Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,755
Umofia kwenu ...
Tukianza na Lolliondo ambapo UAE wameshapamiliki na panasomeka ni eneo lao..... Wamasai wamelazimishwa kuondoshwa kwa nguvu na kisiasa
Songosongo ilitumika kuokoa maisha ya prince. Sasa tunapangiwa mpaka bei ya gesi
Vitalu vya uwindaji vimegeuzwa arena za kutorosha wanyama na maliasili zetu
Bandari ndo hiyooo imeshatua mikononi mwa Dubai huku tukipigishwa kwata la mkataba wa Double Penentration Wocka.
Juzi hapa DG wa NHC ametoa kusudio la serikali kubadilisha sera na sheria ya ardhi ili kuruhusu wageni under kivuli cha wawekezaji kumilikishwa ardhi......
Nini kilichosalia zaidi ya kuuza nchi?
Wananchi wenzangu, tukatae haya yanayoonesha dalili za wazi ama taathira zake za kuuzwa kwa nchi yetu.
Mwaka 2024 na 2025 tufanye maamuzi magumu ili kuokoa kizazi kijacho ambacho watakosa kila kitu kwa uroho wa CCM.
Tatizo siyo viongozi,
Tatizo ni CCM ambapo wema wsmezidiwa na majizi na wauaji
Tukianza na Lolliondo ambapo UAE wameshapamiliki na panasomeka ni eneo lao..... Wamasai wamelazimishwa kuondoshwa kwa nguvu na kisiasa
Songosongo ilitumika kuokoa maisha ya prince. Sasa tunapangiwa mpaka bei ya gesi
Vitalu vya uwindaji vimegeuzwa arena za kutorosha wanyama na maliasili zetu
Bandari ndo hiyooo imeshatua mikononi mwa Dubai huku tukipigishwa kwata la mkataba wa Double Penentration Wocka.
Juzi hapa DG wa NHC ametoa kusudio la serikali kubadilisha sera na sheria ya ardhi ili kuruhusu wageni under kivuli cha wawekezaji kumilikishwa ardhi......
Nini kilichosalia zaidi ya kuuza nchi?
Wananchi wenzangu, tukatae haya yanayoonesha dalili za wazi ama taathira zake za kuuzwa kwa nchi yetu.
Mwaka 2024 na 2025 tufanye maamuzi magumu ili kuokoa kizazi kijacho ambacho watakosa kila kitu kwa uroho wa CCM.
Tatizo siyo viongozi,
Tatizo ni CCM ambapo wema wsmezidiwa na majizi na wauaji