johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,537
Ngoja nipate mbege pale kwa mama Urio Goba nitaandika 😂😂Andika hiyo sentence kwa kiingereza bila msaada wa google
Ngoja nipate mbege pale kwa mama Urio Goba nitaandika 😂😂Andika hiyo sentence kwa kiingereza bila msaada wa google
Watu washamuambia aondoe hofu hakuna atakayempora hisa zake kwenye zaidi ya makampuni 50 aliyowapa waarabu wawe maboyaAna microfinance pale kilimani ndio hofu yake kubwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwanachadema anateseka na mambo ya CCM 😂
KakamaMwanachadema anateseka na mambo ya CCM 😂
Kama msajili anavyoteseka na mbo ya chadema huku akijivisha joho la ccm.???Mwanachadema anateseka na mambo ya CCM 😂
Kwisha habari yako umeshakata tamaa.Magenge ya vita vya madaraka
Magenge ya kazi chafu
Magenge ya kuteka
Magenge ya kuua
Magenge ya kutakatisha pesa
Magenge ya kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika
Magenge ya upigaji pesa kwenye miradi ya kubuni nknk
Hii sio tena ile ccm ya wakulima na wafanyakazi..
Hii sio tena ile ccm ya ujamaa na kujitegemea
Hii ni ccm mateka wa hayo makundi tajwa hapo juu
Makundi haya hayajaota kaka uyoga bali yana asili ya 2005 kuelekea 2010 .. Pale walipoanza kujitokeza watu waliounda mitandao ya kusimika watu wao ilk baadae waje wawafae kwenye nafasi za juu za uongozi
Vikundi hivyo viliendelea kuimarika kimtandao na baadae kuingia hatua nuhimu ya kujiimarisha kiuchumi kupitia pesa haramu za rushwa, 10% mauzo ya rasilimali nknk
Makundi haya hubadilika kama vinyonga kulingana na upepo wa madaraka ya kisiasa.. Mwaka 2015- 2020... Yalijificha kama kirusi cha ukimwi na kufanikiwa kujipenyeza na kumzunguka aliyeshika kijiti kipindi hicho...
Hapo walimfundisha mbinu za kujiimarisha kiuchumi... Kuwa na mtandao wa kutoa taarifa na kuwa na mtandao wa kuwamaliza wote waliinokena tishio
Baada ya mabadiliko kwa kudra za Mola, makundi hayo yakajivua gamba na kuanza kutenda kwa uwazi bila woga bila hofu bila fadhaa!
Hapa tulipo ccm imefikishwa kwenye kilele cha umafia.. Ni mwendo wa kuwindana na kutegeana... Anayenaswa/sa anagugumia kimya kisha wenzake wanajipanga upya kulipa kisasi
NimemalizaView attachment 3420301
KIONGOZI wa uovu wote huo Kikwete.Magenge ya vita vya madaraka
Magenge ya kazi chafu
Magenge ya kuteka
Magenge ya kuua
Magenge ya kutakatisha pesa
Magenge ya kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika
Magenge ya upigaji pesa kwenye miradi ya kubuni nknk
Hii sio tena ile ccm ya wakulima na wafanyakazi..
Hii sio tena ile ccm ya ujamaa na kujitegemea
Hii ni ccm mateka wa hayo makundi tajwa hapo juu
Makundi haya hayajaota kaka uyoga bali yana asili ya 2005 kuelekea 2010 .. Pale walipoanza kujitokeza watu waliounda mitandao ya kusimika watu wao ilk baadae waje wawafae kwenye nafasi za juu za uongozi
Vikundi hivyo viliendelea kuimarika kimtandao na baadae kuingia hatua nuhimu ya kujiimarisha kiuchumi kupitia pesa haramu za rushwa, 10% mauzo ya rasilimali nknk
Makundi haya hubadilika kama vinyonga kulingana na upepo wa madaraka ya kisiasa.. Mwaka 2015- 2020... Yalijificha kama kirusi cha ukimwi na kufanikiwa kujipenyeza na kumzunguka aliyeshika kijiti kipindi hicho...
Hapo walimfundisha mbinu za kujiimarisha kiuchumi... Kuwa na mtandao wa kutoa taarifa na kuwa na mtandao wa kuwamaliza wote waliinokena tishio
Baada ya mabadiliko kwa kudra za Mola, makundi hayo yakajivua gamba na kuanza kutenda kwa uwazi bila woga bila hofu bila fadhaa!
Hapa tulipo ccm imefikishwa kwenye kilele cha umafia.. Ni mwendo wa kuwindana na kutegeana... Anayenaswa/sa anagugumia kimya kisha wenzake wanajipanga upya kulipa kisasi
NimemalizaView attachment 3420301
Mimi ni ccm tangu enzi za Mwalimu. Ila kwa hii ccm ya sasa, niseme tu ukweli imetekwa na wahuni, wauza madawa ya kukevya, majangili, majambazi, wapiga dili haramu, wabadhirifu, mafisadi, na kila aina ya waovu.
Sidhani kama wafanyakazi na wakulima wa nchi hii wanatambua kama hiyo ccm ilianzishwa kwa ajili kuwafunga kuwa mhimili wa chama, badala ya hilo genge la wahuni.
Pasipo na kipawa cha Roho Mtakatifu, ni muhimu kuwa na macho ya kiroho ili uweze kuwatambua.
Duh🥺🥺🥺🥺Jana nimepigiwa simu nikachukue kitambulisho cha uanachana CCM, nikaenda. Cha ajabu ni kuwa picha waliyoiweka ni ya mwaka 2021 na niliyotumia kujaza form kwenye taasisi fulani. Na wamesaini wao wenyewe. Sahihi waliyoweka wameshindwa kuinakili kama ilivyo yangu.
Umeniumiza sana kuona taarifa zangu zinatumiwa bila bila idhini yangu na kwa ulazima.