CCM Hoi, Yahaha kutafuta Siri za Wenzake...

CCM Hoi, Yahaha kutafuta Siri za Wenzake...

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
Kuna taarifa nimezipata muda huu kuwa, CCM ipo hoi bin taaban kiinteligensia, CCM ilitegemea kupata taarifa za wenzao Wa Ukawa kirahisi, lakini hadi sasa haijapata siri yoyote dhidi ya Ukawa hivyo kuwa katika wakati mgumu kimaamuzi na kimkakati... nanukuu "Tuliyemtegemea kupata taarifa zao ni yule kagenzi lakini Chadema Intelligence ndo hivyo tena ikamshtukia, sasa kwa sasa our team haipati taarifa zozote.....kuna yule mwingine naye tulimtegemea sana, kama wangekubaliwa kujiunga na huo umoja wao tungefurahi sana lakini jamaa wamemgomea..." amesema kiongozi mmoja wa juu wa CCM.

My. take:wakuu hali ni mbaya zaidi ya tunavyoweza kufikiri..
 
Mwaka huu ccm hawana mgombea wa uraisi .
 
Ccm walikuwa wanamtegemea yule msaliti ameshafukuzwa yupo ACT bado walivyo wanafiki wanaomba kujiunga na Ukawa.
 
Wangeingia mkenge wa kumuingiza --------- Supreme Leader muda CCM wangekuwa wameshajua kila kitu.
 
kuna taarifa nimezipata muda huu kuwa, ccm ipo hoi bin taaban kiinteligensia, ccm ilitegemea kupata taarifa za wenzao wa ukawa kirahisi, lakini hadi sasa haijapata siri yoyote dhidi ya ukawa hivyo kuwa katika wakati mgumu kimaamuzi na kimkakati... Nanukuu "tuliyemtegemea kupata taarifa zao ni yule kagenzi lakini chadema intelligence ndo hivyo tena ikamshtukia, sasa kwa sasa our team haipati taarifa zozote.....kuna yule mwingine naye tulimtegemea sana, kama wangekubaliwa kujiunga na huo umoja wao tungefurahi sana lakini jamaa wamemgomea..." amesema kiongozi mmoja wa juu wa ccm.

My. Take:wakuu hali ni mbaya zaidi ya tunavyoweza kufikiri..

guys ccm ndo serikali,na serikali ndo ccm,sijaona kitu hapo is just a matter of time mtajua mboga ni nani na ugali ni nani
 
jenerali ambamba huo ujenerali wako ni wa uzushi na uongo tu.. CCM ni chama kikubwa na kinafanya shughuli zake kwa mujibu wa kalenda ya shughuli au almanac na siyo chadema ambao wanakaa siku mbowe akitaka na asipokuwepo hakuna kikao. Ratiba zetu bado hazijaanza na zitakapoanza utasikia tu mchakato utakavyokwenda na hakuna anayehaha kutafuta taarifa za ukawa kwani wakawa hawana jipya zaida ya wao kuwa . intelijensia mnafanya ninyi msiojiamini lakini sisi CCM tuna ratiba nzuri tu
Kuna taarifa nimezipata muda huu kuwa, CCM ipo hoi bin taaban kiinteligensia, CCM ilitegemea kupata taarifa za wenzao Wa Ukawa kirahisi, lakini hadi sasa haijapata siri yoyote dhidi ya Ukawa hivyo kuwa katika wakati mgumu kimaamuzi na kimkakati... nanukuu "Tuliyemtegemea kupata taarifa zao ni yule kagenzi lakini Chadema Intelligence ndo hivyo tena ikamshtukia, sasa kwa sasa our team haipati taarifa zozote.....kuna yule mwingine naye tulimtegemea sana, kama wangekubaliwa kujiunga na huo umoja wao tungefurahi sana lakini jamaa wamemgomea..." amesema kiongozi mmoja wa juu wa CCM.

My. take:wakuu hali ni mbaya zaidi ya tunavyoweza kufikiri..
 
siku zote ukishatimua wasaliti umemaliza fitina zote , watoa taarifa za siri kwa wasira wametimuliwa wote , asanteni sana kamati kuu.
 
Wangeingia mkenge wa kumuingiza --------- Supreme Leader muda CCM wangekuwa wameshajua kila kitu.

JF siku hizi imekuwa kichekesho kweli, yaani inakuwaje mna-black-out hata jina la kiongozi wa chama? Na hapa bado mnapiga vita Cyber Crime Act na wakati nyie nao pia mnaminya uhuru wa watu? Yaani leo Z.i.tt.o kawa nani hata hasitajwe kwenye public domain? This is crazy.
 
Ukimpatia jina la kiongozi mkuu wa mapinduzi ya Iran mods wanafanya nongwa.

JF siku hizi imekuwa kichekesho kweli, yaani inakuwaje mna-black-out hata jina la kiongozi wa chama? Na hapa bado mnapiga vita Cyber Crime Act na wakati nyie nao pia mnaminya uhuru wa watu? Yaani leo Z.i.tt.o kawa nani hata hasitajwe kwenye public domain? This is crazy.
 
CCM hakuna mgombea urais, waliopo wote ni majanga. Huyu ESCROW, yule EPA, mwingine RADA, na hata mkulima MWIZI WA VITALU. Yaani patachimbika.
 
Unafikiri wanakosa taarifa?udukuzi upo,kama cdm wanadukua za wenzao lazima na wao wadukuliwe,
 
Maneno ya khanga mmeumbiwa kusema, msiposema nani atasema?
SISI UZALENDO KWANZA, saccoss na maccm baadae
 
Back
Top Bottom