Wakati wa mfumo wa chama kimoja waakati wa chama kushika hatamu, ccm ilitumia pesa za uma kujengea majengo mbalimbali pamoja na viwanja vya michezo na kujifungulia miladi.
Niwakati ambao mwenge wa uhuru ulikuwa mali ya chama, nakumbuka vijana wa ccm ndiyo walikuwa wakimbizaji wakuu lakini kwa kutumia pesa zetu.
Wakati tunaelekea kwenye mfumo wa vyama vingi wakaona mwenge utakuwa mzigo kwao walichofanya nikuamishia serikalini iliuendelee kutumia pesa zetu lakini viwanja na majengo waliojenga kwa pesa zetu wamefanya maliyao.
Watanzania tuzinduke tuwaludishie mwenge wao tudai mali zetu .
Niwakati ambao mwenge wa uhuru ulikuwa mali ya chama, nakumbuka vijana wa ccm ndiyo walikuwa wakimbizaji wakuu lakini kwa kutumia pesa zetu.
Wakati tunaelekea kwenye mfumo wa vyama vingi wakaona mwenge utakuwa mzigo kwao walichofanya nikuamishia serikalini iliuendelee kutumia pesa zetu lakini viwanja na majengo waliojenga kwa pesa zetu wamefanya maliyao.
Watanzania tuzinduke tuwaludishie mwenge wao tudai mali zetu .