BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,743
- 4,227
Huyo hamtamsahau kwa kuwa hakuna aliyefanya mema zaidi kwa Tanzania hii zaidi yake, chaguwa lolote tumpime na wa kabla yake.
Una miaka mingapi?
Wapo wengi waliofsidika direct na utawala wa JK, hao wanaweza kutoka kifua mbele na kusema huyu bwana amefanya mema mazuri. Lakini kwa majority Tanzanian this guy has done nothing!
FaizaFoxy bila shaka ni m1 wa walionufaika direct ndio maana unaona km kila mtu ni hivyo!
Nonsense:sly:
Last edited by a moderator: