptist

1753602140281.jpeg
 
CCM is a cartel of politics......In the context of politics, the term "cartels" typically refers to groups or networks of individuals, often within a political system or government, who collude to manipulate power and resources for their mutual benefit, sometimes at the expense of the public good. This can involve various forms of corruption, like bribery, embezzlement, or rigging elections. johnthebaptist
Jo hajui kiingereza brother😂😂😂
 
Mwanachadema anateseka na mambo ya CCM 😂
 
Magenge ya vita vya madaraka
Magenge ya kazi chafu
Magenge ya kuteka
Magenge ya kuua
Magenge ya kutakatisha pesa
Magenge ya kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika
Magenge ya upigaji pesa kwenye miradi ya kubuni nknk

Hii sio tena ile ccm ya wakulima na wafanyakazi..
Hii sio tena ile ccm ya ujamaa na kujitegemea
Hii ni ccm mateka wa hayo makundi tajwa hapo juu

Makundi haya hayajaota kaka uyoga bali yana asili ya 2005 kuelekea 2010 .. Pale walipoanza kujitokeza watu waliounda mitandao ya kusimika watu wao ilk baadae waje wawafae kwenye nafasi za juu za uongozi
Vikundi hivyo viliendelea kuimarika kimtandao na baadae kuingia hatua nuhimu ya kujiimarisha kiuchumi kupitia pesa haramu za rushwa, 10% mauzo ya rasilimali nknk

Makundi haya hubadilika kama vinyonga kulingana na upepo wa madaraka ya kisiasa.. Mwaka 2015- 2020... Yalijificha kama kirusi cha ukimwi na kufanikiwa kujipenyeza na kumzunguka aliyeshika kijiti kipindi hicho...

Hapo walimfundisha mbinu za kujiimarisha kiuchumi... Kuwa na mtandao wa kutoa taarifa na kuwa na mtandao wa kuwamaliza wote waliinokena tishio
Baada ya mabadiliko kwa kudra za Mola, makundi hayo yakajivua gamba na kuanza kutenda kwa uwazi bila woga bila hofu bila fadhaa!
Hapa tulipo ccm imefikishwa kwenye kilele cha umafia.. Ni mwendo wa kuwindana na kutegeana... Anayenaswa/sa anagugumia kimya kisha wenzake wanajipanga upya kulipa kisasi
Nimemaliza
 
Imagine kwenye hii miradi ya kutunga wamepiga bei ganiView attachment 3420273
 
CCM is a cartel of politics......In the context of politics, the term "cartels" typically refers to groups or networks of individuals, often within a political system or government, who collude to manipulate power and resources for their mutual benefit, sometimes at the expense of the public good. This can involve various forms of corruption, like bribery, embezzlement, or rigging elections. johnthebaptist

View attachment 3420271
🥺🥺🥺🥺🙌🏿🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Back
Top Bottom