Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
huwa najiuliza hawa ccm wanaagizaje mzigo wa sare\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\/
huwa wananunua nyingi na kuweka store au kila likitokea jambo wanapiga simu china faster?
maana nasikia kesho wanataka kuongea na wanachama wao pale jangwani na kwa kuwa chama hakiko rohoni huwa wanajitambulisha kwa mavazi.
huwa wananunua nyingi na kuweka store au kila likitokea jambo wanapiga simu china faster?
maana nasikia kesho wanataka kuongea na wanachama wao pale jangwani na kwa kuwa chama hakiko rohoni huwa wanajitambulisha kwa mavazi.