CCM ifutwe:Amani ya Tanzania inaharibiwa na CCM ya mafisadi na uroho wa madaraka

mabadilikosasa

JF-Expert Member
Dec 23, 2010
379
85
Napendekeza CCM ifutwe kama Tunisia walivyofuta chama tawala kwa sababu zifuatazo
1. CCM Imetawala miaka karibu 50, watu wale wale kina Msekwa, kingungwe, makamba, mwinyi, etc. Hawana mawazo mapya.
2. Ni matandao wa wanamslahi.Viongozi wao hawana utaifa, wajilimbikizia mali na kutunga sheria za kuwalinda
3. Inasimamia wizi wa raslimali za nchi na wageni
4. Haina huruma na shida na taabu za Mtanzania wa kawaida
5. Imejaa wezi ambao ni wakwepa kodi wakubwa
6.Ina upendeleo wa kidini, na inaendelea zaidi kujimarisha kidini (uislamu)
7. Inatumia dola kukandamiza demokrasia ya kweli
8. Imeshindwa kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania, maisha bora yamebaki kwa viongozi wake na familia zao
9.Inatunga sheria kandamizi, ili iweze kutawala milele kwa upanga
10. Haipendi kukosolewa, especially, kujulikana wizi wao
11. Nafasi wanapeana kwa kujua na upendeleo, na kukifanya chama cha ubaguzi wa kidini
12. Adui wao ni yule anayewaambia ukweli. Ukweli kwao ni sumu. Uongo kwao ni Mtaji, ndo maaana wanatumia sana vyombo vya habari vya serikali na vya kiislam kueneza propaganda za uzushi na uongo, kuwadanganya watanzania
etc


Bila CCM kufutwa hakuna maendeleo Tanzania. Tutaendelea kunyonywa, kuteswa, na kudharauliwa duniani kote. Umaskini utaongezeka kila siku wakati viongozi wetu wanakua matajiri wakubwa.

Mungu Inusuru Tanzania
 
Napendekeza CCM ifutwe kama Tunisia walivyofuta chama tawala kwa sababu zifuatazo
1. CCM Imetawala miaka karibu 50, watu wale wale kina Msekwa, kingungwe, makamba, mwinyi, etc. Hawana mawazo mapya.
2. Ni matandao wa wanamslahi.Viongozi wao hawana utaifa, wajilimbikizia mali na kutunga sheria za kuwalinda
3. Inasimamia wizi wa raslimali za nchi na wageni
4. Haina huruma na shida na taabu za Mtanzania wa kawaida
5. Imejaa wezi ambao ni wakwepa kodi wakubwa
6.Ina upendeleo wa kidini, na inaendelea zaidi kujimarisha kidini (uislamu)
7. Inatumia dola kukandamiza demokrasia ya kweli
8. Imeshindwa kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania, maisha bora yamebaki kwa viongozi wake na familia zao
9.Inatunga sheria kandamizi, ili iweze kutawala milele kwa upanga
10. Haipendi kukosolewa, especially, kujulikana wizi wao
11. Nafasi wanapeana kwa kujua na upendeleo, na kukifanya chama cha ubaguzi wa kidini
12. Adui wao ni yule anayewaambia ukweli. Ukweli kwao ni sumu. Uongo kwao ni Mtaji, ndo maaana wanatumia sana vyombo vya habari vya serikali na vya kiislam kueneza propaganda za uzushi na uongo, kuwadanganya watanzania
etc


Bila CCM kufutwa hakuna maendeleo Tanzania. Tutaendelea kunyonywa, kuteswa, na kudharauliwa duniani kote. Umaskini utaongezeka kila siku wakati viongozi wetu wanakua matajiri wakubwa.

Mungu Inusuru Tanzania

mkuu una akili mingi sana.
 
Napendekeza CCM ifutwe kama Tunisia walivyofuta chama tawala kwa sababu zifuatazo
1. CCM Imetawala miaka karibu 50, watu wale wale kina Msekwa, kingungwe, makamba, mwinyi, etc. Hawana mawazo mapya.
2. Ni matandao wa wanamslahi.Viongozi wao hawana utaifa, wajilimbikizia mali na kutunga sheria za kuwalinda
3. Inasimamia wizi wa raslimali za nchi na wageni
4. Haina huruma na shida na taabu za Mtanzania wa kawaida
5. Imejaa wezi ambao ni wakwepa kodi wakubwa
6.Ina upendeleo wa kidini, na inaendelea zaidi kujimarisha kidini (uislamu)
7. Inatumia dola kukandamiza demokrasia ya kweli
8. Imeshindwa kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania, maisha bora yamebaki kwa viongozi wake na familia zao
9.Inatunga sheria kandamizi, ili iweze kutawala milele kwa upanga
10. Haipendi kukosolewa, especially, kujulikana wizi wao
11. Nafasi wanapeana kwa kujua na upendeleo, na kukifanya chama cha ubaguzi wa kidini
12. Adui wao ni yule anayewaambia ukweli. Ukweli kwao ni sumu. Uongo kwao ni Mtaji, ndo maaana wanatumia sana vyombo vya habari vya serikali na vya kiislam kueneza propaganda za uzushi na uongo, kuwadanganya watanzania
etc


Bila CCM kufutwa hakuna maendeleo Tanzania. Tutaendelea kunyonywa, kuteswa, na kudharauliwa duniani kote. Umaskini utaongezeka kila siku wakati viongozi wetu wanakua matajiri wakubwa.

Mungu Inusuru Tanzania


mi huwa nafananisha ccm na toilet paper.
 
Mi nadhani kisifutwe naombea tu tume huru(isiyochakachua na kuchakachuliwa) ya uchaguzi ambayo itatangaza matokeo ya haki na CCM wawe wapinzani. Kwani ni vizuri kumwombea adui aishi maisha marefu....
 
Napendekeza CCM ifutwe kama Tunisia walivyofuta chama tawala kwa sababu zifuatazo
1. CCM Imetawala miaka karibu 50, watu wale wale kina Msekwa, kingungwe, makamba, mwinyi, etc. Hawana mawazo mapya.
2. Ni matandao wa wanamslahi.Viongozi wao hawana utaifa, wajilimbikizia mali na kutunga sheria za kuwalinda
3. Inasimamia wizi wa raslimali za nchi na wageni
4. Haina huruma na shida na taabu za Mtanzania wa kawaida
5. Imejaa wezi ambao ni wakwepa kodi wakubwa
6.Ina upendeleo wa kidini, na inaendelea zaidi kujimarisha kidini (uislamu)
7. Inatumia dola kukandamiza demokrasia ya kweli
8. Imeshindwa kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania, maisha bora yamebaki kwa viongozi wake na familia zao
9.Inatunga sheria kandamizi, ili iweze kutawala milele kwa upanga
10. Haipendi kukosolewa, especially, kujulikana wizi wao
11. Nafasi wanapeana kwa kujua na upendeleo, na kukifanya chama cha ubaguzi wa kidini
12. Adui wao ni yule anayewaambia ukweli. Ukweli kwao ni sumu. Uongo kwao ni Mtaji, ndo maaana wanatumia sana vyombo vya habari vya serikali na vya kiislam kueneza propaganda za uzushi na uongo, kuwadanganya watanzania
etc


Bila CCM kufutwa hakuna maendeleo Tanzania. Tutaendelea kunyonywa, kuteswa, na kudharauliwa duniani kote. Umaskini utaongezeka kila siku wakati viongozi wetu wanakua matajiri wakubwa.

Mungu Inusuru Tanzania

Nilishasema siku mingi kuwa hii ccm sio chama bali ni genge la wahuni na majambazi yanayoiba kodi za watanzania. Hili genge linatumia ccm ilikujinufaisha wao. CCM ifutwe na Wakina Kikwete na majambazi wenzake wakamatwe na kusekwa ndani.
 
Wazo zuri ila pana kazi ya ziada kwani watu wengi walioko ccm wanaishi kwa uizi wa mali ya umma na pia hawana qualification za kutosha kusurvive kwenye huu uchumi huria. Kwa kifupi wanaishi kwa kubebana wengi ni vilaza na bila ccm hawataweza kucompete katika soko huria katika kuuza fani zao na mwishowe wengi watakufa njaa mtaani. CCM ndio maduka yao, ndio certificate zao na ndio uhai wao. CCM haiwezi kuachia madaraka kwa hizi soft solutions tunazotumia za kuandika hisia zetu kwenye blogs, forums na kuficha identity zetu. Strategy tunayotumia na huu uwoga wetu na kuamini kuwa tutawatoa ccm kwa balot box uko very pessmestic tukumbuke kuwa nchi nyingi za Africa kuna tofauti kubwa kati ya kushinda uchaguzi kwenye balot box na kitendo cha kutangazwa mshindi. Kitendo cha kutangazwa mshindi ndio crucial kuliko hata hizo ballot box. Na kwenye kutangazwa mshindi hapo ccm ndio wameshika na kuweka watu wao. Tunakubali kujitoa mhanga njia ya kuing'oa ccm si rahisi kama inavyofikiriwa
 
Wazo zuri ila pana kazi ya ziada kwani watu wengi walioko ccm wanaishi kwa uizi wa mali ya umma na pia hawana qualification za kutosha kusurvive kwenye huu uchumi huria. Kwa kifupi wanaishi kwa kubebana wengi ni vilaza na bila ccm hawataweza kucompete katika soko huria katika kuuza fani zao na mwishowe wengi watakufa njaa mtaani. CCM ndio maduka yao, ndio certificate zao na ndio uhai wao. CCM haiwezi kuachia madaraka kwa hizi soft solutions tunazotumia za kuandika hisia zetu kwenye blogs, forums na kuficha identity zetu. Kitendo cha kutangazwa mshindi ndio crucial kuliko hata hizo ballot box. Na kwenye kutangazwa mshindi hapo ccm ndio wameshika na kuweka watu wao. Tunakubali kujitoa mhanga njia ya kuing'oa ccm si rahisi kama inavyofikiriwa
Mkuu.
Umeshaisahau ile theory yako ya mataifa yenye nguvu imetoa kazi kwa CCM kuidhibiti Zanzibar.
Kama bado unaamini katika hili vipi unategemea CCM itaondoka madarakani au haya mataifa yanayotoa maagizo kwa serikali ya TZ wameshapata mrithi wanayemwamini zaidi ya CCM?

Umesikia jinsi CCM wanavyocheza karata zao juu ya katiba mpya?

Well, wamesema kwanza itakuwa tayari 2014....lakini mswada wa sheria ya katiba mpya,ambao unalalamikiwa sana kwa makosa yaliyomo, wanataka kuupitisha kwa haraka...si umesikia wananchi wamepata mabomu ya kutoa machozi kama zawadi yao kwa kujitokeza kwa wingi kutoa maoni yao?

hakika CCM yapasa ifutwe si wakati tena wa kuwa na vyama vya kimapinduzi. CCM inazuia uendelevu wa demokrasia ya kweli kwa TZ.

Lakini nakubaliana na wewe kuwa lazima wananchi tubadili mbinu ya kukabiliana na CCM. Ungefanya vyema kama umeshafikiria mbinu gani zitumike ,zimwage hapa tuzipime.
 
Mkuu.
Umeshaisahau ile theory yako ya mataifa yenye nguvu imetoa kazi kwa CCM kuidhibiti Zanzibar.
Kama bado unaamini katika hili vipi unategemea CCM itaondoka madarakani au haya mataifa yanayotoa maagizo kwa serikali ya TZ wameshapata mrithi wanayemwamini zaidi ya CCM?

Umesikia jinsi CCM wanavyocheza karata zao juu ya katiba mpya?

Well, wamesema kwanza itakuwa tayari 2014....lakini mswada wa sheria ya katiba mpya,ambao unalalamikiwa sana kwa makosa yaliyomo, wanataka kuupitisha kwa haraka...si umesikia wananchi wamepata mabomu ya kutoa machozi kama zawadi yao kwa kujitokeza kwa wingi kutoa maoni yao?

hakika CCM yapasa ifutwe si wakati tena wa kuwa na vyama vya kimapinduzi. CCM inazuia uendelevu wa demokrasia ya kweli kwa TZ.

Lakini nakubaliana na wewe kuwa lazima wananchi tubadili mbinu ya kukabiliana na CCM. Ungefanya vyema kama umeshafikiria mbinu gani zitumike ,zimwage hapa tuzipime.

Mheshimiwa Nonda theory yangu iko palepale, sikupenda kurudia hapa na sipendi kuwakatisha tamaa watu kwamba CCM kamwe siku moja haitaweza kudondoka madarakani. Nakubali mambo huwa yanabadilika. Ni vizuri kujua kuwa haya Mataifa Makubwa yana permanent interesta and not permanent friends, wanaweza kuwamwaga ccm muda wowote kama interest zao hazitafwatwa. Kwa sasa issue ya katiba wapo kimya kabisa maana kwao yote ni sawa muhimu maslahi yao yanalindwa. Kwa kweli kwa sasa kinachohijaka ni ujasiri ili kueonyesha wazi kabisa kuwa sasa ccm imechokwa la sivyo wataendelea kufanya madudu kama wanavyoendea sasa kuyafanya
 
Naomba inongezeke hoja nyingine katika michakato inayoendelea, Kwa Majina Jakaya, Mkapa, etc
baada ya kuwamwaga CCM tutawafanya nini watu hawa?

tuanze kukubalina sasa na wale watakaoingia madarakani kwamba hawa watu wapewe adhabu gani?
 
mbali na kutaka kuondoa amani iliyopo lakini pia wanapora urithi wa taifa wakidai ni mali za chama ambazo originally zilikuwa za umma!
 
Back
Top Bottom