mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Napendekeza CCM ifutwe kama Tunisia walivyofuta chama tawala kwa sababu zifuatazo
1. CCM Imetawala miaka karibu 50, watu wale wale kina Msekwa, kingungwe, makamba, mwinyi, etc. Hawana mawazo mapya.
2. Ni matandao wa wanamslahi.Viongozi wao hawana utaifa, wajilimbikizia mali na kutunga sheria za kuwalinda
3. Inasimamia wizi wa raslimali za nchi na wageni
4. Haina huruma na shida na taabu za Mtanzania wa kawaida
5. Imejaa wezi ambao ni wakwepa kodi wakubwa
6.Ina upendeleo wa kidini, na inaendelea zaidi kujimarisha kidini (uislamu)
7. Inatumia dola kukandamiza demokrasia ya kweli
8. Imeshindwa kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania, maisha bora yamebaki kwa viongozi wake na familia zao
9.Inatunga sheria kandamizi, ili iweze kutawala milele kwa upanga
10. Haipendi kukosolewa, especially, kujulikana wizi wao
11. Nafasi wanapeana kwa kujua na upendeleo, na kukifanya chama cha ubaguzi wa kidini
12. Adui wao ni yule anayewaambia ukweli. Ukweli kwao ni sumu. Uongo kwao ni Mtaji, ndo maaana wanatumia sana vyombo vya habari vya serikali na vya kiislam kueneza propaganda za uzushi na uongo, kuwadanganya watanzania
etc
Bila CCM kufutwa hakuna maendeleo Tanzania. Tutaendelea kunyonywa, kuteswa, na kudharauliwa duniani kote. Umaskini utaongezeka kila siku wakati viongozi wetu wanakua matajiri wakubwa.
Mungu Inusuru Tanzania
1. CCM Imetawala miaka karibu 50, watu wale wale kina Msekwa, kingungwe, makamba, mwinyi, etc. Hawana mawazo mapya.
2. Ni matandao wa wanamslahi.Viongozi wao hawana utaifa, wajilimbikizia mali na kutunga sheria za kuwalinda
3. Inasimamia wizi wa raslimali za nchi na wageni
4. Haina huruma na shida na taabu za Mtanzania wa kawaida
5. Imejaa wezi ambao ni wakwepa kodi wakubwa
6.Ina upendeleo wa kidini, na inaendelea zaidi kujimarisha kidini (uislamu)
7. Inatumia dola kukandamiza demokrasia ya kweli
8. Imeshindwa kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania, maisha bora yamebaki kwa viongozi wake na familia zao
9.Inatunga sheria kandamizi, ili iweze kutawala milele kwa upanga
10. Haipendi kukosolewa, especially, kujulikana wizi wao
11. Nafasi wanapeana kwa kujua na upendeleo, na kukifanya chama cha ubaguzi wa kidini
12. Adui wao ni yule anayewaambia ukweli. Ukweli kwao ni sumu. Uongo kwao ni Mtaji, ndo maaana wanatumia sana vyombo vya habari vya serikali na vya kiislam kueneza propaganda za uzushi na uongo, kuwadanganya watanzania
etc
Bila CCM kufutwa hakuna maendeleo Tanzania. Tutaendelea kunyonywa, kuteswa, na kudharauliwa duniani kote. Umaskini utaongezeka kila siku wakati viongozi wetu wanakua matajiri wakubwa.
Mungu Inusuru Tanzania