Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,020
- 103,416
Mkuu, hawa jamaa wanahangaika sana. Wamejaribu JF wameshindwa na sasa wamehamia kwenye Magazeti ambako wanaamini hakuna atakayewapinga so long wamelinunua hilo gazeti. Hata hivyo hawatafanikiwa
demokrasia ya ccm hairuhusiwi mtu kupingwa!?